Mungu katengenezwa na nani?

Nyie watu mtapata tabu sana kuja kunishawishi mpk nizifate dini! kama nyinyi kwa nyinyi mnabishana na kila siku longolongo,nini u perfect wa hao Mungu wenu..?
hivi huyo Mungu anaesema anaupendo ndo huyohuyo kamuacha shetani atwange watu wake anavyotaka,sasa nini maana ya upendo..?
okay hao watenda dhambi wanaenda motoni milele hlf yeye anapata faida gani..?
inafika hatua mpk vitu vyengine unatamani kutukana lkn unaacha yapite tu maana kuna watu wanateseka ni shida hlf linatokeza limtu linasema Mungu anaupendo! what.. inamaana hawaoni hao wenye shida awasaidie..?
et,kuna amri usiue hlf wkt huohuo kuna wengine wanashika mapanga wanawauwa watu et makafiri.. which kind of blindness is this..?
hivi nyie watu wa dini huo ndo utu..? haya ndio mnayofundishwa kufanya..?
Leo hii huko makanisani watu wanaishi kwa chuki,visilani,uzinzi n.k hlf kwenye vitabu vyao hayo hayaruhusiwi lkn anatenda hlf limtu linajiita mtu wa mungu! hivi kwa staili hii utamfanya mtu akiamini unachokiabudu..?
 
Nyie watu mtapata tabu sana kuja kunishawishi mpk nizifate dini! kama nyinyi kwa nyinyi mnabishana na kila siku longolongo,nini u perfect wa hao Mungu wenu..?
hivi huyo Mungu anaesema anaupendo ndo huyohuyo kamuacha shetani atwange watu wake anavyotaka,sasa nini maana ya upendo..?
okay hao watenda dhambi wanaenda motoni milele hlf yeye anapata faida gani..?
inafika hatua mpk vitu vyengine unatamani kutukana lkn unaacha yapite tu maana kuna watu wanateseka ni shida hlf linatokeza limtu linasema Mungu anaupendo! what.. inamaana hawaoni hao wenye shida awasaidie..?
et,kuna amri usiue hlf wkt huohuo kuna wengine wanashika mapanga wanawauwa watu et makafiri.. which kind of blindness is this..?
hivi nyie watu wa dini huo ndo utu..? haya ndio mnayofundishwa kufanya..?
Leo hii huko makanisani watu wanaishi kwa chuki,visilani,uzinzi n.k hlf kwenye vitabu vyao hayo hayaruhusiwi lkn anatenda hlf limtu linajiita mtu wa mungu! hivi kwa staili hii utamfanya mtu akiamini unachokiabudu..?

Dini ni mfumo sahihi wa maisha ya binaadamu kutoka kwa yule aliyemuumba.
Na sio kila mwenye dini anafuata mfumo huo kiusahihi, kuna mtu anaefuata dini na kuna mtu anaefuata matamanio ya nafsi yake.Sasa ukimuona mtu anafanya chuki kwa mwenziwe,mzinzi, anauwa basi huyo anafuata matakwa yake binafsi na wala hafuati dini kwa sababu dini yenye ukweli haina hata pahala pamoja itaamrisha kuchukiana.

Na kwasababu hiyo haimaanishi ukiwa mkiristo au muislamu ndio hutakuwa mwenye kutenda makosa. kwani wangapi wanajua ukweli lakini wana ukataa.

Atakaeokoka ni yule atakefuata kila amri ya mola wake na mpumbavu ni yule anaetaraji pepo huku anafanya makosa, awe mkiristo ama muislamu

Na pia itambulike kwamba mmoja afanyapo wema au ubaya haitomsababishia chochote huyo mungu.
Mungu anawatia watu motoni milele? sio kweli baadhi ya watu watatoka motoni kutokana na imani yangu mimi na kile kitabu ninachokisoma.Mungu anapomtia mtu motoni ni kweli hapati faida yoyte na wala hajali ila majuto kwa huyo mwenye kuchomwa kwasababu hakuna kufa.

Wakati mungu amewaumba wanadamu na majini amewapaka akili ili wachaguwe wenyewe pakufuata.Kwa maana hiyo lazima tutambue ya kwamba huyo shetani ni miongoni mwa majini hivyo ana machaguzi yake mwenyewe. kwasababu hiyo shetani alichagua kupinga na kuwapoteza wengine basi atakwenda motoni yeye na hao watakaomfuata.

