Mungu wa Wachaga avunjwa

Mungu wa Wachaga avunjwa

Status
Not open for further replies.
Kama haya maneno ni kweli Hebu nitajie MKIRISTO MMOJA TU aliyeng'oa JICHO LAKE na kulitupilia mbali kwa Kutazama MAKALIO ya WAIMBA KWAYA au wanawake wengine.

Nyie Hamna lolote ZAIDI YA USANII TU.

Hebu Mcheki Huyu kiongozi wako hapa.
Ikiwa Uyasemayo ni Kweli Huyu Jamaa Alitakiwa awe KIPOFU na KIWETE! Maana yake Yeye sio Kutamani kwa macho tu! kaamua KUTAFUNA KABISA Wanakondoo na kuwazAlisha.

View attachment 251759

Km kutazama tu Jicho litolewe sasa hawa WACHUNGAJI hapa CHINI Sijui Hukumu yao Nini.

Manake hawa WAMEKAMATWA WANALAWITI WATOTO WADOGO Makanisani.

WACHUNGAJI WALAWITI WATOTO, ARUSHA

View attachment 251760

Sura za watoto hawa zimefichwa kwa sababu maalumu.

Watoto sita, wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wameharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji.

Watoto sita waliobakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji.

swahilibuzz: WACHUNGAJI WALAWITI WATOTO, ARUSHA

Form Three ulipita kapa na zero brain!! Hata lugha ya fasihi ni kigugumizi kwako! Kumbuka Yesu Kristo Ni Mungu wako pia!! refer Kile kitabu chako cha Quruani na usome kwa makini sana! Unafikiri ni kwa nini Mwamedi alisema mukiona mambo magumu humu kwenye kuruani nendeni vitabu vilivyowatangulia yaani Tautati na Injili!!
 
Form Three ulipita kapa na zero brain!! Hata lugha ya fasihi ni kigugumizi kwako! Kumbuka Yesu Kristo Ni Mungu wako pia!! refer Kile kitabu chako cha Quruani na usome kwa makini sana! Unafikiri ni kwa nini Mwamedi alisema mukiona mambo magumu humu kwenye kuruani nendeni vitabu vilivyowatangulia yaani Tautati na Injili!!

Leta Andiko we Mgalatia.
Mmezoe maneno ya mipasho huko makanisani.

Hebu nipe andiko Yesu anasema "MIMI NI MUNGU" ili na mimi nianze kula nyamafu km wewe.

Au leta andiko kwenye Quraan linasema Waislamu wakikuta mambo magumu waende kwenye Kitabu kilichoandikwa na PAULO.

Basi kazi yenu kuhara jukwaani tu km bata NA kufunga ndoa za kiliberali. Khalas.

Kelbu wahed we!
 
Leta Andiko we Mgalatia.
Mmezoe maneno ya mipasho huko makanisani.

Hebu nipe andiko Yesu anasema "MIMI NI MUNGU" ili na mimi nianze kula nyamafu km wewe.

Au leta andiko kwenye Quraan linasema Waislamu wakikuta mambo magumu waende kwenye Kitabu kilichoandikwa na PAULO.

Basi kazi yenu kuhara jukwaani tu km bata NA kufunga ndoa za kiliberali. Khalas.

Kelbu wahed we!

Pokea andiko hilo hapo chini na huyo mhuni wenu!!
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD][SUP]37[/SUP]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD][ 33: 37 ] And when you said to him to whom Allah had shown favor and to whom you had shown a favor: Keep your wife to yourself and be careful of ( your duty to ) Allah; and you concealed in your soul what Allah would bring to light, and you feared men, and Allah had a greater right that you should fear Him. But when Zaid had accomplished his want of her, We gave her to you as a wife, so that there should be no difficulty for the believers in respect of the wives of their adopted sons, when they have accomplished their want of them; and Allah's command shall be performed.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Form Three ulipita kapa na zero brain!! Hata lugha ya fasihi ni kigugumizi kwako! Kumbuka Yesu Kristo Ni Mungu wako pia!! refer Kile kitabu chako cha Quruani na usome kwa makini sana! Unafikiri ni kwa nini Mwamedi alisema mukiona mambo magumu humu kwenye kuruani nendeni vitabu vilivyowatangulia yaani Tautati na Injili!!




