Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 9,283
- 19,922
Kwa hiyo mtu anaweza kuwa na mwisho tofauti na ule anaoujua Mungu kama akiamua kubadilika?Unachosema ni kwamba binadamu hana uchaguzi, hayupo huru zaidi ya kufuata kilichopangwa jambo ambalo si kweli.
Mm nachoona hatufanyi mambo kwa sababu MUNGU amepanga ila MUNGU anajua tutakalofanya kutokana na tabia zetu za maamuzi na tamaa anayoiona ndani yetu.
Kama tu wewe unavyomtambua mwanao wa kiume kiasi kwamba unajua pamoja na kumuonya sana ila nikisafiri nikamuacha atavuta bangi. Wewe kujua kuwa atavuta bangi haimaanishi kuwa ulipanga avute bangi.
Hao viumbe wa Sayari nyingine ni kwanini hawana dhambi? Ila sisi tuwe na dhambi?Lengo ni hitimisho la maisha yako ya umilele, Mungu hana hasara hata ukipotea,maana ana viumbe wengine mamilioni kwenye sayari zingine wasio na dhambi, anakupa muongozo kwa faida yako Ili uishi vyema hapa duniani na kesho ahera.
Yeye amejuaje kwamba sisi tutafanya uasi with 100% specifity and certainity kama hakupanga? Na kwakuwa ni miweza wa yote, angeepusha tu all together, au anapenda kuona dhambi ikitendeka? Ana enjoy sio? Ni Sadist?Dhambi ni uasi dhidi ya Mungu na atendae dhambi ni wa ibilisi.
Kwa hiyo kama Mungu anapanga huo mwisho wako ila ibilisi anaingilia ina maana mungu atakuwa hajui huo mwisho wako utakuaje sababu ibilisi anaweza kuingilia muda wowote sio?hoja dhaifu sana. Kesho ya Kila mtu huwa imepangwa na Mungu mwenyew tena Mungu humwazia mema kila mtu ila dhambi ndio hublock baraka bora za kesho ya mtu na kwakua ibilisi yuko against na mema Mungu anayowatakia watu wake. hutumia mlango wa dhambi kama kichocheo cha kublock baraka hizo kwakushawishi wanadamu kujiingiza huko. hakuna baya au zuri linalo mpata mtu kwa mpango wa mungu lile lisilo bora kwa huyo mtu. elewa sio kila jambo baya linalomtokea mtu Mungu anataka limpate
Na kama anajua tutafanya dhambi hana uwezo wa kutuzuia tusizifanyeHapa wachague moja kati ya haya mawili
1.) Mungu kama anaijua kesho yetu maana yake ameshapanga kesho yetu, hivyo dhambi zote mtuhumiwa namba 1 ni yeye.
2.) Kama dhambi ni zetu, maana yake yeye hakupanga sisi tufanye dhambi bali ni uamuzi wetu sisi wenyewe, hivyo haijui kesho yetu.
Chagueni moja hapo
Kwa hiyo maisha yangu baada ya kifo mimi ndio naamua yatakuaje na sio kuwa Mungu anayajua tayari?Yani hata usipoenda jua ndivyo ilivyopangwaaa 😀 😀 usidhani kwamba ukienda sijui kuna mpango utaubadilisha hapana ndo maana unaweza toka kanisani na still ukagongwa na gari ukafa... haubadilishi kitu ila hivyo ndivyo ilivyoandikwa juu ya maisha yako zaidi ukienda Kanisani unatengeneza maisha yako baada ya kifo.
1. Mungu anaijua kesho yetu sana ila achangamani na dhambi kabisa, unafikiri Mungu aliumba wanadamu aliwapangia haya yanayowapata? la hasha alikusudia mwanadamu aishi vyema akitenda yale aliyoyakusudia na kumwagiza rejea wakati adamu na eva waliwekwa kwny bustani ya eden destiny yao ilibadilika baada ya kutenda dhambi.Hapa wachague moja kati ya haya mawili
1.) Mungu kama anaijua kesho yetu maana yake ameshapanga kesho yetu, hivyo dhambi zote mtuhumiwa namba 1 ni yeye.
