Mume wangu mvivu!

weka pini kichwani kwako wakati wa tendo la ndoa na hakikisha asiione, hali yake itarudi kama zamani............source NDIBALEMA.
 

Ahsante kwa ushauri mzuri
 
Pole sana dada ,hebu jaribu kwenda kwa wtaalam wa saikolojia naamini mtapata msaada wa kutatua tatizo lako ,lakini pia wanawake mnazo mbinu nyingi za kuweza kumfanya mwanaume awe na hamu na wewe,hebu waone wanawake wenzio lakini wenye busara zao na hekima waombe ushauri usione aibu ,vile vile usijaribu kutoka nje ya ndoa kutafuta tulizo utaongeza matatizo zaidi ikiwa ni pamoja na magonjwa
 
Hivi kwa nini watu wanafikiri kwamba baada ya kuoana, mtakaa miaka na miaka, kila siku mnalala kitanda kimoja, watu wawili wale wale halafu sex life itakuwa ile ile tu?

Kama umeamua kuingia katika ndoa inabidi ukubali kweli fulani za maisha ya ndoa.

Mojawapo ni hii, ya kwamba kuna uwezekano mkubwa sana wa moto wa tendo la ndoa kupungua.

Watu wanakuwa wakubwa zaidi, kazi zinazidi, majukumu yanazidi, watoto wanaingilia, familia, harufu za maziwa waliocheua watoto, mara mke kapoteza shepu kwa kuzaa, mara baba libido imeshuka kapata kitambi na kashaanza kupata majani meupe mpaka kwenye bustani ya katikati etc etc.

Utategemeaje rigwaride libaki lile lile?

You are just setting yourself up for disappointment.

Kwani mapenzi lazima kila siku kugegedana? Kiutu uzima hairuhusiwi?
 
ahsante ushauri umezingatiwa
 
Inawezekana tatizo lipo kwako coz wanawake wakishaolewa wengi wao wanajisahau sana.
 
Kwa maana hiyo umeishi na hilo tatizo kwa zaidi ya miaka 5? Hadi sasa umechukua hatua gani katika kumsaidia mwenzio?
Ofcourse nimeishi na hili tatizo kwa muda wote huu,nimejaribu kuvumilia tu na kuamini kuwa one day shida itapungua au itakwisha kabisa,nimeongea na jamii na kujaribu kumsaidia kwa njia nmbalimbali pia.
 
Kwani mapenzi lazima kila siku kugegedana? Kiutu uzima hairuhusiwi?

Lol..funny but kinda true though.

But that just goes to show you how essential physical intimacy is in a marriage and other romantic relationships.
 
Lol..funny but kinda true though.

But that just goes to show you how essential physical intimacy is in a marriage and other romantic relationships.

Kuna mwalimu wangu mmoja wa GS, very sarcastic fella but he drives his points home that way, he used to dissect the population issue in Africa as a poverty issue.

Jamaa anakwambia, watu masikini hawana viburudisho vingi. Hawana umeme, hawana TV, hawana muda wa kusoma wala vitabu.

Basi ikifika usiku ni "kugegedana tu".

Sasa naona hata kizazi hiki kinachokimbia abject poverty polepole bado kinabaki na mentality zile zile za "kugegedana kama dawa ya ugonjwa wa matatizo, ikiwezekana mara 3 kwa siku, bila maji, shake well too".

Halafu wenyewe tunajisifia, waafrika marijali.Kumbe matatizo matupu!

Wenzetu wakichokana wanapeana likizo ya separate vacations, baba anaenda St. Barts mama anaenda Paris.
 
olewa wewe bwana....uishi miaka mingi.
 
Mimi sio mtalamu wa haya mambo ila ushauri wangu ni huu 1.anza kujitathmini wewe mwenyewe inawezekana umekuwa tofauti na mwanzo 2.mapenzi yanahitaji ubunifu haitakiwi ukae kindezi au kinyumbu uwe mbunifu cku hadi cku. 3. Jaribu kumlisha hizi vyakula kama unaweza kupata uji wa muhogo,asali mbichi iliyochanganywa na maziwa fresh, uji wa mtama,supu ya pweza na mayai ya kuku wa kienyeji yaliyochemshwa hata kama amepungukiwa namna gani ataanza kupiga mzigo sana kwa sababu jogoo atakuwa anawika mara kibao.
4.mjengee mazingira yatakayomfanya aone unamhitaji.
 
mambo hayo kwa hayo,miaka nenda rudi yanachosha.si bora wewe unapata kwa mwezi mara moja.kuna wengine hupita miezi hawapati kitu.ingawa kwa age zenu ni bado kabisa.ikifikia age fulani ndio kabisaaa,mnalala kama kaka na dada tu na ku focua na majukumu mengine.maybe jaribuni kubadilisha mazingira.
 
Pole sana.......ujitathmini ujipime.....kuna sehemu mnaenda tofauti, na kama sio hivyo jamaa ni msaliti au mgonjwa, mwambie jamaa apunguze kula migahawani wali wanaweka hamira, chipsi wanatumia mafuta ya transforma, hakuna kupona hapo...
 
Upunguze kuvaa mavitenge ovyo.....mtege kidogo,vile ulivyokua unafanya wakati wa uchumba,uendelee navyo....na usishangae huyo mumeo akienda game za mchangani anapiga goli nne tena hachoki.....!!!!

ha ha ha ha ha
 

Kwa upande wa wanaume tendo la ndoa linamahusiano makubwa sana na saikolojia.Hisia ndio kila kitu kwa mwanaume ili kuenda hewani.Mumeo amekuchoka na mara nyingi sana inatokana na kuzoea kwani ni muda mrefu uko nae.Anachokwambia kwamba hana tatizo kunauwezekano mkubwa sana ni kweli ila tatizo hapo ni hisia na matamanio ya mapenzi na wewe.
Wanaume wengi sana wamekua wakihangaika kwamba hawana nguvu zakiume lakini mara nyingi kinacho watesa ni matatizo ya kisaikolojia.
CHAKUFANYA:
Lazma ubadilike kimapnz ili kurudisha hisia zake kwasababu hata wewe utakua ni tatizo pia.Kina mama wanapokaa na waume zao muda mrefu hua wanabadilika na kuacha misingi yenye kuimarisha mpnz,mapnz ni ubunifu na lazma uwe ubunifu ili kudumisha matamanio kwa mumeo!
 
Wanawake mkisha zaa mnajisahau sana kunako mapenzi hapo utashangaa kei inatema harufu, style ndo hataki tena yeye kifo cha mende tu ubunifu wa kuzungusha nyonga ndo unapotea kabisa.

Nakubaliana nawe kabisa...swala la usafi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…