Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
POLISI:"Nimekuja nyumbani kwako
kukupa taarifa kuwa ajali ya gari
imetokea,mumeo
amekufa bilashaka,naomba twende ukaangalie
kama utaitambua maiti yake"
MKE:"Aaah potelea
mbali,usinisumbue mie,we mpige
picha alafu u upload
facebook....ukiona nimelike ujue ndo
yeye"
kukupa taarifa kuwa ajali ya gari
imetokea,mumeo
amekufa bilashaka,naomba twende ukaangalie
kama utaitambua maiti yake"
MKE:"Aaah potelea
mbali,usinisumbue mie,we mpige
picha alafu u upload
facebook....ukiona nimelike ujue ndo
yeye"