Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,344
- 9,845
Kwanini umeyaruhusu bwana, kwanini umeyaruhusu?
Yatusononeshe moyoni, bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini Mungu amekubali Magufuli awe rais ilihali anajua hatakimudu hicho cheo?
Bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini umeruhusu Magufuli atangazwe rais na sio Lowasa, kwanini umeyaruhusu?
Mungu, Tanzania inateseka, uhuru wa kujieleza unakufa, udikteta unashamiri, Mungu Kwanini umeyaruhusu?
Kwanini vijana wanateseka, ajira hazipo, uchumi umekwama, nchi inateseka, watesi wanashinda, Magufuli anashinda, nia njema inashindwa, baba, kwanini umeyaruhusu?
Baba unajua roho zetu, baba unajua tulivyoumia, baba fanya jambo.
NA MUNGU ULIYE JUU TUANDAE KWA YANAYOKUJA, BABA TUTAPAMBANA KAMA UKITAKA, TUTASHINDA KAMA UKITAKA, TUTASHINDWA UKITUACHA.
Yatusononeshe moyoni, bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini Mungu amekubali Magufuli awe rais ilihali anajua hatakimudu hicho cheo?
Bwana, kwanini umeyaruhusu?
Kwanini umeruhusu Magufuli atangazwe rais na sio Lowasa, kwanini umeyaruhusu?
Mungu, Tanzania inateseka, uhuru wa kujieleza unakufa, udikteta unashamiri, Mungu Kwanini umeyaruhusu?
Kwanini vijana wanateseka, ajira hazipo, uchumi umekwama, nchi inateseka, watesi wanashinda, Magufuli anashinda, nia njema inashindwa, baba, kwanini umeyaruhusu?
Baba unajua roho zetu, baba unajua tulivyoumia, baba fanya jambo.
NA MUNGU ULIYE JUU TUANDAE KWA YANAYOKUJA, BABA TUTAPAMBANA KAMA UKITAKA, TUTASHINDA KAMA UKITAKA, TUTASHINDWA UKITUACHA.