Alkam Alkam
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 602
- 509
Nimejaaliwa uzima namshukuru Mungu kwa hili, pia nataka kushea na viumbe wenzangu jambo kidogo Mungu humpa mtihani mja kulingana na imani yake kwa imani yangu.
Mwaka 2017 mwezi wa 11 nilibaatika kupata mtoto wa kike ambaye muda mchache baadae alifariki.
Mwaka 2018 mwezi wa 4 pia nilibahatika kupata mtoto wa kike ambae aliishi kwa miezi 8 akafariki.
Leo siku ya tatu mke wangu yupo hospitali kwa ajili ya kujifungua anapata uchungu lakini njia bado ndogo inasentimeta 2 wanasema mpaka zifike 10 na sasa ni masaa 72 bado iko vile vile.
Anatoka tu na maji leo tumeambiwa twende kwenye utralsound aangalie kwenye mfuko wa mtoto maji kama bado yapo au Lah.
Maombi yenu Kila mtu kwa imani yake Mungu afanye wepesi.
Update:
Mgonjwa yupo hospitali ya wilaya ya kateshi,12:25 nimepigiwa simu wametoa go ahead ya kufanyiwa operation
Mwaka 2017 mwezi wa 11 nilibaatika kupata mtoto wa kike ambaye muda mchache baadae alifariki.
Mwaka 2018 mwezi wa 4 pia nilibahatika kupata mtoto wa kike ambae aliishi kwa miezi 8 akafariki.
Leo siku ya tatu mke wangu yupo hospitali kwa ajili ya kujifungua anapata uchungu lakini njia bado ndogo inasentimeta 2 wanasema mpaka zifike 10 na sasa ni masaa 72 bado iko vile vile.
Anatoka tu na maji leo tumeambiwa twende kwenye utralsound aangalie kwenye mfuko wa mtoto maji kama bado yapo au Lah.
Maombi yenu Kila mtu kwa imani yake Mungu afanye wepesi.
Update:
Mgonjwa yupo hospitali ya wilaya ya kateshi,12:25 nimepigiwa simu wametoa go ahead ya kufanyiwa operation