Mungu hana mapenzi na wanaokufuru, mungu hana mapenzi na shetani na wenye kumfuata shetani.
Ukisikia mungu anawapenda waja wake basi upendo huo ni kwa wale wanaofuata amri zake kiusahihi.

Halafu mungu akatoa nafasi ya kusamehe pindi tunapokosea ina maana hata kama shetani ataomba msaha basi anasamehewa

Mimi sijaona watu wa jinga duniani kama atheist, halafu nahisabu wakiristo wote ni makafiri
 
Travis Walker
nami sijapata kuona watu wajinga kama watu wanaoita wenzao makafiri hlf kesho na keshokutwa anaenda hospitali anatibiwa na kafiri! duh! kumbe hadi kafiri humsaidi mungu kumtibia muumini wake!
hata kifaa anachotumia unakuta kimetengenezwa na kafiri! ha ha ha.. hamjielewi.

Ni upuuzi kuumba kitu dhaifu hlf kikiteleza unakitia adhabu hlf unasimama kujiita wewe ni perfect!.
hlf kuna haja gani ya kumbakiza shetani wanapoishi wapendwa wako huku ukijiita wewe ni mfalme wa amani ama wewe ni tumaini la wanyonge..?
kwa mujibu wa vitabu vyenu husema kuwa mungu ndio chanzo cha yote bila yeye hakuna kitu.! sasa kwa kusema hivyo hamuoni kuwa anasifa ya wema na ubaya lkn kwanini mnamfutika ktk wema tu..?
 
Utasumbuka sana kumjua Mungu hadi hapo utakapojua Mungu yupo kila sehem. coz hicho kitabu chako kimekuaminisha kumwomba Mungu hadi ugeukie upande mmoja na anajua kiarabu tu.
 
KENZY
Kwanza ninaposema kafiri simaanishi ni adui yangu mimi ila namaanisha ni mtu anaenda kinyume na maamrisho ya mungu.
Kwa hiyo mimi ninaamini wazi wakiristo ni makafiri.

Pili mungu hampi mtu adhabu mpaka amuulize suala hili jee hawakukujia minabii na mitume kukuonya ili utake msamaha kwangu na nikusamehe.Kwa hiyo mungu ana muadhibu mtu kwa kujifanya kwake anajua sana zaidi kuliko huyo mungu.

hlf kuna haja gani ya kumbakiza shetani wanapoishi wapendwa wako huku ukijiita wewe ni mfalme wa amani ama wewe ni tumaini la wanyonge..?
Mimi naamini hivi mungu ni tumaini la wanaomuamini na si tumaini la wanyonge wasiomuamini,halafu pia mungu mwenyewe anasema hivi kila jambo jema linatokana yeye na jambo baya linatokana na nafsi ya mtu mwenyewe kwa maana hiyo mola wangu mimi ni mwema na hana mabaya.

Ahadi ya mungu ni ya kweli hivyo aliposema kila Kiumbe atamuonesha nija njema ili mwenyewe aifuate kwa hiari pasi na kulazimishwa basi atatimiza hivyo hivyo milele. Hivyo mungu hakuwa na haja ya kuvunja ahadi ya kumteketeza shetani bali alimuacha kwa sababu yeye amechagua njia yake anayotaka. hivyo atapata hukumu ya hicho alichokifuata na yule atakae mfuata shetani nae atakuwa katika njia hiyo hiyo .

na kwa mapenzi yake mungu hakumuacha mja wake bali alimletea mitume na kitabu ili kuwaongoza kwake kazi ya mitume si kulazimisha ni kutahadharisha watakaofuata ndio wamefuata na wasiofuata basi ndio wamechagua hivyo.
 
Utasumbuka sana kumjua Mungu hadi hapo utakapojua Mungu yupo kila sehem. coz hicho kitabu chako kimekuaminisha kumwomba Mungu hadi ugeukie upande mmoja na anajua kiarabu tu.

