Mungu wa Wachaga avunjwa

Mungu wa Wachaga avunjwa

Status
Not open for further replies.
Teh teh teh.
Hii ndio silaha kuu wanayotumia makafiri wote.
Niliomba mnionyeshe Expire date ya Agano la kale lkn mpaka leo sijaletewa.
Nikaomba andiko ambalo yesu alikataza agano la kale Lisitumiwe Mpaka leo sijaonyeshwa.
Nikauliza kwanini makafiri hulitumia kwenye mambo yale yanayo wakweza lkn ukiwaletea maandiko yanayoonyesha UNYAMA WAO wanasema Hilo limepitwa na Wakati mpaka leo Jibu sijapewa zaidi ya matusi na maneno ya Mipasho km waimba Taarabu.

Uchafu na Unyama huwa haujifichi ndugu mgalatia.

Hebu Tuonje Hilo Agano lako Jipya tuone je lina Afadhali?

Hebu Tuanze na wale WAIMBA KWAYA (WANAWAKE) Biblia ktk Agano Jipya inawapa Haki zao za Msingi?

1 Corinthians 11:3
But I would have you know, that the head of every man is Christ; and the head of the woman is the man; and the head of Christ is God.


1 Corinthians 14:34-36
Let your women keep silence in the churches: for it is not permitted unto them to speak; but they are commanded to be under obedience as also saith the law. And if they will learn any thing, let them ask their husbands at home: for it is a shame for women to speak in the church.


Ephesians 5:22-24
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as unto the Lord. For the husband is the head of the wife, even as Christ is the head of the church: and he is the saviour of the body. Therefore as the church is subject unto Christ, so let the wives be to their own husbands in every thing.

Colossians 3:18
Wives, submit yourselves unto your own husbands, as it is fit in the Lord.

1 Timothy 2:11-15
Let the woman learn in silence with all subjection. But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence. For Adam was first formed, then Eve. And Adam was not deceived, but the woman being deceived was in the transgression. Notwithstanding she shall be saved in childbearing.

Titus 2:4-5
Teach the young women to be ... obedient to their own husbands, that the word of God be not blasphemed.

1 Peter 3:1
Likewise, ye wives, be in subjection to your own husbands.

Kwa maandiko haya machache tu AGANO JIPYA linatufunza kuwa MWANAMKE ni km mnyama wa kufuga tu. Hana haki yyt ispokuwa kile anachofundishwa na BWANA WAKE.

Na Mwanamke wa KIKRISTO mwenye Kwenda kinyume na Maamrisho haya AMELAANIWA na Paulo Na yesu wa msalabani.

Sasa nashangaa wanawake mko kimya Hata kuwauliza Hao Maaskofu Kwanini andiko Linawadhalilisha namna hii HAKUNA!! na sababu ni kuwa nyie Mmepigwa marufuku kuuliza maswali yyt kanisani.
Mmeitwa KONDOO kwa sababu KONDOO KAZI YAKE NI KUFUATA TU KILE ALICHOFUNDISHWA.

Halafu bado unadanganya watu hapa.

Ugalatia mzigo Mkuu. Okoa nafsi yako kabla HUJAFA MKAFIRI?
Shauri yako. We endelea kuabudu mzungu tu.
Usije kusema hukuambiwa.

Duh! Kumbe wanatakiwa wakae kimya kanisani? Sasa mbona hao hao wanawake ndip wanaongoza kwa kelele kanisani. Duh kweli mzigo. Then wanadanganya kuwa mwanamke wa kiislam amenyimwa haki wao je??
 
Duh! Kumbe wanatakiwa wakae kimya kanisani? Sasa mbona hao hao wanawake ndip wanaongoza kwa kelele kanisani. Duh kweli mzigo. Then wanadanganya kuwa mwanamke wa kiislam amenyimwa haki wao je??

Mkuu Bibilia inasema Wazi kabisa suala la Mwanamke Kukaa kimya kabisa MAKANISANI lkn WAKRISTO wanakwenda kinyume na AMRI ZA KITABU chao.
Agano JIPYA linasema.

1 WAKORINTHO 14: 34-35

Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-

35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-

LKN Kina Mama wa kigalatia midomo mirefu ka waimba Mchiriku.

Halafu Hizo Ibada zao za makelele km yule Gwajima Na Makanisa karibu yote Tazama BIBILIA inasema nini Kuhusu Hizo Ibada ZA KELELE na Makwaya km Ndombolo ya Solo.

MATHAYO 6:5-6.

5.Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.-
6-Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.-
7-Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.-
8-Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.-

SASA Muulize huyu mgalatia 2013 na wagalatia wengine WASIOJUA BIBILIA hizi Kwaya Na Kupiga makelele ya kutoana Pepo na zile za Gwajima za wiii wii wii.
WAMEZITOA KWENYE ANDIKO lipi km SIO WANAFIKI HAWA km Bibilia ilivyo Waita?


Wakristo Wa sasa ni WASANII tu. ULE UKRISTO WA ASILI Umekufa loong time hivi sasa hawa Wagalatia wanazidi Kuchakachua kitabu chao ili waandike wanayotaka wao.
Ndio maana Ndoa za jinsia moja siku hizi zinapitia MAKANISANI ili mbele ya safari Wakiongeza Mstari Watu wasishangae.

Wabaya sana hawa Viumbe.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa hawajitambui tuu kuwa hiyo sii dini ya haki mbele ya MUNGU?
 
Mkuu Bibilia inasema Wazi kabisa suala la Mwanamke Kukaa kimya kabisa MAKANISANI lkn WAKRISTO wanakwenda kinyume na AMRI ZA KITABU chao.
Agano JIPYA linasema.

1 WAKORINTHO 14: 34-35

Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-

35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-

LKN Kina Mama wa kigalatia midomo mirefu ka waimba Mchiriku.

Halafu Hizo Ibada zao za makelele km yule Gwajima Na Makanisa karibu yote Tazama BIBILIA inasema nini Kuhusu Hizo Ibada ZA KELELE na Makwaya km Ndombolo ya Solo.

MATHAYO 6:5-6.

5.Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.-
6-Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.-
7-Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.-
8-Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.-

SASA Muulize huyu mgalatia 2013 na wagalatia wengine WASIOJUA BIBILIA hizi Kwaya Na Kupiga makelele ya kutoana Pepo na zile za Gwajima za wiii wii wii.
WAMEZITOA KWENYE ANDIKO lipi km SIO WANAFIKI HAWA km Bibilia ilivyo Waita?


Wakristo Wa sasa ni WASANII tu. ULE UKRISTO WA ASILI Umekufa loong time hivi sasa hawa Wagalatia wanazidi Kuchakachua kitabu chao ili waandike wanayotaka wao.
Ndio maana Ndoa za jinsia moja siku hizi zinapitia MAKANISANI ili mbele ya safari Wakiongeza Mstari Watu wasishangae.

Wabaya sana hawa Viumbe.

Mkuu umesahau ni wazuri sana wa kupinga maandiko yao wenyewe
Cc Ishmael
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesahau ni wazuri sana wa kupinga maandiko yao wenyewe
Cc Ishmael

Sijasahau hata kidogo.
Leo Dunia nzima inatambua kuwa Hawa wote ni Wasanii tu na wachumia tumbo.


Halafu sijui kwanini hawa Wagalatia hawaamki na kuona jinsi wanavyoibiwa.

Gwajima anatembelea Helicopter lkn wengi wa wafuasi wake hela ya kula pia ni shida.
Yaani nashindwa kushangaa kabisa.

Hebu zisome Sifa ZA MKRISTO WA KWELI HAPA kutoka ktk AGANO JIPYA uone Ni MKRISTO GANI ANASIFA HIZI DUNIANI?

MARKO 16;17

17.Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;-
18-watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.-

Ati Gwajima anawaambia anafufua watu.
Teh teh teh.
Kaazi kweli kweli. Na huyu padri hapa anawanywesha Kondoo Petroli ati itageuka Maji!

