Mungu baba bariki siku hii ya leo nimpate yule ulieandaa kwa ajili yangu (mume)

Mungu akusaidie upate hitaji la moyo wako. Ila usije kujilaumu kwanini hupati mtu au abachelewa pengine fungu lako halipo humu. Cha msingi kuwa na moyo subira hakuna kinachoshindikana
 
Baada ya kufanya upelelezi wangu wa kina nimegundua wanaoanzisha threads za kutafuta waume ni wanaume wenyewe!! Acheni utapeli!
 
Habari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.

Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu hii imenitia moyo sana na kuona kumbe inawezekana.

Last year nilikuja na uzi wa kutafuta mwenza ila sikuweza fanikiwa na sina wa kumlaumu katika hili

Umri wangu kwasasa ni 28
Ni mkristo

Hitaji langu ni kumpata mwenza alie smart in and out

Sichagui rangi, urefu sijui ufupi ila uwe tu smart sababu naamini mume ni zaidi ya physical appearance

Umri usiwe chini ya 30

Na ni vizuri ukiwa ni mkristo

Mambo mengine ya msingi tutafahamishana pm

Karibuni!
Njoo pm, mm nakufaa ila utakuwa na dadako hapa, nina pesa ya kuhudumia wote kwa mapenzi ya dhati bila kubagua, ww utaona, karibu PM
 
Tatizo napenda tuchati tu kama marafiki hayo ya mke mpaka Mungu aweke vema maana haka ka kizazi ketu haka mmm!!!!!!!
 
Habari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.

Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu hii imenitia moyo sana na kuona kumbe inawezekana.

Last year nilikuja na uzi wa kutafuta mwenza ila sikuweza fanikiwa na sina wa kumlaumu katika hili

Umri wangu kwasasa ni 28
Ni mkristo

Hitaji langu ni kumpata mwenza alie smart in and out

Sichagui rangi, urefu sijui ufupi ila uwe tu smart sababu naamini mume ni zaidi ya physical appearance

Umri usiwe chini ya 30

Na ni vizuri ukiwa ni mkristo

Mambo mengine ya msingi tutafahamishana pm

Karibuni!
Habar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom