Mungu wa Israel ni mkuu

Mungu wa Israel ni mkuu

Hawa wakanisa wengi wao wamepigwa story za uwongo kwamba taifa la Israel hili la sasa ni kipenzi cha Mungu hahaha. Hawajui hapo huo mstari um3mkusudia ni Nabii Yakobo ambaye alitwa jina lingine linaitwa Israel, kwa sababu alikuwa mshika dini sana. Mwenye kusikiliza maneno ya Mungu na kusimamisha sana salaa. Hata huyu jamaa anawambia hayo hayo mimi kila siku hayo maneno nayo wambia wakanisa hebu msikilizeni.


View: https://youtube.com/shorts/j_uHL572sjQ?si=WPeLbHvcJz8IkzJm

Mkuu huu uongo ni wa karibuni tu tena ni kikundi kidogo cha watu ndo wametengeneza huu uongo na kuusambaza makanisani.

Mfano chapisho la scoffield bible ya mwaka 1909 imetoa tafsiri nyingi za kipropaganda kama kuizungumzia israel ya sasa ambapo original bible haijazungumzia israel ya sasa.
Wakristo wengi ni wavivu wa kutafuta ukweli.
 
Allah mwenyewe namwonaga kama kituko fulani sawa tu na Elohim 😁
Ukisema ā€œAllahā€ hiko ni kiarabu kinachotafsiriwa kama ā€œThe Godā€. Kwahiyo wewe unamkashifu Mungu au bibilia inafundisha kila taifa au kila dini lina Mungu wake
 
Back
Top Bottom