Kwa kuwa kuna wema na ubaya, akiwa mwema ni Mungu, akiwa na ubaya ni shetani. Hata hivyo ninaona ushetani umezidi kwani kila penye mafanikio makubwa shetani yupo. Huenda ushetani utameza wema hivyo Umungu kupotea . Kuna mwanafalsafa alisema "God is dead"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.