After South African Pastor Makes Church Members Eat Grass, He Now Forces Them to Drink Petrol.
http://images.christianpost.com/full/76749/petrol.jpg

http://m.christianpost.com/news/aft...s-he-now-forces-them-to-drink-petrol--127099/

Teh teh teh. Tuendelee kamanda.
Sifa ingine ya MKRISTO WA KWELI hii hapa.

LUKA 10:19.

19.Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

SASA Mwambie Gwajima Au Ishmael au 2013 au Mgalatia yyt akamate nyoka au Nge uone sarakasi.

Uozo na usanii mtupu hawana lolote.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa hawajitambui tuu kuwa hiyo sii dini ya haki mbele ya MUNGU?

Mkuu we unadhani aliyewapa jina la KONDOO alibahatisha?

We toka lini KONDOO akaa chini kufikiri?
Siku akifanya hivyo Na ile sifa ya kuitwa kondoo anaagana nayo jumla.

Watu km Mohamed Ali walipoamua kuukataa Ukondoo si uliskia walichofanya?
 
Mkuu umesahau ni wazuri sana wa kupinga maandiko yao wenyewe
Cc Ishmael

Aisha herself said it: “I have not seen any woman suffering as much [from beatings] as the believing women.” (Sahih Bukhari 7.72.715)


Sharia Law mandates the oppression and subjugation of women:
Wife beating “[A husband] may hit her, but not in a way that injures her, meaning he may not break bones, wound her, or cause blood to flow.” (Reliance of the Traveler, Section m10.12)
 
Mkuu Bibilia inasema Wazi kabisa suala la Mwanamke Kukaa kimya kabisa MAKANISANI lkn WAKRISTO wanakwenda kinyume na AMRI ZA KITABU chao.
Agano JIPYA linasema.

1 WAKORINTHO 14: 34-35

Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.-

35-Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.-

LKN Kina Mama wa kigalatia midomo mirefu ka waimba Mchiriku.

Halafu Hizo Ibada zao za makelele km yule Gwajima Na Makanisa karibu yote Tazama BIBILIA inasema nini Kuhusu Hizo Ibada ZA KELELE na Makwaya km Ndombolo ya Solo.

MATHAYO 6:5-6.

5.Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.-
6-Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.-
7-Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.-
8-Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.-

SASA Muulize huyu mgalatia 2013 na wagalatia wengine WASIOJUA BIBILIA hizi Kwaya Na Kupiga makelele ya kutoana Pepo na zile za Gwajima za wiii wii wii.
WAMEZITOA KWENYE ANDIKO lipi km SIO WANAFIKI HAWA km Bibilia ilivyo Waita?


Wakristo Wa sasa ni WASANII tu. ULE UKRISTO WA ASILI Umekufa loong time hivi sasa hawa Wagalatia wanazidi Kuchakachua kitabu chao ili waandike wanayotaka wao.
Ndio maana Ndoa za jinsia moja siku hizi zinapitia MAKANISANI ili mbele ya safari Wakiongeza Mstari Watu wasishangae.

Wabaya sana hawa Viumbe.

Kama unajua ukristo wa asili upo. Kwanini usiufuate. Na kuAchana na kusujudia mungu mawe.

Mi unanilaumu wakati alhamdulilah mungu wangu ni wa kichagga. Ha ha ha ha

Shida ni kwako nabtali. Umepewa hadi jina la kiarabu. Na nywele zako ngumu hata chanuo halipiti. Hivi unajua mudi Alisema shetani anafanana na wewe nabtali.?
Pwa pwa pwa
Na ukimwota mkeo mweusi kama wewe elewa gonjwa baya lakujia ( desease of forthcoming.).
Ukiota mwanamke wa kiarabu jua hapo hakuna tatizo.
Mnywa mkojo wa ngamia we. Na uji wa sunna.
Your racist Arabic lunar god. A.k.a monthgod
 
Last edited by a moderator:
Kama unajua ukristo wa asili upo. Kwanini usiufuate. Na kuAchana na kusujudia mungu mawe.

Mi unanilaumu wakati alhamdulilah mungu wangu ni wa kichagga. Ha ha ha ha

Shida ni kwako nabtali. Umepewa hadi jina la kiarabu. Na nywele zako ngumu hata chanuo halipiti. Hivi unajua mudi Alisema shetani anafanana na wewe nabtali.?
Pwa pwa pwa
Na ukimwota mkeo mweusi kama wewe elewa gonjwa baya lakujia ( desease of forthcoming.).
Ukiota mwanamke wa kiarabu jua hapo hakuna tatizo.
Mnywa mkojo wa ngamia we. Na uji wa sunna.
Your racist Arabic lunar god. A.k.a monthgod

Teh teh teh.
Mi loving dis bwaty boy!
 
Sijasahau hata kidogo.
Leo Dunia nzima inatambua kuwa Hawa wote ni Wasanii tu na wachumia tumbo.


Halafu sijui kwanini hawa Wagalatia hawaamki na kuona jinsi wanavyoibiwa.

Gwajima anatembelea Helicopter lkn wengi wa wafuasi wake hela ya kula pia ni shida.
Yaani nashindwa kushangaa kabisa.

Hebu zisome Sifa ZA MKRISTO WA KWELI HAPA kutoka ktk AGANO JIPYA uone Ni MKRISTO GANI ANASIFA HIZI DUNIANI?

MARKO 16;17

17.Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;-
18-watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.-

Ati Gwajima anawaambia anafufua watu.
Teh teh teh.
Kaazi kweli kweli. Na huyu padri hapa anawanywesha Kondoo Petroli ati itageuka Maji!

After South African Pastor Makes Church Members Eat Grass, He Now Forces Them to Drink Petrol.
http://images.christianpost.com/full/76749/petrol.jpg

http://m.christianpost.com/news/aft...s-he-now-forces-them-to-drink-petrol--127099/

Teh teh teh. Tuendelee kamanda.
Sifa ingine ya MKRISTO WA KWELI hii hapa.

LUKA 10:19.

19.Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

SASA Mwambie Gwajima Au Ishmael au 2013 au Mgalatia yyt akamate nyoka au Nge uone sarakasi.

Uozo na usanii mtupu hawana lolote.

Hata YESU alipokua msalabani aliambiwa jiokoe mwenyewe. Hakufanya hivyo.
Kumbe hakuna haja ya kufanya hivyo...

NApata picha ishara hizo ni kwa waaminio tu. We huamini. Utazionaje.?punk ass
 
Last edited by a moderator:
Hata YESU alipokua msalabani aliambiwa jiokoe mwenyewe. Hakufanya hivyo.
Kumbe hakuna haja ya kufanya hivyo...

NApata picha ishara hizo ni kwa waaminio tu. We huamini. Utazionaje.?punk ass

Naona Unashindwa kumtaja Yesu unaedai kumuamini bila kumuunganisha na MATUSI.
Hii ndio Heshima mnayompa Yesu WAKRISTO wa LEO.

Ngoja Ummah Ukusome Mfuasi wa PAULO unavyoonyesha Heshima Kwa huyo Umuitae MTAKATIFU.
 
Kama unajua ukristo wa asili upo. Kwanini usiufuate. Na kuAchana na kusujudia mungu mawe.

Mi unanilaumu wakati alhamdulilah mungu wangu ni wa kichagga. Ha ha ha ha

Shida ni kwako nabtali. Umepewa hadi jina la kiarabu. Na nywele zako ngumu hata chanuo halipiti. Hivi unajua mudi Alisema shetani anafanana na wewe nabtali.?
Pwa pwa pwa
Na ukimwota mkeo mweusi kama wewe elewa gonjwa baya lakujia ( desease of forthcoming.).
Ukiota mwanamke wa kiarabu jua hapo hakuna tatizo.
Mnywa mkojo wa ngamia we. Na uji wa sunna.
Your racist Arabic lunar god. A.k.a monthgod

UKRISTO wa Asili Ni Huu hapa.


Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.-
6-Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.-
7-Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.-
8-Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.-
9-Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,-
10-Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.-
11-Utupe leo riziki yetu.-
12-Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.-
13-Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]-

Nakuuliza Ni NANI KTK NYIE Wakristo wa Sasa ANAMUOMBA MUNGU KIMYA KIMYA.?
Ni nani ktk NYIE anaeabudu MUNGU?

Nyie woite mwabudu MTU au SANAMU au PICHA!

Na MAKANISA kwenye IBADA YA ASILI HAYAKUWEPO nyie MMEYABUNI haya Makanisa ya KISHETANI.

Subiri Adhabu Kali Kutoka kwa MUNGU MKUU. mauti yakishawakuta.
 
UKRISTO wa Asili Ni Huu hapa.


Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.-
6-Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.-
7-Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.-
8-Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.-
9-Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,-
10-Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.-
11-Utupe leo riziki yetu.-
12-Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.-
13-Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]-

Nakuuliza Ni NANI KTK NYIE Wakristo wa Sasa ANAMUOMBA MUNGU KIMYA KIMYA.?
Ni nani ktk NYIE anaeabudu MUNGU?

Nyie woite mwabudu MTU au SANAMU au PICHA!

Na MAKANISA kwenye IBADA YA ASILI HAYAKUWEPO nyie MMEYABUNI haya Makanisa ya KISHETANI.

Subiri Adhabu Kali Kutoka kwa MUNGU MKUU. mauti yakishawakuta.
Kama unaujua ukristo wa asili . je mungu wa kiarabu umemfata wa nini?


Nami nakuuliza. Umewahi ona wapi masunagogi hapa nchini ili tukiomba tusipayuke karibu nayo.hope hakuna hata wewe wajua hilo

Peter aitwaye Cefa aliambiwa na Yesu kuwa.. juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu...

Utaona kuwa yesu Hakusema atalijenga sunagogi wala hekalu bali kanisa.
So makanisa yamebuniwa na YESU mwenyewe..
 
Binti huyu wa kabila LA Mchagga amekuwa shujaa wangu wa imani baada ya kumfyeka kata funua kijimungu na Wachagga.
Namuita shujaa kwa sababu amewadhihirishia wachagga Kuwa Mungu si lolote wala chochote.
Kwanza kampiga
Pili kamvunja
Tatu mungu kashindwa kujitetea
NNE mungu ameshindwa kujua Upendo kaenda wapi? Hadi kaenda kuomba msaada gazetini.

Ndugu zangu, tutubu na kumrudia Mungu wetu aliye hai.

https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=251871&stc=1&d=1431660623
 

Attachments

  • mchagga.jpg
    mchagga.jpg
    55.4 KB · Views: 403
Binti huyu wa kabila LA Mchagga amekuwa shujaa wangu wa imani baada ya kumfyeka kata funua kijimungu na Wachagga.
Namuita shujaa kwa sababu amewadhihirishia wachagga Kuwa Mungu si lolote wala chochote.
Kwanza kampiga
Pili kamvunja
Tatu mungu kashindwa kujitetea
NNE mungu ameshindwa kujua Upendo kaenda wapi? Hadi kaenda kuomba msaada gazetini.

Ndugu zangu, tutubu na kumrudia Mungu wetu aliye hai.

https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=251871&stc=1&d=1431660623

Post yako inachanganya sehemu aisee... Umesema mungu halafu ukasema Mungu... Na at some points ukaweka Mungu kwenye mungu

Tafadhari tambua yakua Mungu hachanganywi...
 
Wachagga wanna culture .....kufuata mila ..hakuhusian Kabisa na dini ...wao hawajaacha mila zao
 
Wachagga wanna culture .....kufuata mila ..hakuhusian Kabisa na dini ...wao hawajaacha mila zao

culture ni nini?
mfumo mzima wa maisha ya MTU ndio utamaduni wake. Mila, utamaduni, lugha, vyakula, Ibada nk.
Wachagga ni watu wa mizimu Sana, miungu sana na mila Sana. December ni mwezi rasmi wa matambiko na makafara.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom