sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,038
Kwa kuwa Mungu alituumba na vingine vilivyomo akaona ni kheri atuepushe kula vitu visvyotufaa kama nzi, vyura, konokono, kenge, mbwa, nguruwe, panya, n.k.
Kwanini ilitumika nguvu ya ziada kutaka kuaminisha wasomaji wa biblia kwamba Yesu alipowatetea wanafunzi wake kula bila kunawa mikono ionekane kwamba alifuta sheria za vyakula zilizowekwa hapo awali ?
Mbaya zaidi sikuhizi biblia haziweke tena kwenye mabano, zimeunganisha ili kuleta picha ya uongo ni maneno yalikuwa hivyo.
?
Kwanini ilitumika nguvu ya ziada kutaka kuaminisha wasomaji wa biblia kwamba Yesu alipowatetea wanafunzi wake kula bila kunawa mikono ionekane kwamba alifuta sheria za vyakula zilizowekwa hapo awali ?
Mbaya zaidi sikuhizi biblia haziweke tena kwenye mabano, zimeunganisha ili kuleta picha ya uongo ni maneno yalikuwa hivyo.
?