Leta Andiko we Mgalatia.
Mmezoe maneno ya mipasho huko makanisani.

Hebu nipe andiko Yesu anasema "MIMI NI MUNGU" ili na mimi nianze kula nyamafu km wewe.

Au leta andiko kwenye Quraan linasema Waislamu wakikuta mambo magumu waende kwenye Kitabu kilichoandikwa na PAULO.

Basi kazi yenu kuhara jukwaani tu km bata NA kufunga ndoa za kiliberali. Khalas.

Kelbu wahed we!




Pokea andiko hilo hapo chini na huyo mhuni wenu!!
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD][SUP]37[/SUP]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD][ 33: 37 ] And when you said to him to whom Allah had shown favor and to whom you had shown a favor: Keep your wife to yourself and be careful of ( your duty to ) Allah; and you concealed in your soul what Allah would bring to light, and you feared men, and Allah had a greater right that you should fear Him. But when Zaid had accomplished his want of her, We gave her to you as a wife, so that there should be no difficulty for the believers in respect of the wives of their adopted sons, when they have accomplished their want of them; and Allah's command shall be performed.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Sasa tazama busara za KIKAFIRI.
Mi nakuuliza njia ya kwenda Mjini wewr unanionyesha Upele unaokusumbua kwenye makalio sasa huko mjini ntafika kwa kutegemea Ushauri wako?

Tazama hapo juu nini umeandika na nini nimekuuliza na kipi Umejibu.
Wewe na Makafiri wenzako ule uhuru mlionyimwa wa kuuliza maswali makanisani ukichanganya na Nyamafu za nguruwe Umewapofua wengi wenu. Vichwa vimejaa makamasi.

Ndio maana leo makanisa yenu yana halalisha ndoa za kishoga.
Pole kamanda,
Na wewe ukilegea kidogo tu unapakwa mpako mtakatifu very fast na baba askofu!

Teh teh teh teh.
1431612630846.jpg
 
Yesu Kristo aliuawa na Wayahidi halafu alifufuka ili andiko litimie...(alishinda kifo na mauti)...

Na pia haikuwekwa manhunt ya kuwatafuta waliomuua...

Huyo mungu wa hao watu kavunjwa na kuharibiwa na wala hajaweza kujitengeneza kwa upya...

Hivyo mfano wako hausadifu maudhui...

Hata stori za huyo Yesu kufa na kufufuka hazina msingi vile vile. Mtu mwenyewe mpaka leo hii kashindwa kurudi baada ya kuwadanganya wafuasi wake.
 
hahaha! well kama ndiyo complain yako basi at list he ain't GOD!! ni binaadamu kama mimi , simuabudu ... ila that dude aliyepigiliwa misumari na kufa shameless death ni mungu wako, hahahaha!!

Bottomline wote hamna tofauti manake mnafuata mafundisho ya watu wa kale wa Mashariki ya Kati ambao hawakujua mambo mengi kuhusu dunia na ulimwengu kwa wakati huo.
 
Sasa tazama busara za KIKAFIRI.
Mi nakuuliza njia ya kwenda Mjini wewr unanionyesha Upele unaokusumbua kwenye makalio sasa huko mjini ntafika kwa kutegemea Ushauri wako?

Tazama hapo juu nini umeandika na nini nimekuuliza na kipi Umejibu.
Wewe na Makafiri wenzako ule uhuru mlionyimwa wa kuuliza maswali makanisani ukichanganya na Nyamafu za nguruwe Umewapofua wengi wenu. Vichwa vimejaa makamasi.

Ndio maana leo makanisa yenu yana halalisha ndoa za kishoga.
Pole kamanda,
Na wewe ukilegea kidogo tu unapakwa mpako mtakatifu very fast na baba askofu!

Teh teh teh teh.
View attachment 251794

Mimi nathibitisha uhuni wa muanzilishi wa dini wewe unaleta wapokea dini ambao ni wadhambi kama mhuni mwamedi! Nathibitisha tena kwa andiko hili hapa chini ili Uje kwa Yesu Kristo.

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD][SUP]50[/SUP]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD][ 33: 50 ] O Prophet! surely We have made lawful to you your wives whom you have given their dowries, and those whom your right hand possesses out of those whom Allah has given to you as prisoners of war, and the daughters of your paternal uncles and the daughters of your paternal aunts, and the daughters of your maternal uncles and the daughters of your maternal aunts who fled with you; and a believing woman if she gave herself to the Prophet, if the Prophet desired to marry her-- specially for you, not for the ( rest of ) believers; We know what We have ordained for them concerning their wives and those whom their right hands possess in order that no blame may attach to you; and Allah is Forgiving, Merciful.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Pokea Kwa Jina La Yesu Kristo hilo andiko ili Uje upate Wokovu na uache kuwa na shingo ngumu! Huko uliko hakuna namna ingine zaidi ya kuachana nako!
 
Mimi nathibitisha uhuni wa muanzilishi wa dini wewe unaleta wapokea dini ambao ni wadhambi kama mhuni mwamedi! Nathibitisha tena kwa andiko hili hapa chini ili Uje kwa Yesu Kristo.

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD][SUP]50[/SUP]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD][ 33: 50 ] O Prophet! surely We have made lawful to you your wives whom you have given their dowries, and those whom your right hand possesses out of those whom Allah has given to you as prisoners of war, and the daughters of your paternal uncles and the daughters of your paternal aunts, and the daughters of your maternal uncles and the daughters of your maternal aunts who fled with you; and a believing woman if she gave herself to the Prophet, if the Prophet desired to marry her-- specially for you, not for the ( rest of ) believers; We know what We have ordained for them concerning their wives and those whom their right hands possess in order that no blame may attach to you; and Allah is Forgiving, Merciful.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Pokea Kwa Jina La Yesu Kristo hilo andiko ili Uje upate Wokovu na uache kuwa na shingo ngumu! Huko uliko hakuna namna ingine zaidi ya kuachana nako!

Teh teh teh!
Talking about evil. Lets Talk about Pedophilia shall we.

Bible has nothing to say against pedophilia.

But it does have some passages that seem to approve of it. For example:

It's OK to have sex with "women children" that are obtained in war.

And the LORD spake unto Moses, saying, Avenge the children of Israel of the Midianites ... And they warred against the Midianites, as the LORD commanded Moses; and they slew all the males ... And the children of Israel took all the women of Midian captives, and their little ones ... And Moses was wroth with the officers ... And Moses said unto them, Have ye saved all the women alive? ... Now therefore kill every male among the little ones, and kill every woman that hath known man by lying with him. But all the women children, that have not known a man by lying with him, keep alive for yourselves. Numbers 31:1-18


When thou comest nigh unto a city to fight against it ... And when the LORD thy God hath delivered it into thine hands, thou shalt smite every male thereof with the edge of the sword: But the women, and the little ones, and the cattle, and all that is in the city, even all the spoil thereof, shalt thou take unto thyself. Deuteronomy 20:10-14
How shall we do for wives for them that remain, seeing we have sworn by the LORD that we will not give them of our daughters to wives? ... And the congregation sent thither twelve thousand men of the valiantest, and commanded them, saying, Go and smite the inhabitants of Jabeshgilead with the edge of the sword, with the women and the children. And this is the thing that ye shall do, Ye shall utterly destroy every male, and every woman that hath lain by man. And they found among the inhabitants of Jabeshgilead four hundred young virgins, that had known no man by lying with any male: and they brought them unto the camp to Shiloh. Judges 21:7-11

Go and lie in wait in the vineyards; And see, and, behold, if the daughters of Shiloh come out to dance in dances, then come ye out of the vineyards, and catch you every man his wife of the daughters of Shiloh ... And the children of Benjamin did so, and took them wives, according to their number, of them that danced, whom they caught. Judges 21:20-23

Bibles says It's OK to sell your daughter (no mention is made of age) to a man for him to use as a sex slave.

if a man sell his daughter to be a maidservant ... If she please not her master, who hath betrothed her to himself, then shall he let her be redeemed ... If he take him another wife; her food, her raiment, and her duty of marriage, shall he not diminish. Exodus 21:7-10

I ask all Galatians how on earth would you feel comfortable with such Diabolic Cult?
 
Tupeni maelezo ya kutosha, huyo mungu alikuwa wa aina gani? Jiwe, mwamba? Mti, au kitu gani?
 
Teh teh teh!
Talking about evil. Lets Talk about Pedophilia shall we.

Bible has nothing to say against pedophilia.

But it does have some passages that seem to approve of it. For example:

It's OK to have sex with "women children" that are obtained in war.

And the LORD spake unto Moses, saying, Avenge the children of Israel of the Midianites ... And they warred against the Midianites, as the LORD commanded Moses; and they slew all the males ... And the children of Israel took all the women of Midian captives, and their little ones ... And Moses was wroth with the officers ... And Moses said unto them, Have ye saved all the women alive? ... Now therefore kill every male among the little ones, and kill every woman that hath known man by lying with him. But all the women children, that have not known a man by lying with him, keep alive for yourselves. Numbers 31:1-18


When thou comest nigh unto a city to fight against it ... And when the LORD thy God hath delivered it into thine hands, thou shalt smite every male thereof with the edge of the sword: But the women, and the little ones, and the cattle, and all that is in the city, even all the spoil thereof, shalt thou take unto thyself. Deuteronomy 20:10-14
How shall we do for wives for them that remain, seeing we have sworn by the LORD that we will not give them of our daughters to wives? ... And the congregation sent thither twelve thousand men of the valiantest, and commanded them, saying, Go and smite the inhabitants of Jabeshgilead with the edge of the sword, with the women and the children. And this is the thing that ye shall do, Ye shall utterly destroy every male, and every woman that hath lain by man. And they found among the inhabitants of Jabeshgilead four hundred young virgins, that had known no man by lying with any male: and they brought them unto the camp to Shiloh. Judges 21:7-11

Go and lie in wait in the vineyards; And see, and, behold, if the daughters of Shiloh come out to dance in dances, then come ye out of the vineyards, and catch you every man his wife of the daughters of Shiloh ... And the children of Benjamin did so, and took them wives, according to their number, of them that danced, whom they caught. Judges 21:20-23

Bibles says It's OK to sell your daughter (no mention is made of age) to a man for him to use as a sex slave.

if a man sell his daughter to be a maidservant ... If she please not her master, who hath betrothed her to himself, then shall he let her be redeemed ... If he take him another wife; her food, her raiment, and her duty of marriage, shall he not diminish. Exodus 21:7-10

I ask all Galatians how on earth would you feel comfortable with such Diabolic Cult?

Nimegundua kuwa Mwamedi alijikita sana kwenye agano la kale akasahau kuwa mengi ya agano lile yalikuwa ya kimwili zaidi na siyo ya kiroho! Soma vizuri mwisho wa wengi wa hao unaoquote haukuwa mzuri! Yesu alikuja ili kukamilisha agano la Mungu na Wanadamu! Alikufa akafufuka ni yu hai!

Njoo kwa Yesu ndugu achana nao mnaosema Mswalie Mtume maana hamjui mwisho wake ni upi! Huwezi oa katoto ka miaka 6 halafu wewe babu wa miaka 56 na ukasema umetumwa na Mungu huyu naye mjua! Labda Allah maana huyo mungu wenu anavituko kweli!
 
Nimegundua kuwa Mwamedi alijikita sana kwenye agano la kale akasahau kuwa mengi ya agano lile yalikuwa ya kimwili zaidi na siyo ya kiroho! Soma vizuri mwisho wa wengi wa hao unaoquote haukuwa mzuri! Yesu alikuja ili kukamilisha agano la Mungu na Wanadamu! Alikufa akafufuka ni yu hai!

Njoo kwa Yesu ndugu achana nao mnaosema Mswalie Mtume maana hamjui mwisho wake ni upi! Huwezi oa katoto ka miaka 6 halafu wewe babu wa miaka 56 na ukasema umetumwa na Mungu huyu naye mjua! Labda Allah maana huyo mungu wenu anavituko kweli!

