Mungu ni mwema wakati wote.

Sefu jafary

JF-Expert Member
Jun 5, 2016
382
258
Tunayo majonzi makubwa kukupoteza ndugu yetu,mwanachuo mwenzetu Mariam mwaka wa pili (KOTC).Pamoja na changamoto zote ulizo pitia toka Udom,kasulu hadi Korogwe ambapo ndipo umauti umekufikia.Japo ndoto zako zimeishia njiani, hatuna budi kumshukuru m'ngu kwa yote sababu yeye ndo anatoa na pia anao uwezo wa kutwaa alicho kitoa.Marehemu kafariki jana tar 19/03/17 katika hospitali ya wilaya ya magunga na mwili wa marehemu umesafirishwa leo tar 20/03/17 kwenda mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya mwanga aliko zaliwa.
Rest in peace.
7d0512a3a8dd4cb3f7c75fbeaa5d9710.jpg
 
Wote ni wa mwenyezi mungu na sisi sote tutarejea kwake mola msamehe dhambi zake na umuondolee adhabu ya kaburi
 
so sad, R.I.P Mariam

ila MUNGU ana kusudi lake kwanini anachukua watu wema na wastaarabu anatuachia makonda+magufuli, natamani sana ningejua kusudi la bwana MUNGU wetu...
 
Back
Top Bottom