Mungu kupitia Torati alikataza GMO

Mungu kupitia Torati alikataza GMO

Kama ulicho komenti ni hoja basi una dhihirisha ujinga ulio nao...

Kama una taka kusaidia basi tafuta ufumbuzi wa tatizo nq usiwaachie wazungu huku ukiwa una lalamika na kupinga juhudi zao huku wewe huoneshi juhudi bali juhudi ipo ktk kulalama

Fanya tafiti njoo nazo, kama kuna tafiti weka hapa, kama kuna mwafrika amefanya tafiti basi iweke pia...

Ila kama una pinga kwa kutumia maneno ya hao hao unao wapinga basi utaonekana juha zaidi... na hauta eleweka kama una waelewa au una wapinga na kwa namna gani...

Nasisitiza, tafuta walio fika kwenye hizo GMO plants waulize, na uzuri tanzania wapo walio kwenda ktk nchi mbalimbali ikiwemo brazil...

Na sizani kama kuna waadhiri walio enda bali walio enda ni kutoka serikali kuu na wataalamu kutoka serikali za mitaa...

Kama wapo kutoka vyuoni basi watakuwa wamepata darasa zuri sana na walifanyie kazi kusogea mbele

Pia wengi hawa fahamu kwanini GMO imeanza yani lengo hasa la GMO... sasa ukifahamu lile wazo lilipo toka na kupatikana GMO ndio hapo na sisi tuna weza anzisha tafiti zetu zaidi...

Kaa hapo hapo na mistali ya biblia sijui msahafu... et mbegu mbili? Yani GMO ni mbegu mbili? Kutoka wapi? Zimefanyikaje hizo mbegu mbili ndugu mtafiti??

Njoo na majibu au kagugo uje na majibu ndugu mtafiti...

Kama hujui jambo ni bora kukaa kimya...

Wachina huko wana tengeneza jua bandia na mwezi bandia, wewe utakaa hapo kwenye sofa ohhh kufuru hizi kufuru, huku wenzio wana piga hatua

Wengine wana kimbizana na mvua bandia za kutengeneza kwa ajili ya kilimo, wewe utakujaa hooo dunia imeisha, wana tengeneza kukabiliana na ukame maeneo ya jangwani na kwenye mvua za wasiwasi ili walime chakula kipatikane

Leo wana lima kilimo cha mpunga jangwani kwenye ardhi ambayo ipo kubwa haina bughuza wewe utakuja na habari za freemasons... mara mpunga haufai...

Watu wana jiongeza kuongeza uzalishaji kukidhi mahitaji wewe una baki chakula kimepanda bei, basi nenda shamba kalime chako maana mapoli ni mengi...

Una kaa hapa et una tetea ujinga... hakuna ujinga... tuna takiwa tukimbie tusikae tu hapa hapa tulipo tuna piga kelele alafu hatufanyi kitu....

Tuamke tuanze kupambana kukuza uchumi...
Asante sana mkuu, hivi unatumia ndizi!? Na unafahamu kuwa ndizi tamuOG zilikuwa na mbegu ndani kabla hazija modolewa? Nakuna matunda mengi tu pamoja na mboga mboga ambazo tunazitumia vzr tu bila kujua kuwa kuna ufundi umefanyika. Bado kazi tunayo.
 

Attachments

  • Screenshot_20221213-202543.png
    Screenshot_20221213-202543.png
    65.9 KB · Views: 34
Back
Top Bottom