Mume wangu jamani nimechoka kudanganywa....

Mabaharia sikuhizi wanaangalia status ya mwanamke je una kazi nzuri, una mshiko hata ukiwa single mother of three kid's with money unapata mume fasta, zamani warembo waliotegemea uzuri wapate wenye pesa ni kilio tu kwa kwenda mbele na majonzi.
So zidisha kutafta hela mkuu, hata ukiwa mrembo vipi ka huna kitu ya kukuingizia kipato utasugua Gaga mpaka basi
akiwa na tako ndoa fastaa mbona
 
Mume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.

Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .

Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .

Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.

Usichelewe Sana eti .
Mungu atakupa unayemuomba, nimependa mbali na usaliti wa mabaharia, bado una tumaini yupo wa kwako wa kuishi nae.

Usikate tamaa, Mungu ndio anajua yote.

Kila la kheri.
 
Mume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.

Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .

Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .

Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.

Usichelewe Sana eti .
Hahahaahahahah

Nimecheka sana aiseeee. Ngoja nkasome nyuzi zako za nyuma
 
Hebu saka maisha Dada usiende kunyanyasika kwenye ndoa ukakosa option ya kuondoka.

khaa🙄🙄 jobless ni stress za kutosha, na mume juu jamani?

Hakuna mwanamme anaependa mwanamke wa kukaa tu hasa zama hizi. Waone tu huku wanapopoa corporate women ujidanganye utaingia mikono mitupu.
Bestyyyy mbona unatusemea??

Je kama wengine tunapenda golikipas ili all the time awepo home??

Nlikuwa najiuliza tu, hivi mume wa yule mlinzi wa Mama Samia anaishije???
 
Mume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.

Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .

Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .

Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.

Usichelewe Sana eti .
Huu uandishi ni wa kijana wa kiume
 
Wewe okota tu yeyote isipokua Mimi

20211218_130009.jpg
 
Mabaharia sikuhizi wanaangalia status ya mwanamke je una kazi nzuri, una mshiko hata ukiwa single mother of three kid's with money unapata mume fasta, zamani warembo waliotegemea uzuri wapate wenye pesa ni kilio tu kwa kwenda mbele na majonzi.
So zidisha kutafta hela mkuu, hata ukiwa mrembo vipi ka huna kitu ya kukuingizia kipato utasugua Gaga mpaka basi
Hao ni mabaharia.

Hao ni vijana wa hovyo hovyo!

We are talking about Class. Class is permanent
 
Mume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.

Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .

Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .

Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.

Usichelewe Sana eti .
Oh new era, new problem
 
No we are not.

Kila situation hapo na uzuri wake. All in all, hakuna formula kwenye hizi mambo
True.

Some men can very well handle every penny spent in running a home and have no issues whatsoever.

Others find joy in having a hardworking woman even without sharing financial obligations.

Wengine huko hawapo na kule hawapo, ila wapo wapo tu 🤣
 
Kuna wadau wanasema wote wanaojifungua mwez huu wana roho ngumu sanaa..yaan wakt nchi ikiwa kweny majonz wao walikuwa wanavunja amri ya 6 tena kavu kavu....nje ya madaa...sasa kwny hili tangazo lako naomba nkujulishe tu kuwa PM ipo wazi...tupiamo kaujumbe nami nitakasomaa...mm pia nmechoka kumsubiria mke..bora tumalizane hapa hapa
 
Back
Top Bottom