Mtu kashaolewa, anataka kutongozwa ili iweje?
mnh!! yaani huyo amshukuru hata huyo mume aliyemuoa amemsaidia sana, maana kutongozwa ni mvuto, kama mvuto hana asitegemee kutongozwa labda awe anajianika baa mpaka wanaume wakishalewa level ya kuona kila mwanamke ni mzuri.
eh,
na mi ngoja nitafte mchawi wangu!
:A S 39:
na ole wake!
Kaunga sasa mke wa mtu utongozwe ili ukafanywe nini?Hayo ni maneno ya mke kwenye kikao cha usuluhishi kati ya mume na mke walio kwenye ndoa yenye miaka zaidi ya 15.
Hayo ni maneno ya mke kwenye kikao cha usuluhishi kati ya mume na mke walio kwenye ndoa yenye miaka zaidi ya 15.
Mwanamke kama hatongozwi nayo noma, ana haki ya kulalamika kwanini hatongozwi:biggrin:
Kutongozwa kwani dhambi?
Ku sex nje ya ndo ndio dhambi:A S shade: