Mungu ni mwema

Mungu ni mwema

Huku ni kujifariji kwa fisi. Kufikiri kuwa mkono wa binadamu unavyotikisika basi u karibu kidondoka.
Hahaha maombi yatasikiwa labda anaetakiwa kuyasikia kuna nta kwenye masikio yake ndio maana hasikii
 
Back
Top Bottom