Mungu haijui kesho yako

Inamaana huyo Mungu wenu amemshindwa kabisa huyo ibilisi kiasi wanashindana Kama ccm na chadema
 
Unabadilisha Nini wakati kasha panga ukitoka kanisani unaenda kwa mchepuko? Je tunaweza kumshangaza Mungu kwa kutenda Jambo ambalo yeye hakulipanga? Kama jibu Ni ndio Basi hajui Kila kitu na Kama jibu Ni hapana Basi huna utakacho badilisha iwe kwa kwenda kanisani au msikitini
 
Tayari umesha tafuta kichaka Cha kujificha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa Kama alishajua sita mtii kabla hata sijazaliwa kwanini aliruhusu nizaliwe? Sababu Alisha hua sitakua mtiifu kwake kabisa na atanichoma Moto Sasa so angezuia uwezakano wa Mimi kutokuwepo kabisa
 
Sasa kujua future yako kunatokana na matendo na matendo yana maandalizi. Tatizo linakuja huwezi kumficha maandalizi ya utakachokifanya. Otherwise ingekuwa ni tofauti tungekuwa maroboti yasiyo na maamuzi.
Kwa hiyo kabla sijafanya hayo maandalizi, tayari mungu anajua nitafanya maandalizi fulani?
 
Sio kweli. Kujua mwisho wako haimaaniishi kuwa alipanga uwe hivyo. Kwani wewe unavyomuona mtu akinywa sumu si unaujua mwisho wake? Inamaanisha kuwa ulipanga anywe hiyo sumu?
Sasa mbona huyo Mungu wenu mnampa Tena sifa za kibinadam si mnasema Ni muweza wa yote? Kama Mimi nikijua kesho utakunywa sumu nitakupa dawa za usingizi ulale ili hiyo kesho ipite
 
Ameruhusu uzaliwe Ili umuabudu,Mungu si dikteta thus amekupa akili ya kujua mema na mabaya yote haya mwanadamu uyatenda kwa kuamua mwenyewe.
So hana hasara bali hasara ni kwa aipotezae roho yake.
Sasa nabadilishaje wakati yeye amesha panga kabla hata sijazaliwa anajua nitakupa mwizi mzinzi muuwaji na mwisho atanichoma Moto. Na badishaje au naweza kum saprais Mungu
 
Sasa mbona huyo Mungu wenu mnampa Tena sifa za kibinadam si mnasema Ni muweza wa yote? Kama Mimi nikijua kesho utakunywa sumu nitakupa dawa za usingizi ulale ili hiyo kesho ipite
Wa kwako ana sifa zipi?
 
Title yako tu inaonesha usivyomjua Mungu. Ni bora ungekiri kuwa Mungu hayupo kuliko kukirinuwspo wake kisha ukamshusha uwezo wake!! Mungu anajua yaliyopita, yaliyopo na yajayo (Omniscient). Utambuzi wa Mungu hauna mipaka!
 
Sasa nabadilishaje wakati yeye amesha panga kabla hata sijazaliwa anajua nitakupa mwizi mzinzi muuwaji na mwisho atanichoma Moto. Na badishaje au naweza kum saprais Mungu
Umepewa akili ya ujuzi wa mema na mabaya.Hakuna atendae dhambi pasipo kukusudua hata kwa mujibu wa sheria za asili kabla ya ujio wa dini,mema na mabaya yanatenganika.
 
Hakuna watu ambao sitakuja kukaa kuungana nao mkono kama Waumini wa dhana na Fatalism, yani kwa mfano yule jamaa aliyefia kwenye kifua cha yule Malaya kule Malawi ni Mungu alitaka iwe hivyo?

Mtu anakwambia Mungu alimuandaa huyo awe funzo kwa waumini wake, sasa kama ni hivyo, kuna haja gani ya kumtoa mwanawe wa pekee afe kwa ajili ya wa dhambi. People don't even think, hawajui kama Mungu si dikteta na alituumba kwa mfano wake, na mtoto wa nyoka hawi jongoo.
 
So hii inamaanisha yeye atakuwa anajua ?
Inamaanisha kuwa kitu dhaifu hakiwezi chambua kitu kisicho dhaifu na kuvumbua madhaifu ya kisicho dhaifu.

Mfano: unadhani wale mende chumbani kwako wanaweza kukaa na kujadili uwezo wako?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…