Kwanza umepotea ndugu mola wangu na muomba kwa lugha yoyote ninayopenda nae anasikia
 
Sisi tunajua Yehova ndiye huyo Allah sema katika kitabu cha zaburi ambacho ameshushiwa nabii daudi alikuwa akitambulika
kama Yehova kwa lugha yao .
Na Allah anajua zaidi
Usilazimisha kufananisha eti Sauli wa mbagala ndo huyohuyo wa masaki....Waislamu mnapenda kujifanya eti Mungu wa Wakristo ndo huyohuyo mungu wa waislamu sio kweli.....Mungu anayehamasisha chuki na mauaji dhidi ya wasiowaislamu sio huyu anayesema umpende adui yako na msamehe saba mara sabini......
allah si anaruhusu muoe hadi vivulana sio Mungu wa kweli
allah anaabudu majini wkt Mungu kwa kweli Yehova anakataza

ACHA KUDANGANYA NA KUJIDANGANYA
 
Usilazimisha kufananisha eti Sauli wa mbagala ndo huyohuyo wa masaki....Waislamu mnapenda kujifanya eti Mungu wa Wakristo ndo huyohuyo mungu wa waislamu sio kweli.....Mungu anayehamasisha chuki na mauaji dhidi ya wasiowaislamu sio huyu anayesema umpende adui yako na msamehe saba mara sabini......
allah si anaruhusu muoe hadi vivulana sio Mungu wa kweli
allah anaabudu majini wkt Mungu kwa kweli Yehova anakataza

ACHA KUDANGANYA NA KUJIDANGANYA

Sikiliza wewe sijakusudia mungu wa kristo ndio huyo huyo wa kwetu sisi . ila nina maana hii, hilo neno yehova ni la kiibrania kwa kiarabu linatafsirika "Oh Allah". Na hilo jina mwanzo wake lilianza kwenye kitabu cha zaburi ambacho Mtume aliepewa kitabu hicho ni Daudi (Peace be Upon him). Sasa wao Daudi wala sio nyinyi wakiristo walikuwa wakimwita Allah kwa jina la Yehova.

Kwanza nyinyi wakiristo ni wapagani wala hamuna dini.Mwanzo kabisa mulikuwa mukisema mungu ni jesus baada ya kusoma mukatoa new testment sasa mukasema hapana yule jesus si mungu bali ni mtoto wa mungu tu. Mukasema mungu wa kweli sasa anaitwa "yehova".Lakini kuran tokea ireveal miaka 1400 mpaka leo hii aya haijabadilika "Sema, huyo Allah ni mungu mmoja" 112:1 QURAN.
Sasa kwa ushahidi huu kutoka kwenye bibilia nyie ni wapagani
"Wakiristo maana yake ni wafuasi wa kristo, hilo ni jina la kupanga tu.Lililotumiwa na wapagani wa Antioquia".
Matendo ya Mitume 11:25
Sasa sisi tunajua wazi nyie ni wapagani hamuna mungu wala dini.Wala huyo yehova hatambui ukiristo wenu.

Zamu yako nipe ushahidi unaosema "Allah anaabudu majini" kutoka katika kitabu chochote kile iwe bible au quran
 
Kuna kitu kinaitwa OMNIPOTENCE PARADOX.
Hii ni Copy and Paste ila km lugha itakuwa tatizo kwa muweka mada au mchangiaji, nitaomba wataalamu wa lugha watusaidie kutafsiri/kufasiri.
Can [an omnipotent being] create a stone so heavy that it cannot lift it?
" This question generates a dilemma. The being can either create a stone it cannot lift, or it cannot create a stone it cannot lift. If the being can create a stone that it cannot lift, then it seems that it can cease to be omnipotent. If the being cannot create a stone it cannot lift, then it seems it is already not omnipotent.
 
Habari, nilikuwa nalisikia sana suali hili lakini leo nimeamuwa kulijibu kwa kunukuu maneno yake mungu
Kiukweli ni suali moja gumu ambalo haliwezi kujibiwa na yoyote katika dunia ama kwengine kokote kule isipokuwa yeye mwenyewe mungu ndio ana jawabu ya hili suala.
Masuali kama haya yanakuja kwasababu watu hawafahamu maana ya mungu.