Teh teh teh.
Hii ndio silaha kuu wanayotumia makafiri wote.
Niliomba mnionyeshe Expire date ya Agano la kale lkn mpaka leo sijaletewa.
Nikaomba andiko ambalo yesu alikataza agano la kale Lisitumiwe Mpaka leo sijaonyeshwa.
Nikauliza kwanini makafiri hulitumia kwenye mambo yale yanayo wakweza lkn ukiwaletea maandiko yanayoonyesha UNYAMA WAO wanasema Hilo limepitwa na Wakati mpaka leo Jibu sijapewa zaidi ya matusi na maneno ya Mipasho km waimba Taarabu.

Uchafu na Unyama huwa haujifichi ndugu mgalatia.

Hebu Tuonje Hilo Agano lako Jipya tuone je lina Afadhali?

Hebu Tuanze na wale WAIMBA KWAYA (WANAWAKE) Biblia ktk Agano Jipya inawapa Haki zao za Msingi?

1 Corinthians 11:3
But I would have you know, that the head of every man is Christ; and the head of the woman is the man; and the head of Christ is God.


1 Corinthians 14:34-36
Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience as also saith the law. And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.


Ephesians 5:22-24
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as unto the Lord. For the husband is the head of the wife, even as Christ is the head of the church: and he is the saviour of the body. Therefore as the church is subject unto Christ, so let the wives be to their own husbands in every thing.

Colossians 3:18
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as it is fit in the Lord.

1 Timothy 2:11-15
Let the woman learn in silence with all subjection. But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence. For Adam was first formed, then Eve. And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression. Notwithstanding she shall be saved in childbearing.

Titus 2:4-5
Teach the young women to be ... obedient to their own husbands, that the word of God be not blasphemed.

1 Peter 3:1
Likewise, ye wives, be in subjection to your own husbands.

Kwa maandiko haya machache tu AGANO JIPYA linatufunza kuwa MWANAMKE ni km mnyama wa kufuga tu. Hana haki yyt ispokuwa kile anachofundishwa na BWANA WAKE.

Na Mwanamke wa KIKRISTO mwenye Kwenda kinyume na Maamrisho haya AMELAANIWA na Paulo Na yesu wa msalabani.

Sasa nashangaa wanawake mko kimya Hata kuwauliza Hao Maaskofu Kwanini andiko Linawadhalilisha namna hii HAKUNA!! na sababu ni kuwa nyie Mmepigwa marufuku kuuliza maswali yyt kanisani.
Mmeitwa KONDOO kwa sababu KONDOO KAZI YAKE NI KUFUATA TU KILE ALICHOFUNDISHWA.

Halafu bado unadanganya watu hapa.

Ugalatia mzigo Mkuu. Okoa nafsi yako kabla HUJAFA MKAFIRI?
Shauri yako. We endelea kuabudu mzungu tu.
Usije kusema hukuambiwa.
 
Teh teh teh!
Talking about evil. Lets Talk about Pedophilia shall we.

Bible has nothing to say against pedophilia.

But it does have some passages that seem to approve of it. For example:

It's OK to have sex with "women children" that are obtained in war.

And the LORD spake unto Moses, saying, Avenge the children of Israel of the Midianites ... And they warred against the Midianites, as the LORD commanded Moses; and they slew all the males ... And the children of Israel took all the women of Midian captives, and their little ones ... And Moses was wroth with the officers ... And Moses said unto them, Have ye saved all the women alive? ... Now therefore kill every male among the little ones, and kill every woman that hath known man by lying with him. But all the women children, that have not known a man by lying with him, keep alive for yourselves. Numbers 31:1-18


When thou comest nigh unto a city to fight against it ... And when the LORD thy God hath delivered it into thine hands, thou shalt smite every male thereof with the edge of the sword: But the women, and the little ones, and the cattle, and all that is in the city, even all the spoil thereof, shalt thou take unto thyself. Deuteronomy 20:10-14
How shall we do for wives for them that remain, seeing we have sworn by the LORD that we will not give them of our daughters to wives? ... And the congregation sent thither twelve thousand men of the valiantest, and commanded them, saying, Go and smite the inhabitants of Jabeshgilead with the edge of the sword, with the women and the children. And this is the thing that ye shall do, Ye shall utterly destroy every male, and every woman that hath lain by man. And they found among the inhabitants of Jabeshgilead four hundred young virgins, that had known no man by lying with any male: and they brought them unto the camp to Shiloh. Judges 21:7-11

