Mungu Ibariki Rwanda Mungu ibariki Kiyovu

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Naamini Kiyovu kimekuja kuchukua point zake tatu muhimu. Hakika leo kiyovu kitatutoa kimasomaso. Mimi nakitakia kiyovu ushindi mwema wa magoli 3 bila. Bila shaka sasa hivi simba kiroho kinadunda. crushwise na wengine aina yake karibuni sana uwanjani muone jinsi kiyovu kinavyo ondoka na point tatu.
 
Naamini Kiyovu kimekuja kuchukua point zake tatu muhimu. Hakika leo kiyovu kitatutoa kimasomaso. Mimi nakitakia kiyovu ushindi mwema wa magoli 3 bila. Bila shaka sasa hivi simba kiroho kinadunda. crushwise na wengine aina yake karibuni sana uwanjani muone jinsi kiyovu kinavyo ondoka na point tatu.

Kweli wewe si m-bongo, swahili yako ni tosha kukufafanua ni nani wewe.
By the way, wabongo tumeanza kubadilika huwa hatuombeani dua za hivyo. Unahaki ya kushabikia nchi yako kama ufanyavyo, mimi ni mwanachama wa Yanga na naisapoti SIMBA ishinde leo kwa heshima ya taifa langu.
 
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!!!!!! utashangaa wewe na roho yako wakati WATZ, wanabeba point zote tatu
 
nyie nani kawaambia kuna pointi 3 leo? Hizi mechi ni mtoano, pointi hazipo bali goal difference pekee ndo itafanya timu moja kufuzu. Kama timu zikiwa sawa kwa magoli basi away goals zitaamua timu gani imefuzu.
 
simba mnalo leo. hahahaaaa....!!!m lakini kumbukeni ntawapeni updates bila upendeleo. ki-yovu kikishindwa au kushindwa poa tu. lakini kumbukeni simba mliishangilia zamalek so hainikatazi kuishangilia kiavu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom