Desierto
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 850
- 2,962
Ili siku atakapo kuwa pembeni ya kiti ajute kwa alichokifanya kwa maslahi ya wengine.
Kuna siku na yeye atapiga simu kwa watu ambao sasahivi ni watu wake saana na hazitapokelewa.
Hataweza Tena kuwa na amri Wala kusikilizwa na mtu yoyote.
Nahapo ndipo atatamani muda urudi nyuma akutane hata na wafiwa awaombe msamaha na haitawezekana.
Maana hata akialika waandishi wa habari hawataenda kwake.
Marafiki wote mkwtaba wake unaisha 2030.
Kuna siku na yeye atapiga simu kwa watu ambao sasahivi ni watu wake saana na hazitapokelewa.
Hataweza Tena kuwa na amri Wala kusikilizwa na mtu yoyote.
Nahapo ndipo atatamani muda urudi nyuma akutane hata na wafiwa awaombe msamaha na haitawezekana.
Maana hata akialika waandishi wa habari hawataenda kwake.
Marafiki wote mkwtaba wake unaisha 2030.