angelina williams kasanzu
New Member
- Mar 7, 2020
- 2
- 0
Kuna tukio mkoa wangu wa Simiyu lilitokea takriban mwezi sasa, tukio hili ni la uvamizi na uporaji, ndg zetu wawekezaji wenye asili ya China walivamiwa.
Jeshi la polisi lilibahatika kuwatia nguvuni baadhi ya wahalifu na mmoja kati ya wahalifu hao ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM mkoa fulani, lakini kuna wengine vigogo bado hawajakamatwa, tena ni WANEC MKOA WA SMY
Kwanini hao WANEC watumie cheo hicho kama mwanvuli?
Jeshi la polisi lilibahatika kuwatia nguvuni baadhi ya wahalifu na mmoja kati ya wahalifu hao ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM mkoa fulani, lakini kuna wengine vigogo bado hawajakamatwa, tena ni WANEC MKOA WA SMY
Kwanini hao WANEC watumie cheo hicho kama mwanvuli?