Hujamsingizia. Alishasema yeye ni mwanachama wetuHe is battling against and not for alcoholism.
Kwani ninamsingizia!!!??
Mama kashakuwa na prolonged labor hao madaktari na manesi wanasubiri nini kumpeleka theatre?
Upo hospitali gani kwanza tukupe majibu ya kueleweka.
Unforgetable
Kama ukiona si mbaya tujuze tafadhali kwa kitakachojiri.Mgonjwa yupo hospitali ya wilaya ya kateshi,12:25 nimepigiwa simu wametoa go ahead ya kufanyiwa operation
Staha na falsafa za kuchukulia watu wote kwa upendo zinanifanya nitoe pole kwa misiba iliyotangulia na kutaka afya njema kwa mama na mtoto.Sasa unayemsifu hapa kwa kukutendea hayo ni Mungu au adui yako namba moja?
Uchawi wa Mwarabu na Mzungu haukutuacha salama kabisa! Zamani mababu zetu walikemea matatizo ya asili kwa vitendo, sisi leo tumeyaona kama ni zawadi nzuri kutoka kwa Mungu mwenye upendo 🤔
Kiranga akiiona hii ataishia kutikisa kichwa
Kisha, ningependa watu wafanye chunguzi za matatizo na kuyatafutia ufumbuzi kisayansi zaidi, kuliko kumtegemea Mungu tu.
Unacholazimisha kwamba nimeandika ni tofauti na nilichoandika.Leo nimefurahi sana kumuona yule king pin wa wapinga Mungu kukubali kuwa Mungu yupo isipokuwa tusimtegemee huyo Mungu pekeyake katika shida zetu bali pia tuitegemee sayansi.
Hapo upo sahihi kabisa na ninakuunga mkono juu ya suala hilo, na ndiyo maana huyo ndugu (mleta post) kwanza kampeleka mgonjwa hospitali (kategemea sayansi) na halafu kaomba tumuombe Mungu ili atie nguvu nk, katika juhudi za madaktari ili mgonjwa wake apone, hapo utaona sayansi na Mungu vipo sambamba.
I salute and commend you in this respect, big up Kiranga .
Unacholazimisha kwamba nimeandika ni tofauti na nilichoandika.
Jifunze kusoma kwa ufahamu kwanza, labda tutaweza kujadiliana kwa tija.
Kabla ya hapo, hapa kutakuwa na kelele tu.