Mr Never Mind
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 287
- 335
- Thread starter
-
- #41
natamani kuuza vitu ila nilipata kiugum n nahis ntauza kwa hasara sababu ya hali yanguKodi sasa itakuwaje..si vyombo vitataifishwa na maza hausi...mie nadhan akaze tu..asijifungie ndan..ukijifungia ndan na hela inajifungìa hukooo
pole mkuu ntapambana n i will come with feedbacksnever give up mkuu,kuna watu tunapitia mapito na nyakati ngumu mkuu mbona wewe una nafuu,
shukuru hata unapa kukimbilia(wazazi) wengine hatuna,tunapambana na kumlilia Mungu na kwa wakati wake atajibu
asanteni sanaHuenda una uafadhari ww...bora ww huna familia..kuna wenzako wana mke na watoto na wanapitia situation ngumu km hyo..usijufungie ndani...toka nje
natamani kuuza vitu ila nilipata kiugum n nahis ntauza kwa hasara sababu ya hali yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
nipo mbeya kakaMkuu upo sehemu gani, kama upo Dar nicheki nije nikutoe hata buku tano leo upate japo chakula cha mchana.
ukisoma thread yote utaona sehem nnapoona nina afadhaliKabisa yaan akisikia ya wengine atajiona ana uafadhali
yupo chuo kakaNdio muda mwafaka wa kujua km uko na mwanamke sahihi wa ndoto yako, mwambie matatizo yako uone atakusaidiaje.
Na km mwanamke wako ana kazi sidhani km atakutupa.
Sent using Jamii Forums mobile app
nime survive miez miwili na hii hali last month hom walinipiga tafu n ghetto nna mali ambazo kuziacha ni ngum since mother house ni kivuruge na ana funguo inayofungua kila chumba cha nyumba yakeUdhaifu kitu gani bhana, watu tumeolewa lkn kuna muda unakwama hd unaomba msaada nyumbani.
Mtoto kwa mzazi hakui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana
Nimefukuzwa kazi
Nadaiwa kodi ya miezi mitatu
A 5000 ya umeme
Sina hela
Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina
Nipo mikoa ya mbali na nyumbani
Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000
Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo
Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia
Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old
Akili inachoka nahisi kuanguka
EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA
HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU
NISITAMANI KUJIUA
KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA
NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
mkuu sio smartphone tuYan smartphone unayo w unaswma hali ngumu hujala kimfaacho m2 chake mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Komaa machungu yakizidi utamu uko karibuHiki kipindi napitia maisha magumu sana
Nimefukuzwa kazi
Nadaiwa kodi ya miezi mitatu
A 5000 ya umeme
Sina hela
Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina
Nipo mikoa ya mbali na nyumbani
Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000
Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo
Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia
Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old
Akili inachoka nahisi kuanguka
EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA
HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU
NISITAMANI KUJIUA
KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA
NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
sina hata wana huku nipo kwa miez mitano n nlikua busy na kaziUsiuze...usikate tamaa..hivyo ndo vya muhim kwa sasa tafuya deiwaka
asantemkuu toka nje, Mungu atakuletea mtu wa kukutoa hapo...wengi yunapitia hizo changamoto.
So nini ambacho unaona kitakufaa kwa sasa?natamani kuuza vitu ila nilipata kiugum n nahis ntauza kwa hasara sababu ya hali yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
😊😊😊😊😊be blessed