Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,071
- 3,705
Hapo vip!
Ilikuwa sijui kama tatoo Mungu mwenye amekataza katika kitabu cha mambo ya walawi 19:28"msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu:mimi ndimi Bwana" mwisho wa kunukuu.
Amesema Bwamba mwenyewe.
Kwa hiyo mtumishi anayeshangilia tatoo,ajithamni
Ilikuwa sijui kama tatoo Mungu mwenye amekataza katika kitabu cha mambo ya walawi 19:28"msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu:mimi ndimi Bwana" mwisho wa kunukuu.
Amesema Bwamba mwenyewe.
Kwa hiyo mtumishi anayeshangilia tatoo,ajithamni