2.) Kama dhambi ni zetu, maana yake yeye hakupanga sisi tufanye dhambi bali ni uamuzi wetu sisi wenyewe, hivyo haijui kesho yetu.
Chagueni moja hapo
Hoja yangu ni kwamba kama mungu anajua ya kesho yako au maisha yako yatakavyokuwa hapa duniani basi hakuna haja ya kwepo kwa dhambi maana alishajua kwamba wewe utakuwa mizihoja dhaifu sana. Kesho ya Kila mtu huwa imepangwa na Mungu mwenyew tena Mungu humwazia mema kila mtu ila dhambi ndio hublock baraka bora za kesho ya mtu na kwakua ibilisi yuko against na mema Mungu anayowatakia watu wake. hutumia mlango wa dhambi kama kichocheo cha kublock baraka hizo kwakushawishi wanadamu kujiingiza huko. hakuna baya au zuri linalo mpata mtu kwa mpango wa mungu lile lisilo bora kwa huyo mtu. elewa sio kila jambo baya linalomtokea mtu Mungu anataka limpate
Bado hujanielewa vizuri ni hivi inamaana tunawaambia wattoto wetu wawe na bidii masomoni ili iweje, kama ni mungu alipanga mwanangu atakua mwalimu basi akae tu nyumbanihoja dhaifu sana. Kesho ya Kila mtu huwa imepangwa na Mungu mwenyew tena Mungu humwazia mema kila mtu ila dhambi ndio hublock baraka bora za kesho ya mtu na kwakua ibilisi yuko against na mema Mungu anayowatakia watu wake. hutumia mlango wa dhambi kama kichocheo cha kublock baraka hizo kwakushawishi wanadamu kujiingiza huko. hakuna baya au zuri linalo mpata mtu kwa mpango wa mungu lile lisilo bora kwa huyo mtu. elewa sio kila jambo baya linalomtokea mtu Mungu anataka limpate
Na kama uwezo wa kutuzuia anao ila anaamua kutuacha maana yake anafanya uovu, kitaalam tunaita ‘Sadism’, yaani ni Sadist, ana-enjoy kuona mateso ya wengine, otherwise why uruhusu na unao uwezo wa kuzuia?Na kama anajua tutafanya dhambi hana uwezo wa kutuzuia tusizifanye
Kwa hiyo kesho yangu basi haijui maana uamuzi wa kutenda ama kutotenda dhambi ni mimi ndio naamua1. Mungu anaijua kesho yetu sana ila achangamani na dhambi kabisa, unafikiri Mungu aliumba wanadamu aliwapangia haya yanayowapata? la hasha alikusudia mwanadamu aishi vyema akitenda yale aliyoyakusudia na kumwagiza rejea wakati adamu na eva waliwekwa kwny bustani ya eden destiny yao ilibadilika baada ya kutenda dhambi.
2. Anaijua kesho yetu kwa sababu kutenda dhambi it's your own choice na kinachokupata huko kwny dhambi yeye hausiki na uzur anakuelekeza ukifanya A utatokewa na matokeo haya na ww ukatenda hivyo so yeye anahusikaje hapo na ujinga wako mwnyw?
UmeshanijibiaKwa hiyo kesho yangu basi haijui maana uamuzi wa kutenda ama kutotenda dhambi ni mimi ndio naamua
hata hayo ambayo ibilisi anayaingilia usifikiri Mungu hayajui anaelewa mnoo yeye yuko so gentle hakuforce ila anakuelekeza tena kwa upendo so anataka ww ufanye on your own will ibilisi ndio anayetumia nguvu kuwaingiza watu kwny dhambiKwa hiyo kama Mungu anapanga huo mwisho wako ila ibilisi anaingilia ina maana mungu atakuwa hajui huo mwisho wako utakuaje sababu ibilisi anaweza kuingilia muda wowote sio?
mwisho tofauti hapana...Kwa hiyo mtu anaweza kuwa na mwisho tofauti na ule anaoujua Mungu kama akiamua kubadilika?
kuna tofauti sana kwa anayeleta hoja flani kwa kutaka kuelewa na mwngine kwa kuleta ubishani hawa ni watu tofauti ukweli unauelewa ila unaamua kuleta kubishaHoja yangu ni kwamba kama mungu anajua ya kesho yako au maisha yako yatakavyokuwa hapa duniani basi hakuna haja ya kwepo kwa dhambi maana alishajua kwamba wewe utakuwa mizi
Na pia kama mungu anajua kesho yako basi
Bado hujanielewa vizuri ni hivi inamaana tunawaambia wattoto wetu wawe na bidii masomoni ili iweje, kama ni mungu alipanga mwanangu atakua mwalimu basi akae tu nyumbani
Pia tunawalea watoto wetu kwa maadili mazuri ili iweje maana mungu alishapanga kwamba atakuwa mwema, mtoto umleavyo ndio akuavyo mungu hapo anahusikaje
Hoja yangu ni kwamba kama mungu anajua ya kesho yako au maisha yako yatakavyokuwa hapa duniani basi hakuna haja ya kwepo kwa dhambi maana alishajua kwamba wewe utakuwa mizi
Na pia kama mungu anajua kesho yako basi
Bado hujanielewa vizuri ni hivi inamaana tunawaambia wattoto wetu wawe na bidii masomoni ili iweje, kama ni mungu alipanga mwanangu atakua mwalimu basi akae tu nyumbani
Pia tunawalea watoto wetu kwa maadili mazuri ili iweje maana mungu alishapanga kwamba atakuwa mwema, mtoto umleavyo ndio akuavyo mungu hapo anahusikaje
chief ukweli ww unaujua ila unaleta hoja ili kuleta ubishani. kuna tofauti kubwa ya mtu kuleta hoja kwa kutaka kuelewa na kutaka kuleta ubishaniHoja yangu ni kwamba kama mungu anajua ya kesho yako au maisha yako yatakavyokuwa hapa duniani basi hakuna haja ya kwepo kwa dhambi maana alishajua kwamba wewe utakuwa mizi
Na pia kama mungu anajua kesho yako basi
Bado hujanielewa vizuri ni hivi inamaana tunawaambia wattoto wetu wawe na bidii masomoni ili iweje, kama ni mungu alipanga mwanangu atakua mwalimu basi akae tu nyumbani
Pia tunawalea watoto wetu kwa maadili mazuri ili iweje maana mungu alishapanga kwamba atakuwa mwema, mtoto umleavyo ndio akuavyo mungu hapo anahusikaje
Kwa hiyo nwisho ni ule ule Mungu aliopanga na mtu hawezi kuubadilisha hata afanyeje?mwisho tofauti hapana...
Hapana. Ishu ni kwamba anaziona njia zako, matendo yako, maamuzi yako, mfumo wa moyo wako na matamanio yake hivyo yeye kujua kuwa utabadilika au kuacha unachokifanya ni rahisi, huwezi kumfanyia suprice., mwisho wako anaujua.Kwa hiyo mtu anaweza kuwa na mwisho tofauti na ule anaoujua Mungu kama akiamua kubadilika?
Kwa hiyo ibilisi hapo ndio mwamuzi wa mwisho sababu ndio anaamua akuingize kwenye dhambi ama akuache sio? Na anapoamua Mungu hawezi kumzuiahata hayo ambayo ibilisi anayaingilia usifikiri Mungu hayajui anaelewa mnoo yeye yuko so gentle hakuforce ila anakuelekeza tena kwa upendo so anataka ww ufanye on your own will ibilisi ndio anayetumia nguvu kuwaingiza watu kwny dhambi
Haimake Sense hata kidogoo...!! Maisha ya mwanadamu kila kinachotokea kina sababu na Mungu anajua sio kesho yako tu hata maisha yako yote hapa duniani mwanzo mpaka mwisho...