Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,196
- 1,846
- Thread starter
- #121
Asante kwa maoni yakoMental illness is real.
Asante kwa maoni yakoMental illness is real.
Hapana, si lazima kuhesabu namba zote ili kujua kuwa 1 ni ndogo kuliko 2.jibu lakusema yupo ama hayupo linatakiwa liwe limethibitishwa kwa kufanya chunguzi ulimwengu mzima sasa wewe mpk unasema hayupo umeshafanya hivyo...??
NB; sifungamani pande yoyote sijui kama yupo au hayupo!.
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
ndioBasi una mashaka ya uwepo wake kama Mimi?
Kama hana msaada, je akunyang'anywe uhai?Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
ukishasema hatuwezi kwanini uje najibu moja kwa moja kuwa hayupo..?Hapana, si lazima kuhesabu namba zote ili kujua kuwa 1 ni ndogo kuliko 2.
Unachosema hapo ni kwamba, kabla sijahesabu namba zote, siwezi kujua kuwa 1 ni ndogo kuliko 2.
Kwa hiyo logic yako, hatuwezi kujua lolote kuhusu lolote, kwa sababu hakuna lolote ambalo tumelichunguza ulimwengu mzima.
In fact kuna sehemu ya ulimwengu ambayo hatuwezi hata kuichunguza due to the limit of the speed of light.
Maisha ni mazuri japo yana mapito mbali mbali magumu,mazuri na mabaya pia.Huwezi kuelewa. Endelea kuishi
Naam.ukishasema hatuwezi kwanini uje najibu moja kwa moja kuwa hayupo..?
umekuwa ukiuliza sana kuhusu uthibitisho wake lkn nawe pia hujawahi kuthibitisha kuwa hayupo!
huwezi kusema maji hayapo kwenye chupa kama hujaichunguza chupa yote!..
watu mnaobishana kuhusu uwepo ama kutokuwepo kwa Mungu nawaona kama wote tu hamnaga uhakika na majibu yenu coz hakuna alie prove jibu lake!!
KwakweliTaja watu tunaowafahamu bn, acha kututajia characters wa story bn.
kama utakuwa umeelewa komenti yangu hapo awali ni sifungamani pande yoyote hivyo sipo hapa kumjadili Mungu wa dini fulani,kabila ama ktk namna yoyote.Naam.
Kwa kuanzia, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ambaye kaandikwa kwenye Biblia na Quran na vitabu vingine, huyu hayupo.
The problem of evil takes care of that, logically.
Na mwingine anayeitwa Mungu asiye na sifa hizo, si Mungu, kwa sababu ana mapungufu, na sifa ya kuwa Mungu ni kutokuwa na mapungufu.
Ukibisha na kusema Mungu yupo, thibitisha yupo.
Unasubiri nini kujiua?Mbona hata sikuomba kuzaliwa? Hata pumzi sikuiomba. Na kama ni kufa mda wowote nipo tayari
Kwanza umekubali kwamba si lazima kuchunguza ulimwengu wote ili kujua kuwa jambo fulani ni sahihi au si sahihi?kama utakuwa umeelewa komenti yangu hapo awali ni sifungamani pande yoyote hivyo sipo hapa kumjadili Mungu wa dini fulani,kabila ama ktk namna yoyote.
Nachokiangalia mimi ni nadharia ya Umungu na swala la uwepo wake ama kutokuwepo kwake!,kitu ambacho tayari unajua nipo upande gani kuhusu hili.
discussion ya kuhusu sifa za Mungu zitakuja kutoa utata atakapothibitika uwepo wake, siwezi thibitisha kitu ambacho sijui kipo ama hakipo.. wewe kwasababu ni muumini unaesema moja kwa moja "Hayupo" basi unatakiwa uthibitishe hilo!.
kwanini unafikiri wanaolazimika kuthibitisha ni wanaosema yupo,kipi kinaua mantiki ya wewe kutothibitisha ya kuwa hayupo..?
usichoelewa ni kipi nimeandika sijui kuhusu yupo au hayupo sasa! wewe si wasema Mungu yoyote hayupo so wewe unaesema hayupo ndio nakuuliza umefanya tafiti ulimwengu kote mpk uje najibu lakusema hayupo..??Kwanza umekubali kwamba si lazima kuchunguza ulimwengu wote ili kujua kuwa jambo fulani ni sahihi au si sahihi?
1. Nimeeleza Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, na sababu yake.
2. Nimeeleza kuwa wengine wote pembeni ya huyo si Mungu. Na sababu nimetoa.
3. Nimekupa nafasi kuthibitisha kuwa Mungu yeyote yupo. Umeshindwa.
Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yeyote yupo, kwa sababu hayupo.
Ukibisha, thibitisha yupo.
Kwa nini ni lazima nifanye tafiti ulimwengu wote ili kujua jambo fulani ni kweli au si kweli?usichoelewa ni kipi nimeandika sijui kuhusu yupo au hayupo sasa! wewe si wasema Mungu yoyote hayupo so wewe unaesema hayupo ndio nakuuliza umefanya tafiti ulimwengu kote mpk uje najibu lakusema hayupo..??
kama hujafanya tafiti basi nawe jibu lako si la hakika.
Kwa sababu umemkataa yeye, naye amekukataa.Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Npo kwenye hali ngumu inawezekana bora yako lkn mungu yupo aminKama ni kuomba niliomba sana.
Lakini bado hali tete kwangu