Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 381
Kama nilivyopokea. Taarifa zaidi zitawajia na tutasikia mengi sana kabla ya mwaka huu kuisha. Hizi watalaam ndio huita sayansi za siasa. Unamuunga mkono 'kimwili' na 'kiroho' uko kwingine. Bora kuwa mtu wa kubeti tu. Nitakuja na details Zaidi punde, ngoja niulizie nyama zaidi