Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,355
- 217,391
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Hatimaye Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria bora kabisa kuwahi kuwepo kwenye eneo la maziwa makuu tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , amefanyiwa upasuaji uliofanikiwa wa masaa matano kwenye mguu wake wa kulia.
Taarifa zinasema huu ni upasuaji wa mwisho ambao utamuwezesha kutembea kama vile alivyokuwa kabla ya shambulizi la kishamba lililofanywa na watu waoga walioshindwa hoja.
Shukrani kwa kila aliyechangia matibabu yake ndani na nje ya nchi
Hatimaye Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria bora kabisa kuwahi kuwepo kwenye eneo la maziwa makuu tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , amefanyiwa upasuaji uliofanikiwa wa masaa matano kwenye mguu wake wa kulia.
Taarifa zinasema huu ni upasuaji wa mwisho ambao utamuwezesha kutembea kama vile alivyokuwa kabla ya shambulizi la kishamba lililofanywa na watu waoga walioshindwa hoja.
Shukrani kwa kila aliyechangia matibabu yake ndani na nje ya nchi