Mungu Mbariki Tundu Lissu! Afanyiwa upasuaji wa Mwisho kabisa... Atarudi akitembea kama kawaida

Duh!! Kila siku tunaambiwa ya mwisho ya mwisho huyu jamaa atakuwa na matobo sana mwilini au kuna baadhi wanaforce asisahulike?

Povu ruksa.
 
Ni Mungu tu ndiye anajua hatima ya huo mguu.
Alikuwa ameanza kuutembelea kwa magongo akiufanyia mazoezi. Katika mazoezi hayo it appears something bad happened. It appears it (femur) fractured and now it is on external fixators (maarufu hapa kama antenna). It is a last salvage attempt operation. If it fails there will be no more operations except may be to put an artificial limb.

Tuendelee tu kumwomba Mungu ili operation hiyo ya mwisho kujaribu ku salvage mguu wake ifanikiwe.
kama una kumbukumbu nzuri , hiki kilichofanyika sasa kilitakiwa kufanywa wakati ule wa oparesheni kubwa , bali iliachwa kwanza kwa vile ile tu ilienda almost masaa 7 , kwahiyo ikabidi itafutiwe muda mwingine
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !

Hatimaye Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria bora kabisa kuwahi kuwepo kwenye eneo la maziwa makuu tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , amefanyiwa upasuaji uliofanikiwa wa masaa matano kwenye mguu wake wa kulia.

View attachment 806778

Taarifa zinasema huu ni upasuaji wa mwisho ambao utamuwezesha kutembea kama vile alivyokuwa kabla ya shambulizi la kishamba lililofanywa na watu waoga walioshindwa hoja.

Shukrani kwa kila aliyechangia matibabu yake ndani na nje ya nchi
Haleluyah, ashukuriwe Mungu aliye hai, Mungu awezaye kuponya na kuwaepusha wateule wake na mauti, na kuwaokoa kutoka mapanga ya mafashisti na madubu watoa roho
 
Tafiti hupingwa na Tafiti mpya , kupinga tu kwa sababu umelipwa elfu 7 utaonekana mwehu
Kuna utafiti wowote ulioleta?au mahaba yako?Unaweza kuja na kesi nzito alizoshinda Lisu ambazo ilikua kwa mwanasheria wa kawaida asingetoboa?Nakubaliana na wanaosema kilichompa umaarufu lisu ni uhanarakati na si kingine.Mwanasheria nguli hawezi ongea kitu cha kisheria na kisitokee.Mfano Toka alivyosema TUTASHITAKIWA,je tumeshtakiwa?Kuna kesi za fao la kujitoa,Mikopo vyuo vikuu,magufuli kuvunja katiba nk je ziliishia wapi? Njoo na kesi nzito alizoshinda Lisu kabla ujamwaga masifa hayo coz umesema tafiti hupingwa kwa tafiti
 
Nitakutukana nifungiwe niende kenya talk potelea mbali
Kuna umuhim wa GREAT THINKER kutukana?Au sikuizi mnaamini ktk matusi kama HOJA?Mwanasheria anayejielewa na yuko kwa maslai ya umma HAWEZI zunguka miaka 8 na ushahidi mkononi anaaminisha umma LOWASA fisadi afu ndan ya dk kadhaa anaanza kumsafisha.Lisu ni Mwanasheria UCHWARA kuwahi tokea eneo la maziwa makuu sema kapata wafuasi ambao kichwani ni WEUPE.
 
Dah!!Wanadamu wana Roho mbaya sana.Imagine aliyemshambulia huyu bwana yupo tu na wala hajutii alichofanya Pengine.
Mkuu wataalam wa mambo wanatuambia kuwa hakuna mtu asiyejutia jambo alilo likusudia likiwa limefeli...
 
Ukitaka ujue hii nchi INA watu kwenye roho mbaya siku akitua airport watu watakatazwa kwenda kumlaki
 
Tangu Mh.Wakili Msomi apate ajali ya risasi Chadema Kama vile ipo Chumba Cha Wagonjwa Mahututi
Siku hizi hakuna Cha Mdee, Lema, Kubenea n.k
Angalau kidogo Sugu ndio ananyanyua sauti

Boeing 787-H Dreamliner limesababisha bendera zote za Malofa zipepee nusu Mlingoti
Vigelegele vya mataahira hivi! Mwambieni yule mwenye ma.ta.ko makubwa utafikri huwa namwingizia MUNGU anafahamu alichokifanya! Na yule taahira kama mambo yamemshinda akimbie ofisi! Tunatawaliwa na washambbbbbbbbbbb!!
 
Kuna watu ndio maana kila siku wanavurunda kutokana na dhambi kama hizi wanazozitenda.
Halafu eti Jumapili linapanga foleni kwenda kukomunika, shenxyy type kabisa! MUNGU wangu siku hizi amezidi huruma, angelifagilia mbali hili dubwana!
 
Kuna umuhim wa GREAT THINKER kutukana?Au sikuizi mnaamini ktk matusi kama HOJA?Mwanasheria anayejielewa na yuko kwa maslai ya umma HAWEZI zunguka miaka 8 na ushahidi mkononi anaaminisha umma LOWASA fisadi afu ndan ya dk kadhaa anaanza kumsafisha.Lisu ni Mwanasheria UCHWARA kuwahi tokea eneo la maziwa makuu sema kapata wafuasi ambao kichwani ni WEUPE.
Haya basi baba yako ndiye mwanasheria nguli east and central africa, tumemaliza
 
Waliofanya ukatili Kwa TL tutakuja kuwajua siku ya kiama! Lakini Kama maandiko yanavyosema ukiua Kwa upanga utakufa Kwa upanga nao watapata taabu sana duniani na akhera!!
Ila tuache utani tukiweka mambo yote pembeni tulitazame hili jambo kwa mtazamo wa kibinadamu Tundu Lisu kapitia mateso sana .
Huwa najiuliza anaweza vipi kutabasamu muda wote .

Hakika Mungu ni wa maajabu endelea kusimama naye ukimponya majeraha yake na kumrudishia afya yake.
 
Halafu eti Jumapili linapanga foleni kwenda kukomunika, shenxyy type kabisa! MUNGU wangu siku hizi amezidi huruma, angelifagilia mbali hili dubwana!
Kuna haja ya Makanisa kujitenga waziwazi na wahalifu wanaojulikana waziwazi , Mungu siyo fala bhana , Mtu mnamjua kabisa kwamba ana roho ya kichawi mnamruhusu vipi kuingia mazabauni ?
 
Back
Top Bottom