Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,845
- 90,304
Kwahiyo anasaidia akipenda. Means maombi yenu ni sawa na bure?
Mungu hakusaidii Kisa unamuomba, Hilo ulitakiwa ulijue tangu Zamani
Kwahiyo anasaidia akipenda. Means maombi yenu ni sawa na bure?
Kumbe ni kweli Mungu hasikii maombi?Tatizo kubwa linaanzia hapo unapo fikiria kwamba mungu nikiumbe👈
Ondoa fikra hii kichwani nahii imewafanya watu wengi kua tegemezi na ombaomba wakidhani mungu nikiumbe amestarehe sehemu anawasikiliza wao wakiomba?
Inabidi ubadili fikra zako na utambue kwamba mungu yuko ndani mwako wewe hapo.
Hivyo kumuomba nj'e nawewe nipigo la kufeli kwahatua yakwanza.
Sawakweli kabisa. anataka vitu vya bure
Huwezi kuelewa. AsanteHivi unatesekaje, tuanzie hapo kwanza! acha kutafuta miujiza, fanya kazi acha uvivu
Ujinga wako unamlalamikia Mungu
Yesu mwana wa Mungu aliteseka tena kuuawa, Ayubu mtu mkamilifu na mnyenyekevu aliteseka,Samsoni alitobolewa macho na ni mtu wa karibu na Mungu
wewe una exceptional gani
Musa nabii aliteseka, akawekwa mtoni, akakimbia toka ikulu akaenda kuchunga
Je wewe uhusiano wako na Mungu upoje
Kiufupi watu wa karibu na Mungu kuna namna anawapitisha kwenye changamoto
Ibahim aliambiwa amtoe mtoto wake wa pekee kwa kumchinja sadaka
Yakobo alichumga miaka 14 ili kuwapata wake zake. wewe ushawahi kuchunga
Kwahiyo Mungu hana msaada wowote Kwa binadamu?Mungu amekupa akili na utashi ili upambane ipasavyo na changamoto zinazokukabili na ugum wako wa maisha ni kipimo halisi cha akili yako.
Huwezi kuelewa Ndugu yanguMUNGU, hayupo kwaajiri ya watu legelege like him, mim naona tatzo sio Mungu, tatizo lipo ndani ya BONGO yake.
Kabisa aliniimbia Mimi"Dr Remmy aliimba-:
Shida na wewe.
Tabu na wewe.
Mateso na wewe.
Mikosi na wewe.
Bahati mbaya na wewe."
Nadhani alikuwa ana kuimbia wewe 🤕
Huwezi kuelewa Ndugu yanguMsaada wa nn ndugu
Asante.Usikate tamaa ndugu yangu.........
Supu ya KitimotoMikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mungu kama yupo anajua ninachohitaji kwake..Tuliza akili na mawazo tuambie shida ni nini hasa acha kumlaumu Muumba wako,hata baraka unayoitamani utaweza kuikosa.
Daah..pole sana ndugu..naona ni jinsi gani ulivyokata tamàa na maisha..Mungu hufanya njia pasipo na njia..muujiza wako unakujaMikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Hakuna kitu sijajaribu kukiabudu hapa duniani,: Mizimu, Shetani, Mungu, Miungu, Majini, Jua, Mwezi nk.Mwanangu wewe hata usimuamini tu, yeye atabaki kuaminiwa na wengine wengiii tu.
Kama umeona Mungu hata msaada fanya hivi
Nenda kaombe kwa kutumia jina la shetani,
Mwambie bwana shetani nisaidie mambo yangu kwakua Mungu nae muamini hana msaada wowote kwangu
Huwezi kuelewa Ndugu yangu.Nenda Kwa mangi kanunue oxygen ya elf mbili
Then urudi tena kuandika ujinga wako,
Unaweza kuwa na Simu, kulipia bando na kuandika maujinga then unalalamika?
Kwa mantiki hiyo Mungu haongozi maisha ya ulimwengu?Mkuu shida ni wewe mwenyewe fikra zako juu ya mazingira yanayokuzunguka ndio zinachukua asilimia kubwa ya hali unayopitia.
Sasa kama unataka mabadiliko kwanza kabisa, Kamwe usimlaumu/usifikilie kua watu au Mungu ndio wamesababishia hali hiyo.
Amini kwamba hali iwayo yoyote ile unayopitia wewe ndio chanzo na hakuna mtu yeyote ataibadilisha kama wewe mwenyewe hautataka kubadilika.
Kwanini ni kwasababu wewe binafsi umepewa uwezo wa kuamua/ wakuchagua na ukiamua na kuchukua jitihada kwa Akili yako, mali zako na nguvu zako zote... Hilo jambo uliloamua litafanikiwa tu(kwa lugha nyingine ni unakua na IMANI) na yeyote aombaye kwa imani basi aamini amekwisha pokea)
Yaani binadamu yeyote yule (wewe) Ni sehemu ya Mungu/una Uungu ndani yako na nguvu unazo. Kiufupi wewe ni Mungu na kwa ujumla wetu watu wote tunaunda mtandao wa MUNGU. Sasa kama sisi ni miungu kwanini wengi wetu hatuna maajabu(nguvu) Ni KWASABABU hatujiamini(hatuna IMANI) hatujajiunganisha na mtandao wa MUNGU. Sasa kwanini umlaumu au ufikilie mbona kina fulani wako hivi mimi siko ilhali uwezo huo na wewe unao.
Sasa mimi nakushauri badilisha kabisa fikra zako uwe unajiwazia mambo mema ya baraka, mafanikio, huku ukiongeza Akili nguvu na mali zako zote(Uwekezaji) katika malengo ulio jiwekea katika utaftaji wako na ili nafsi yako ione uko serious*** nakushauri badili kabisa mazingira nenda sehemu ambako hujulikani na hauna msaada wowote kwako then ishi vizuri na watu.
jibu lakusema yupo ama hayupo linatakiwa liwe limethibitishwa kwa kufanya chunguzi ulimwengu mzima sasa wewe mpk unasema hayupo umeshafanya hivyo...??Ukishaanza kusema anaweza akawepo maana yake umekubali anaweza asiwepo. Hapo umeweka conjecture.
Unathibitishaje Mungu yupo?
Naweza kukubaliana na wewe nimemuomba Mungu sana lakini wapi. Na huenda wanaonishutumu hawajafikia kiwango hicho cha maombi yangu.Mungu hayupo mkuu. Jipange mwenyewe kuishi na wengine tu.
Tusaidiane wenyewe, kwa sababu Mungu hayupo, hivyo hawezi kutusaidia.
Ukielewa hili, utajibu maswali mengi sana.
Basi una mashaka ya uwepo wake kama Mimi?jibu lakusema yupo ama hayupo linatakiwa liwe limethibitishwa kwa kufanya chunguzi ulimwengu mzima sasa wewe mpk unasema hayupo umeshafanya hivyo...??
NB; sifungamani pande yoyote sijui kama yupo au hayupo!.