Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 1,000
- 292
Wakuu ni jambo la heri kumtukuza MUNGU,alitoa upendeleo zaidi kwa wanadam kuliko viumbe wengine,lakini mara nyingi wanadam tunamkwaza kwa matendo yetu maovu.
Mungu anao uwezo wa kufan ya lolote na kumaliza jeuri na kiburi cha binadamu pia kama maandiko yasemavyo katika Biblia-Takatifu,tujiulize na kutafakari kabla ya uumbaji wa ulimwengu na viumbe hai MUNGU aliumba na kuishi na nini,je anao uwezo wa kuangamiza ulimwengu mzima
Mungu anao uwezo wa kufan ya lolote na kumaliza jeuri na kiburi cha binadamu pia kama maandiko yasemavyo katika Biblia-Takatifu,tujiulize na kutafakari kabla ya uumbaji wa ulimwengu na viumbe hai MUNGU aliumba na kuishi na nini,je anao uwezo wa kuangamiza ulimwengu mzima