Mungu ni nani?
Neno mungu ina maana nyingi lakini moja wapo ni yule ambaye ana sifa ya kuumba ama kutengeneza chochote kile pasi na kufundishwa wakati yeye hakutengenezwa.
Ina maana yoyote alietengenezwa au kuumbwa basi hana nafasi ya kuwa mungu.Ndio sisi waislamu ikawa tunaamini mungu mmoja tu ambae ni muumbaji wa kila kitu na tunakataa kuwa mtu au chochote kilichoundwa kuwa ni mungu.

Kuna msemo usemao kila kitu kilichotengenezwa kina mtengenezaji wake.Ni kweli

Lakini pia nina suali hili, jee fomula ya kutengeneza ama kuumba kaanzisha nani?
Nina Imani tukijua aliyeanzisha kuumba ama kutengeneza basi itakuwa ni wa mwanzo kabisa kutengeneza ama kuumba, kwa maana hiyo hakutakuwa na mwengine aliyekuwa akijua kufanya hivyo kabla.

Jawabu linakuwa kama ifuatavyo mungu ndio muanzilishi wa uumbaji ama utengenezaji kwa hiyo kama yeye ndiye mwanzilishi wa fani hiyo sasa inakujaje awe yeye kaumbwa wakati ndiye aliyeanzisha huko kuumba na ushahidi sahihi wa hili upo katika kitabu cha Mungu ambacho mimi nakiamini ni kuran. Kuran sura ya 112 katika aya 3 (112:3) inasema hivi "yeye hakuzaliwa wala hakuzaa."

Kwa hiyo ili itikadi ya mmoja ikimalike lazima aamini kuwa mungu hakuumbwa wala hana familia.wakati yeye ndiye wa mwanzo kuanzisha kuumba , pasi na hapo imani ya mmoja huyo haitakuwa sahihi.

Ili mungu awe mungu lazima awe hajaumbwa na yeye ndiye aliyetufundisha ujuzi huu sisi wanadamu kwa idhini yake.Na akatuekea limit ya huko kutengeneza

Hivyo kama utajiuliza suali nani katengeneza gari jawabu itakuwa mtu ndio mtengenezaji wa gari na wala gari haikuja wenyewe, na kama ukijiuliza jee mtu katengenezwa na nani basi huyo mungu ndio aliyemtengeneza mtu na kama ukijiuliza mungu katengenezwa na nani basi hutopata jibu kwasababu yeye ndiye mwanzilishi wa uumbaji wote.

Hivyo mungu hajatengenezwa ama kuzaliwa . Na kama ikiwa kuna mungu aliyetengenezwa ama kuumbwa basi huyo atakuwa siye mungu wa kweli.

Ushahidi nimetowa kutoka kwenye quran tu na kwasababu nimeona vitabu vingi vina mgongano wa huyo mungu kwa mfano bible utakuta wengine wanasema mungu ni jesus wengine wanasema hapana, jesus sio mungu ila ni mtoto wa mungu ila kuran peke yake haina mgongano katika suala la mungu ni nani.

Ametukuka mola wangu ambae hakujifanyia mtoto wala mke



Ushahidi uliousema was kutoka Qur'an hauoneshi kwamba umetoka kwa mungu kwa sababu in wa kibinadamu c kimungu hivyo vitabu vya dini vimeandikwa na watu waarabu kwa wayahudi hakuna kitu hicho
 
Sikuwa na maana ya kukufuru ila nafamu wazi ya kwamba bwana wangu Mungu ambae ni Allah hakuumbwa ila tu natoa naukuu jawabu yake mungu na kutoa chalenji kwa wale wenye kutaka kujua suali kama hili.

Yeye ndiye wa mwanzo hakuna kitu kilitangulia kwake na yeye ndiye wa mwisho hakuna kitu kitakuja baada yake na yeye ndiye wa dhahiri na yeye ndiye aliyefichikana na yeye ni muweza juu ya kila kitu
Quran
Mmedanganywa wengi kasome tena au hujawaza sawasawa unaweza kujiuliza kwa nn wakati wa kuswali unalazimika kuangalia Qbra na so kwingineko au kwan ukiangalia kusini mungu hakusikii?

Na je kwa nn unalazimika kutumia kiarabu wakati wa kuswali na c kila MTU na lugha yake? Kama no kwa jumuia kwa nn wastumie kiingereza ambayo no lugha ya kimataifa?
 
Back
Top Bottom