Tunakushukuru, tunakusifu, tunakuabudu na kukutukuza Mungu mkuu.
Tunaomba Mungu mkuu na Mungu mwenye haki, uitazame kwa macho yako yenye huruma Nchi yetu Tanzania na Watanzania wote.
Tunakuomba kwa mateso ya wateule wako walio mstari wa mbele wa mapambano ya ukombozi wa kweli wa Nchi waliyoyapata na wanayoendelea kuyapata huko Mitaani, Magerezani na popote pale, mwaka huu usipite bila Tanzania kupata ukombozi wa kweli wa Nchi hii. Utatuma jeshi la malaika zako kuja kufutilia mbali udhalimu na uovu wa kila aina uliopo katika Nchi hii.
Amina.
Tunaomba Mungu mkuu na Mungu mwenye haki, uitazame kwa macho yako yenye huruma Nchi yetu Tanzania na Watanzania wote.
Tunakuomba kwa mateso ya wateule wako walio mstari wa mbele wa mapambano ya ukombozi wa kweli wa Nchi waliyoyapata na wanayoendelea kuyapata huko Mitaani, Magerezani na popote pale, mwaka huu usipite bila Tanzania kupata ukombozi wa kweli wa Nchi hii. Utatuma jeshi la malaika zako kuja kufutilia mbali udhalimu na uovu wa kila aina uliopo katika Nchi hii.
Amina.