Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Kwahiyo unataka kusema wale jamaa na ndugu zetu ambao kitabu (Mungu) cha kikikojolewa wanaanzisha vurugu nao Mungu wao hana nguvu hadi wanafanya vurugu ?.
wale wana mashetani kwa sababu aliyefanya lile ni mtoto mdogo ambaye alikuwa haelewi ila wenzetu sasa walivyofanya vurugu utafikiria hilo tukio lilifanya na kiongozi wa kanisa.