Mungu si athumani

Mungu si athumani

Mashroud

Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
71
Reaction score
5
Jamaa 1 alikuwa akisafiri akapumzika chini ya muembe. Alipoangalia juu alisema moyoni "mungu kwel amekosea kuweka maembe madogo juu wakat maboga makubwa yako chini ardhini" Akapitiwa na usingizi mara embe likaanguka na kumpiga kichwani. Jamaa: kwel mungu ana akili,je lingekuwa boga ndio limeniangukia...? Muacheni MUNGU aitwe MUNGU.
 
Teh teh nimeipenda na inafurahisha
 
Up up up up,umeng'ara yani,but sijui kama umewahi shuhudia mtu aliyedondokewa na dafu,ni balaa!
 
njia za Mungu ni kamilifu, hekima yake haina kipimo
 
Back
Top Bottom