Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Hii operation inayoendeshwa na jeshi la polisi juu ya uvamizi wa viwanja huko maeneo ya madale limezua jipya baada ya kuonekana kuwa kuna raia wa kutoka kenya wakijihusisha na uvamizi wa viwanja.
Wakati mwingine najiuliza hili jeshi letu la polisi huwa linafanya uchunguzi wa kina kabla ya kuwahusisha watu fulani na kundi fulani isije kuwa kama ya kamanda kova na yule aliyemteka ulimboka mpaka leo hakuna kinachoendelea!
Wakati mwingine najiuliza hili jeshi letu la polisi huwa linafanya uchunguzi wa kina kabla ya kuwahusisha watu fulani na kundi fulani isije kuwa kama ya kamanda kova na yule aliyemteka ulimboka mpaka leo hakuna kinachoendelea!