Mungu anataka aabudiwe kupitia Masanamu?

Kwanza kabiza, thibitisha huyo Mwenyezi Mungu yupo kweli na si sanamu uliloliumba mwenyewe kwenye mawazo yako.

Maana unaweza kuhoji masanamu unayoyaona, huku unaendelea kuabudu masanamu uliyoyaunda mwenyewe mawazoni.

Thibitisha Mwenyezi Mungu yupo kweli, na habari za kuwepo kwake si za kutungwa na watu tu.
Gari lipo sababu limetengenezwa, hvyo hivyo kwa nyumba nk
Je binadamu unadhani kaumbwa na nani? Nadhani utasema nature ila mbona watu watu hawaumbi watu wao? Mbona jua linazama na kuchomoza, mbona mwez upo, mbona mbingu haina nguzo na ipo juu? Najua utasema sayansi asilia.
 
Gari lipo sababu limetengenezwa, hvyo hivyo kwa nyumba nk
Je binadamu unadhani kaumbwa na nani? Nadhani utasema nature ila mbona watu watu hawaumbi watu wao? Mbona jua linazama na kuchomoza, mbona mwez upo, mbona mbingu haina nguzo na ipo juu? Najua utasema sayansi asilia.
Unaelewa kwamba hoja yako ya kwamba kila kilichopo kinahitaji muumba inaonesha Mungu hawezi kuwepo?

Kwa sababu, kwa hoja yako hii, Mungu naye atahitaji kuwa na muumba wake, na akishakuwa na muumba wake, anakuwa si Mungu tena, na huyo muumba wake atahitaji muumba wake, bila mwisho?
 
Kutoka 20:4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Kutoka 20:5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

Hapa ndipo penye majibu ya swali lako

Hakuna umuhimu wa kuto kuwepo maana hayana msaada wowote katika kuwasiliana na Mungu kwasababu

Mungu anaabudiwa katika Roho na kweli
Maudhui ya hiyo aya Mungu Amezuia Kuchonga sanamu na kuifanya hiyo sanamu ndio Mungu badala ya Mungu!
Sanamu zisizo na Adhari zipo kila kona na kila Sikh zinachongwa ref; Kitabu cha Biblia ulicho Shika, Makazi yako, hata Mbinguni Kuna vitabu na makazi...
 
Hujamuelewa mtoa mada, kuna mambo mnatakiwa muwe na ujuzi nayo kabla hamja yajengea hoja.

Mtoa mada hajaongelea sanamu ya Mungu,
Soma vizuri na uelewe kichwa cha thread cha mtoa mda uone anachouliza.
Mtoa mada hajaongelea sanamu ya Mungu, ameongelea masanamu yote kwa ujumla wake, hata liwe la ng'ombe au la yule baadhi ya watu wanaamini kuwa Mungu (Yesu), tangu kale watu waliyajaaliya masabamu sifa ya Mola, wakawa wanayaabudu kwa kuyataka msaada yaani wasaidiwe
Humo makanisani kuanzia anakosali mtoa mada mwenyewe kumejaa kila aina ya sanamu, kuanzia jengo analosalia lenyewe ni sanamu, mabenchi anayokalia ni sanamu, maandishi yenyewe ya kitabu anachotumia kumjua huyo Mungu (biblia) ni sanamu pia. Mambo mengi sana yanayo mzunguka mtoa mada humo kanisani kwake anakosalia na kumuabudia huyo Mungu ni sanamu, hata yeye mwenye ni kama sanamu tu mbele ya Mungu kwa sababu kaumbwa kwa sura na mfano wa Mungu hivyo mimi na wewe na mto wote ni sanamu ya Mungu.

Labda mtoa mada angeenda moja kwa moja ni sanamu zipi izo alitaka kumaanisha, ila kama ni kwenye kichwa cha uzi kinavyosema, basi si kweli kwamba kuna sanamu ya Mungu, Sanamu ya Mungu haipo kwani tangu mwanzo Mungu baba hajawahi kuonwa na mtu isipokuwa kupitia kwa mwanae ambaye watu walimwona na waliishi naye wakamfahamu na kumbe kuchonga sanamu ya kufanana naye Isingeliwezekana.
 
Dunia imejaa watu wa kila aina.
Kuna ubaya gani mtu mwingine akifanya kila ambacho wewe hukipendi na hakina athari kwako?
Punguzeni kuwashwa tupu zenu.
Pole sana tunajaribu kukulingania kukuepusha na ibada ya masanamu amabayo Mtume wa Mwenyezi Mungu Ibrahimu anayekubaliw na watu wote aliwakataza uma wake miaka mingi iliyopita
 
Pole sana tunajaribu kukulingania kukuepusha na ibada ya masanamu amabayo Mtume wa Mwenyezi Mungu Ibrahimu anayekubaliw na watu wote aliwakataza uma wake miaka mingi iliyopita
Endelea na maisha yako sisi wengine tunakuona popoma tu.
Kiswahili chenyewe hujui unakuja kuanzisha mada ambazo mwisho wa siku hakuna utakachobadilisha.
Search nyuzi kibao zilianzishwa humu kuhusu hayo "masanamu"na majibu ya wadau.
 
Endelea na maisha yako sisi wengine tunakuona popoma tu.
Kiswahili chenyewe hujui unakuja kuanzisha mada ambazo mwisho wa siku hakuna utakachobadilisha.
Search nyuzi kibao zilianzishwa humu kuhusu hayo "masanamu"na majibu

Endelea na maisha yako sisi wengine tunakuona popoma tu.
Kiswahili chenyewe hujui unakuja kuanzisha mada ambazo mwisho wa siku hakuna utakachobadilisha.
Search nyuzi kibao zilianzishwa humu kuhusu hayo "masanamu"na majibu ya wadau.
Kiburi cha wanadamu kwa Muumba wao ni jadi yao,tunakushauli achana na ibada ya masanamu haina tofouti na uchawi
 
Kiburi cha wanadamu kwa Muumba wao ni jadi yao,tunakushauli achana na ibada ya masanamu haina tofouti na uchawi
Umekaribishwa mistari ya biblia unakuja kuanzisha uzi hapa.
Nenda kasome biblia vizuri na upate tafakari ya kina sio unasoma mstari mmoja unaanza kutema mate.
Tuliza kijambio aisee,haya mambo yanataka tafakari.
 
Kukataa kuwa Mungu hayupo ni kuamini kivipi?

Unaelewa hapa ni kama umesema kunyoa nywele ubaki na upara ni mtindo wa kusuka nywele pia?

Thibitisha Mungu yupo.
Kuamini Mungu hayupo ni imani pia coz huwezi kuthibitisha kua hayupo,

Kingine ni kwamba wewe hata ukithibitishiwa na Dunia nzima uwepo wa Mungu huwezi kuamini,ndio maana nikakushauri kuendelea na unachokiamini,

Halafu kama watu wanamuamini Mungu na kumuabudu wewe unapata hasara gani? Kinapungua nini kwenye maisha yako?

Waache waamini uwepo wa Mungu na wewe endelea na maisha yako,kwanini unateseka kwa imani za wengine?
 
Kuamini Mungu hayupo ni imani pia coz huwezi kuthibitisha kua hayupo,

Kingine ni kwamba wewe hata ukithibitishiwa na Dunia nzima uwepo wa Mungu huwezi kuamini,ndio maana nikakushauri kuendelea na unachokiamini,

Halafu kama watu wanamuamini Mungu na kumuabudu wewe unapata hasara gani? Kinapungua nini kwenye maisha yako?

Waache waamini uwepo wa Mungu na wewe endelea na maisha yako,kwanini unateseka kwa imani za wengine?

Unathibitisha vipi kwamba siwezi kuthibitisha Mungu hayupo kabla hata hujaniuliza nithibitishe Mungu hayupo?

Nikithibitishiwa Mungu yupo kwa nini nihitaji kuamini?

Unaelewa penye uthibitisho hapahitaji imani?

Unaelewa hata maana ya haya maneno "uthibitisho" na "imani" au unayatumia tu?

Unaniuliza watu wakila mavi kwa kuamini kwamba ni dawa ya Covid-19 mimi napungukiwa nini katika maisha yangu? Wakati watu hawa wanasambaza kipindupindu dunia nzima?
 
Unathibitisha vipi kwamba siwezi kuthibitisha Mungu hayupo kabla hata hujaniuliza nithibitishe Mungu hayupo?

Nikithibitishiwa Mungu yupo kwa nini nihitaji kuamini?

Unaelewa penye uthibitisho hapahitaji imani?

Unaelewa hata maana ya haya maneno "uthibitisho" na "imani" au unayatumia tu?

Unaniuliza watu wakila mavi kwa kuamini kwamba ni dawa ya Covid-19 mimi napungukiwa nini katika maisha yangu? Wakati watu hawa wanasambaza kipindupindu dunia nzima?
Nimesha elezea maana ya imani ila,pia nimekusoma sana humu unapinga uwepo wa Mungu bila wewe kuthibitisha kua Mungu hayupo,

Hoja zako hua unajichanganya wewe mwenyewe,sasa huo mfano wa kipindupindu unahusikaje? Watu wakiamini Mungu na kufuata amri zake Dunia inakua ni sehemu salama,sasa kipindupindu kinahusikaje hapo?

Acha kuteseka,waache watu waamini wanachokiamini na wewe endelea na maisha yako,huwezi kuwapangia watu jinsi ya kuishi.
 
Gari lipo sababu limetengenezwa, hvyo hivyo kwa nyumba nk
Je binadamu unadhani kaumbwa na nani? Nadhani utasema nature ila mbona watu watu hawaumbi watu wao? Mbona jua linazama na kuchomoza, mbona mwez upo, mbona mbingu haina nguzo na ipo juu? Najua utasema sayansi asilia.
Hoja za namna hii siku hizi hazifanyi kazi jaribu kuangalia wenzako waliokuwa wazoefu na mijadala kama hii kama wana shuhulika na mtindo wa aina hii ya hoja
 
Back
Top Bottom