Go and lie in wait in the vineyards; And see, and, behold, if the daughters of Shiloh come out to dance in dances, then come ye out of the vineyards, and catch you every man his wife of the daughters of Shiloh ... And the children of Benjamin did so, and took them wives, according to their number, of them that danced, whom they caught. Judges 21:20-23

Bibles says It's OK to sell your daughter (no mention is made of age) to a man for him to use as a sex slave.

if a man sell his daughter to be a maidservant ... If she please not her master, who hath betrothed her to himself, then shall he let her be redeemed ... If he take him another wife; her food, her raiment, and her duty of marriage, shall he not diminish. Exodus 21:7-10

I ask all Galatians how on earth would you feel comfortable with such Diabolic Cult?

Pumba.
 
Teh teh teh.
Hii ndio silaha kuu wanayotumia makafiri wote.
Niliomba mnionyeshe Expire date ya Agano la kale lkn mpaka leo sijaletewa.
Nikaomba andiko ambalo yesu alikataza agano la kale Lisitumiwe Mpaka leo sijaonyeshwa.
Nikauliza kwanini makafiri hulitumia kwenye mambo yale yanayo wakweza lkn ukiwaletea maandiko yanayoonyesha UNYAMA WAO wanasema Hilo limepitwa na Wakati mpaka leo Jibu sijapewa zaidi ya matusi na maneno ya Mipasho km waimba Taarabu.

Uchafu na Unyama huwa haujifichi ndugu mgalatia.

Hebu Tuonje Hilo Agano lako Jipya tuone je lina Afadhali?

Hebu Tuanze na wale WAIMBA KWAYA (WANAWAKE) Biblia ktk Agano Jipya inawapa Haki zao za Msingi?

1 Corinthians 11:3
But I would have you know, that the head of every man is Christ; and the head of the woman is the man; and the head of Christ is God.


1 Corinthians 14:34-36
Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience as also saith the law. And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.


Ephesians 5:22-24
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as unto the Lord. For the husband is the head of the wife, even as Christ is the head of the church: and he is the saviour of the body. Therefore as the church is subject unto Christ, so let the wives be to their own husbands in every thing.

Colossians 3:18
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as it is fit in the Lord.

1 Timothy 2:11-15
Let the woman learn in silence with all subjection. But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence. For Adam was first formed, then Eve. And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression. Notwithstanding she shall be saved in childbearing.

Titus 2:4-5
Teach the young women to be ... obedient to their own husbands, that the word of God be not blasphemed.

1 Peter 3:1
Likewise, ye wives, be in subjection to your own husbands.

Kwa maandiko haya machache tu AGANO JIPYA linatufunza kuwa MWANAMKE ni km mnyama wa kufuga tu. Hana haki yyt ispokuwa kile anachofundishwa na BWANA WAKE.

Na Mwanamke wa KIKRISTO mwenye Kwenda kinyume na Maamrisho haya AMELAANIWA na Paulo Na yesu wa msalabani.

Sasa nashangaa wanawake mko kimya Hata kuwauliza Hao Maaskofu Kwanini andiko Linawadhalilisha namna hii HAKUNA!! na sababu ni kuwa nyie Mmepigwa marufuku kuuliza maswali yyt kanisani.
Mmeitwa KONDOO kwa sababu KONDOO KAZI YAKE NI KUFUATA TU KILE ALICHOFUNDISHWA.

Halafu bado unadanganya watu hapa.

Ugalatia mzigo Mkuu. Okoa nafsi yako kabla HUJAFA MKAFIRI?
Shauri yako. We endelea kuabudu mzungu tu.
Usije kusema hukuambiwa.

HUko kwenye uisilamu hao wanawake hata Msikiti wana uona kwa macho tu maana wao huchutama uchochoroni!

Dadavua ni nini sababu ya kuwatenga kiasi hicho waonekane kinyaa huku mkipitia kwenye maumbile yao ya siri; na pia mkiwaoa na kulala nao vitandani na pia nkiwaoa kwa wingi kulingana na idadi ya utajiri ulionao!!

Ninyi ndio mnawaona kama wanyama tu kwa hayo machache hapo juu!!
 
Teh teh teh.
Hii ndio silaha kuu wanayotumia makafiri wote.
Niliomba mnionyeshe Expire date ya Agano la kale lkn mpaka leo sijaletewa.
Nikaomba andiko ambalo yesu alikataza agano la kale Lisitumiwe Mpaka leo sijaonyeshwa.
Nikauliza kwanini makafiri hulitumia kwenye mambo yale yanayo wakweza lkn ukiwaletea maandiko yanayoonyesha UNYAMA WAO wanasema Hilo limepitwa na Wakati mpaka leo Jibu sijapewa zaidi ya matusi na maneno ya Mipasho km waimba Taarabu.

Uchafu na Unyama huwa haujifichi ndugu mgalatia.

Hebu Tuonje Hilo Agano lako Jipya tuone je lina Afadhali?

Hebu Tuanze na wale WAIMBA KWAYA (WANAWAKE) Biblia ktk Agano Jipya inawapa Haki zao za Msingi?

1 Corinthians 11:3
But I would have you know, that the head of every man is Christ; and the head of the woman is the man; and the head of Christ is God.


1 Corinthians 14:34-36
Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience as also saith the law. And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.


Ephesians 5:22-24
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as unto the Lord. For the husband is the head of the wife, even as Christ is the head of the church: and he is the saviour of the body. Therefore as the church is subject unto Christ, so let the wives be to their own husbands in every thing.

Colossians 3:18
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as it is fit in the Lord.

1 Timothy 2:11-15
Let the woman learn in silence with all subjection. But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence. For Adam was first formed, then Eve. And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression. Notwithstanding she shall be saved in childbearing.

Titus 2:4-5
Teach the young women to be ... obedient to their own husbands, that the word of God be not blasphemed.

1 Peter 3:1
Likewise, ye wives, be in subjection to your own husbands.

Kwa maandiko haya machache tu AGANO JIPYA linatufunza kuwa MWANAMKE ni km mnyama wa kufuga tu. Hana haki yyt ispokuwa kile anachofundishwa na BWANA WAKE.

Na Mwanamke wa KIKRISTO mwenye Kwenda kinyume na Maamrisho haya AMELAANIWA na Paulo Na yesu wa msalabani.

Sasa nashangaa wanawake mko kimya Hata kuwauliza Hao Maaskofu Kwanini andiko Linawadhalilisha namna hii HAKUNA!! na sababu ni kuwa nyie Mmepigwa marufuku kuuliza maswali yyt kanisani.
Mmeitwa KONDOO kwa sababu KONDOO KAZI YAKE NI KUFUATA TU KILE ALICHOFUNDISHWA.

Halafu bado unadanganya watu hapa.

Ugalatia mzigo Mkuu. Okoa nafsi yako kabla HUJAFA MKAFIRI?
Shauri yako. We endelea kuabudu mzungu tu.
Usije kusema hukuambiwa.
Mzigo ni huo Wa kwako ambao unajua ni upuuzi lakini unafuata. Tena huna ruksa kuhoji. Allah hates you for asking too many questions.
 
Mambo mengine ni taab tupu. Hebu angalia, nadhani humu jf kuna wachaga wengi tu halafu watu ka kina miss chagga wana coment tuu bila hata kujiridhisha na hili tangazo. Kama kuna mchagga yeyote humu anisaidie yafuatayo:
1. Kijiji cha "MODONYI" yaani kijiji cha motoni kwa shetwani. Hicho kijiji kipo wapi hapo?? HAKUNA.
2. Wanakijiji wenzake wa jaamii ya Kichagga. Nilidhani wangesema wa jamii ya Mshiu.
Hapa naona tumevikwa kamba. Hata wale wachawi hawana utoto huu.
 
HUko kwenye uisilamu hao wanawake hata Msikiti wana uona kwa macho tu maana wao huchutama uchochoroni!

Dadavua ni nini sababu ya kuwatenga kiasi hicho waonekane kinyaa huku mkipitia kwenye maumbile yao ya siri; na pia mkiwaoa na kulala nao vitandani na pia nkiwaoa kwa wingi kulingana na idadi ya utajiri ulionao!!

Ninyi ndio mnawaona kama wanyama tu kwa hayo machache hapo juu!!

Shangazi nimeshakwambia Mipasho na Rusha roho sio fani yangu.
Hapa ni ANDIKO kwenda mbele.

We endelea kurusha mipasho Mi nakupa andiko mpaka uelekee Kibla mkafiri.

Na kwasababu umelilaani AGANO LA KALE nimeamua Kusafisha UKAFIRI WAKO na AGANO Jipya tu kwa sasa.

Hebu Tuliuze Agano Jipya Je! UKRISTO Unaongelea Nini KUHUSU WATUMWA?

ANDIKO linasema WATUMWA WOTE LZM wawatii MABWANA ZAO na Wanyenyekee Manake hio pia NI IBADA ya kigalatia.


Colossians 3:22
Servants, obey in all things your masters according to the flesh; not with eyeservice, as menpleasers; but in singleness of heart, fearing God.


1 Timothy 6:1
Let as many servants as are under the yoke count their own masters worthy of all honour, that the name of God and his doctrine be not blasphemed.


Titus 2:9-10
Exhort servants to be obedient unto their own masters, and to please them well in all things; not answering again; Not purloining, but shewing all good fidelity; that they may adorn the doctrine of God our Saviour in all things.


1 Peter 2:18
Servants, be subject to your masters with all fear; not only to the good and gentle, but also to the froward.

Mashetani wa KIZUNGU wanatumia mistari hii kutunyanyasa mpaka leo.

Haya endelea kupakua mipasho niendelee kusafisha UKAFIRI HAPA. Manake Usanii wenu Makafiri umetuchosha Bora Ummah Uone Hili Andiko La Kishetani ili mwenye akili apate kufanya maamuzi ya kuuwacha huu Ushetani wa kufuga UNYAMA.
 
Mzigo ni huo Wa kwako ambao unajua ni upuuzi lakini unafuata. Tena huna ruksa kuhoji. Allah hates you for asking too many questions.

Teh teh teh.
Leo mnywa uharo na mumeo mtarusha mipasho lkn mi natwanga MAANDIKO tupu hapa.
Km unabisha basi Bishana na BIBILIA.

Hebu Tuulize Bibilia inaongelea nini kuhusu watu wote WASIO WAKRISTO.

They are without God.

"Whosoever ... abideth not in the doctrine of Christ, hath not God." -- 2 John 9

They are all ANTICHRISTS.

"For many deceivers are entered into the world, who confess not that Jesus Christ is come in the flesh. This is a deceiver and an antichrist." -- 2 John 7

THEY SHOULD BE SHUNNED, NEITHER MARRY NOR BE FRIENDS WITH THEM.

"Be ye not unequally yoked together with unbelievers: for what fellowship hath righteousness with unrighteousness? and what communion hath light with darkness? And what concord hath Christ with Belial? or what part hath he that believeth with an infidel? ... Wherefore come out from among them, and be ye separate, saith the Lord." -- 2 Cor.6:14-17

THEY SHOULD BE KILLED

"If thy brother, the son of thy mother, or thy son, or thy daughter, or the wife of thy bosom, or thy friend, which is as thine own soul, entice thee secretly, saying, Let us go and serve other gods, which thou hast not known, thou, nor thy fathers; Namely, of the gods of the people which are round about you ... Thou shalt not consent unto him, nor hearken unto him; neither shall thine eye pity him, neither shalt thou spare, neither shalt thou conceal him: But thou shalt surely kill him; thine hand shall be first upon him to put him to death, and afterwards the hand of all the people. And thou shalt stone him with stones, that he die." -- Dt.13:6-10

Huu UKAFIRI unafundisha CHUKI na LAANA tupu ktk Jamii.
Mungu ausambaratishe.
Sema Amen mnywa uharo.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom