Amen
Pana wakati MUNGU uruhusu mateso hili jina lake likapate kuimidiwa kumbuka hata wakati wa farao kule misiri MUNGU aliufanya moyo wa farao kuwa mgumu mara dufu ili ukuu wake ukapate kudhiirika.
Kwangu mimi ni Boonge la Kiongozi unafiki kwake mwiko na hatua aliyoifikia ni njema sana sema kuna wengine hamtaki kuelewa yeye Binaadamu kama wewe kwa hiyo tujifunze kuwa na subra na kuombeana kheri sio kila siku lawama tu,Kwanini umeyaruhusu bwana, kwanini umeyaruhusu?
Yatusononeshe moyoni, bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini Mungu amekubali Magufuli awe rais ilihali anajua hatakimudu hicho cheo?
Bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini umeruhusu Magufuli atangazwe rais na sio Lowasa, kwanini umeyaruhusu?
Mungu, Tanzania inateseka, uhuru wa kujieleza unakufa, udikteta unashamiri, Mungu Kwanini umeyaruhusu?
Kwanini vijana wanateseka, ajira hazipo, uchumi umekwama, nchi inateseka, watesi wanashinda, Magufuli anashinda, nia njema inashindwa, baba, kwanini umeyaruhusu?
Baba unajua roho zetu, baba unajua tulivyoumia, baba fanya jambo.
NA MUNGU ULIYE JUU TUANDAE KWA YANAYOKUJA, BABA TUTAPAMBANA KAMA UKITAKA, TUTASHINDA KAMA UKITAKA, TUTASHINDWA UKITUACHA.
Kama taifa tumepata laana ya kihalaiki kwa kumkubali Magufuli atuongozeKwangu mimi ni Boonge la Kiongozi unafiki kwake mwiko na hatua aliyoifikia ni njema sana sema kuna wengine hamtaki kuelewa yeye Binaadamu kama wewe kwa hiyo tujifunze kuwa na subra na kuombeana kheri sio kila siku lawama tu,
Namshukuru sana kwa sasa huku uswazi watu tunaheshimiana wakubwa kwa wadogo ile enzi ya kumkanyaga mtu kwa bahati mbaya na kuambiwa unanijua mimi ni nani haipo tena
Bila kufanya kazi kihalali ujue imekula kwako na maadili ya kazi kwa 70% yamerudi swali la kujiuliza ukiwa kama Mtanzania umeisadia nini Tanzania kuweza kulisukuma gurudumu la maendeleo?
Ndugu zangu, hii ngoma ni mpaka 2025 kwasabu kwa dalili hizi 2020 itakuwa kama GambiaMungu atusamehe tu maana imetosha sasa.
Tumekoma na hatutajaribu tena
Kwahiyo mkuu wewe unafrahia na yanayo endelea? Imagine jamii forum ikafungwa mm na wewe tutatoa maoni yetu wapi?Mkipiga dili hamlipi zaka hamtaki kumfanya rafiki kwa mali ya udhalimu sasa mnalialia Siku nyingine mkipiga hela acheni kuumiza watoto wa wenzenu
Mliobeba mimba za hapo ufipa mtakula sana ndimu lakini hizo mimba hazitoki ng'oooo.Kwanini umeyaruhusu bwana, kwanini umeyaruhusu?
Yatusononeshe moyoni, bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini Mungu amekubali Magufuli awe rais ilihali anajua hatakimudu hicho cheo?
Bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini umeruhusu Magufuli atangazwe rais na sio Lowasa, kwanini umeyaruhusu?
Mungu, Tanzania inateseka, uhuru wa kujieleza unakufa, udikteta unashamiri, Mungu Kwanini umeyaruhusu?
Kwanini vijana wanateseka, ajira hazipo, uchumi umekwama, nchi inateseka, watesi wanashinda, Magufuli anashinda, nia njema inashindwa, baba, kwanini umeyaruhusu?
Baba unajua roho zetu, baba unajua tulivyoumia, baba fanya jambo.
NA MUNGU ULIYE JUU TUANDAE KWA YANAYOKUJA, BABA TUTAPAMBANA KAMA UKITAKA, TUTASHINDA KAMA UKITAKA, TUTASHINDWA UKITUACHA.
Sawa mkuu uko sahihi kwasabu hatuwezi kuwa na mtazamo sawa watu wote sisi kwa idadi yetu.Kwangu mimi ni Boonge la Kiongozi unafiki kwake mwiko na hatua aliyoifikia ni njema sana sema kuna wengine hamtaki kuelewa yeye Binaadamu kama wewe kwa hiyo tujifunze kuwa na subra na kuombeana kheri sio kila siku lawama tu,
Namshukuru sana kwa sasa huku uswazi watu tunaheshimiana wakubwa kwa wadogo ile enzi ya kumkanyaga mtu kwa bahati mbaya na kuambiwa unanijua mimi ni nani haipo tena
Bila kufanya kazi kihalali ujue imekula kwako na maadili ya kazi kwa 70% yamerudi swali la kujiuliza ukiwa kama Mtanzania umeisadia nini Tanzania kuweza kulisukuma gurudumu la maendeleo?
Ukute ndio ulikuwa wa kwanza kukata viuno kuimba mbele kwa mbele huku umefungulia star tvKwanini umeyaruhusu bwana, kwanini umeyaruhusu?
Yatusononeshe moyoni, bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini Mungu amekubali Magufuli awe rais ilihali anajua hatakimudu hicho cheo?
Bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini umeruhusu Magufuli atangazwe rais na sio Lowasa, kwanini umeyaruhusu?
Mungu, Tanzania inateseka, uhuru wa kujieleza unakufa, udikteta unashamiri, Mungu Kwanini umeyaruhusu?
Kwanini vijana wanateseka, ajira hazipo, uchumi umekwama, nchi inateseka, watesi wanashinda, Magufuli anashinda, nia njema inashindwa, baba, kwanini umeyaruhusu?
Baba unajua roho zetu, baba unajua tulivyoumia, baba fanya jambo.
NA MUNGU ULIYE JUU TUANDAE KWA YANAYOKUJA, BABA TUTAPAMBANA KAMA UKITAKA, TUTASHINDA KAMA UKITAKA, TUTASHINDWA UKITUACHA.
Nyumbu wote lazima wagusweNimeguswa sana .
Hii imeangukaMshaona Trump hasaidii sio! Mnaanza kumsumbua Mungu na mlishaandikiwa Tawala zote Duniani zimeshushwa
Ze Utamu blogger under arrest?
Mwanakijiji aliwaambieni Wenzenu wanalia nyie Mnacheka wakinyamaza mjue mtalia Nyie... na mimi mnanishangaza mnalia kwa sauti MbayaHii imeanguka
haijashushwa