Mungu wa Wachaga avunjwa

Mungu wa Wachaga avunjwa

Status
Not open for further replies.
Hahaha kweli kuna watu wapumbavu...

Kama mwanadamu anaweza kumvunja na kumuharibu huyo wamwitaye mungu, bado hawaoni tu kuwa huyo mwanadamu ni mkuu zaidi ya mungu wao??

Kama kweli angelikuwa ni mungu, awezaje kuharibiwa na mwanadamu??
 
Ni kosa tatizo tumekaririshwa Mungu kupitia taasisi ya kikikristo na kiislamu jambo ambalo si sahihi.. kuna Mungu wengi sana humu duniani.

Inaonyesha unajua jua kidogo kuhusu imani zetu za Kiafrika. Hebu dodosoa, maana hizi imani za kizungu na kiarabu ni kama tunawaombea wao na mataifa yao yanakuwa na kuimarika kiuchumi.
 
Ni kosa tatizo tumekaririshwa Mungu kupitia taasisi ya kikikristo na kiislamu jambo ambalo si sahihi.. kuna Mungu wengi sana humu duniani.

Ni kweli mkuu, na ubinafsi kiimani nalo ni tatizo, kuona imani yako wewe ndiyo kila kitu wengine hawako sahihi! ni mbaya sana mkuu wangu.
 
Kwahiyo unataka kusema wale jamaa na ndugu zetu ambao kitabu (Mungu) cha kikikojolewa wanaanzisha vurugu nao Mungu wao hana nguvu hadi wanafanya vurugu ?.

huyo mungu gani hana nguvu ya kumtress,,,hahaahaha, ni mara yangu ya kwanza nasikia hii,halafu siku hizi mbona wachaga wengi wameokoka hayo mambo yanatoka wapi
 
Inaonyesha unajua jua kidogo kuhusu imani zetu za Kiafrika hebu dodosoa, maana hizi imani za kizungu na kiarabu ni kama tunawaombea wao na mataifa yao yanakuwa na kuimarika kiuchumi.
Mkuu, imani zetu za kiafrika na kizungu, kiaarabu ni zile zile na ukifuatilia formality ya kuabudi ni ile ile kutokana na eneo tamaduni la eneo fualani..

Bahati mbaya imani zetu hazikuwahi kuandikwa mahali (documented) sasa kilichotokea wenzetu kwa kuwa wameshaandika wakatuvuta kuna namna nyingi hata kutumia nguvu kusilimisha watu kwenye imani zao hasa northernna western afrika lakini lengo ni kusamabaza imani zao na kuua zetu ..

Kuna mlolongo mrefu hapa.... ila ukitaka kujua kuna behind the scene kwa nini waruhusu tuite Mungu wao kwa majina yetu ,.. ukweli wanaujua wao ...
 
Hahaha kweli kuna watu wapumbavu...

Kama mwanadamu anaweza kumvunja na kumuharibu huyo wamwitaye mungu, bado hawaoni tu kuwa huyo mwanadamu ni mkuu zaidi ya mungu wao??

Kama kweli angelikuwa ni mungu, awezaje kuharibiwa na mwanadamu??

Yesu aliuwawa na nani? Imani ni imani ndugu yangu, wewe unaamini unachoamini ujue kwa mwingine ngumu kumeza.
 
Yesu aliuwawa na nani? Imani ni imani ndugu yangu, wewe unaamini unachoamini ujue kwa mwingine ngumu kumeza.

Yesu Kristo aliuawa na Wayahidi halafu alifufuka ili andiko litimie...(alishinda kifo na mauti)...

Na pia haikuwekwa manhunt ya kuwatafuta waliomuua...

Huyo mungu wa hao watu kavunjwa na kuharibiwa na wala hajaweza kujitengeneza kwa upya...

Hivyo mfano wako hausadifu maudhui...
 
Kwahiyo unataka kusema wale jamaa na ndugu zetu ambao kitabu (Mungu) cha kikikojolewa wanaanzisha vurugu nao Mungu wao hana nguvu hadi wanafanya vurugu ?.

ndiyo maana yake,wao mungu wao wanampigania yaani hana uwezo wa kujipigania,halafu wametawaliwa na mapepo wakidhani wanampigania mungu kumbe shetwani
 
mkuu imani zetu za kiafrika na kizungu kiaarabu ni zile zile na ukifuatilia formality ya kuabudi ni ile ile kutokana na eneo tamaduni la eneo fualani..

bahati mbaya imani zetu hazikuwahi kuandikwa mahali (documented) sasa kilichotokea wenzetu kwa kuwa wameshaandika wakatuvuta kuna namna nyingi hata kutumia nguvu kusilimisha watu kwenye imani zao hasa northernna western afrika lakini lengo ni kusamabaza imani zao na kuua zetu ..

kuna mlolongo mrefu hapa.... ila ukitaka kujua kuna behind the scene kwa nini waruhusu tuite Mungu wao kwa majina yetu ,.. ukweli wanaujua wao ...

Kwa hiyo inawezekana wenzetu wanabarikiwa kupitia maombi yetu ee!
kruu yerewii acha tu hao mamangi wamtafute huyo binti
 
Yesu Kristo aliuawa na Wayahidi halafu alifufuka ili andiko litimie...(alishinda kifo na mauti)...

Na pia haikuwekwa manhunt ya kuwatafuta waliomuua...

Huyo mungu wa hao watu kavunjwa na kuharibiwa na wala hajaweza kujitengeneza kwa upya...

Hivyo mfano wako hausadifu maudhui...

"Kama mwanadamu anaweza kumvunja na kumuharibu huyo wamwitaye mungu, bado hawaoni tu kuwa huyo mwanadamu ni mkuu zaidi ya mungu wao??"

The rest ni imani
 
miss chagga mimi sijaelewa hii habari kwani moshi kuna Mungu mwingine zaidi huyu aliye juu tunayemjua sisi au hilo tangazo limekosewa .
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom