akiwa na tako ndoa fastaa mbonaMabaharia sikuhizi wanaangalia status ya mwanamke je una kazi nzuri, una mshiko hata ukiwa single mother of three kid's with money unapata mume fasta, zamani warembo waliotegemea uzuri wapate wenye pesa ni kilio tu kwa kwenda mbele na majonzi.
So zidisha kutafta hela mkuu, hata ukiwa mrembo vipi ka huna kitu ya kukuingizia kipato utasugua Gaga mpaka basi
Mungu atakupa unayemuomba, nimependa mbali na usaliti wa mabaharia, bado una tumaini yupo wa kwako wa kuishi nae.Mume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.
Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .
Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .
Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.
Usichelewe Sana eti .
Daaah mwenye pumzi tu, jmniiiHapa ungeandika kwa ufupi tu,mwanaume yoyote anayepumua....teh!
HahahaahahahahMume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.
Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .
Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .
Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.
Usichelewe Sana eti .
Bestyyyy mbona unatusemea??Hebu saka maisha Dada usiende kunyanyasika kwenye ndoa ukakosa option ya kuondoka.
khaa🙄🙄 jobless ni stress za kutosha, na mume juu jamani?
Hakuna mwanamme anaependa mwanamke wa kukaa tu hasa zama hizi. Waone tu huku wanapopoa corporate women ujidanganye utaingia mikono mitupu.
Labda nimekariri kwamba we are all supposed to bring to the table something.Bestyyyy mbona unatusemea??
Je kama wengine tunapenda golikipas ili all the time awepo home??
Nlikuwa najiuliza tu, hivi mume wa yule mlinzi wa Mama Samia anaishije???
Huu uandishi ni wa kijana wa kiumeMume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.
Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .
Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .
Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.
Usichelewe Sana eti .
HahahahahahaahahaVijana wanalalia fursa tukizichangamkia wanaanza chuki.
Jamani mbona hivi??Si nikadhani ni wewe bhana
Hao ni mabaharia.Mabaharia sikuhizi wanaangalia status ya mwanamke je una kazi nzuri, una mshiko hata ukiwa single mother of three kid's with money unapata mume fasta, zamani warembo waliotegemea uzuri wapate wenye pesa ni kilio tu kwa kwenda mbele na majonzi.
So zidisha kutafta hela mkuu, hata ukiwa mrembo vipi ka huna kitu ya kukuingizia kipato utasugua Gaga mpaka basi
No we are not.Labda nimekariri kwamba we are all supposed to bring to the table something.
I could never be too comfortable being provided for.
Oh new era, new problemMume wangu nimechoka kudanganyika na mapenzi, nalizwa Mimi Kila wakati, nadanganywa na mabaharia. Usaliti jamani usaliti uliokithiri, nitafika kwako nikiwa nimechoka Sana kwa presha ya moyo jamani. Je, umepanda basi gani jman mbn hufikiiii. Uko Burundi, Kenya, