Mungu na ulimwengu

Hawezi kutoka nje ya sayari yake sababj haiwezekani na haitokuja kutokea.

Pili ni viumbe gani wenye akili kuliko binadamu ?
Angalia nafasi ya hiyo nyota ya maisha yetu jua katika hiyo galaxy
Angalia na hiyo nyingine uone Jua lipo wapi uchukue tafakari je Mungu ameumba ulimwengu usiopimika kwa mwanadamu na kumuweka mwanadamu katika ka sayari kadogo tu au kuna viumbe wengine?

Hii ni galaxy yenye billion za nyota na Galaxy zipo mamilion je unafikiri quintillion za nyota zilizo umbali usiohesabika quintillion zote zinasapoti uhai wa mwanadamu?

Uki zoom unaweza kuhesabu hizo nyota?
 
Mkuu jitahidi kutumia kichwa vizuri Mungu katupa akili tuzitumie usiendeshwe na mihemko ya dini tafta ukweli kwa kujifunza
Naaam indeed "" unaongea vyema kabisa ""...
 
We unamjua kiranga akiuona uzi huu uwe tayari kuutetea hasaidiwi mtu humu
 
Kama mumgu mwingi wa Rehema mbona kashindwa kusamehe shetani? Huoni hizo ni hadithi
 
hata hivyo MUNGU atabaki kuwa Mungu mwenye mamlaka dhidi yetu na kila kiumbe,tujikite katika uhalisia tuachane na unadhiria yamkini Mungu atatusamehe makosa yetu
Mungu hawezi kutusamehe makosa yetu maana hana hata tone la msamaha au kusamehe kwa sababu hata Adam na hawa hakuwasamehe

Maana angewasamehe pasingekuwa na yaabu magonjwa n.k
 
Yote haya yanatokea kwenye vichwa vya watu kwa sababu hawajui hesabu...

Hivi unaanzaje kuwazia vitu ambavyo huwezi kuvibadili?

Wewe namna ulivyo hukujadiliana na mtu ili uzaliwe ... ni kwa nini sasa unaanza kujadili mambo ambayo hayakuhuusu?

Tafuteni ufalme wa mbinguni na haya yote mtazidishiwa ... HAYA YOTE NI YAPI?

Haya yote ni pamoja na kupata ujuzi uongozao milele.... Mshana Jr. alishasema siku nyingi kuwa uhai ni energy na energy huwa haipotei... wasi wasi wenu nini? Hakuna kupotea ila tutaenda sehemu tofauti... mlengo wa kushoto wataenda kwa shetani ... mlengo wa kulia tutakuwa kwa Baba Muumba mbingu na nchi.
 
Inategemea na Mungu yupi has a mnaemuongelea hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…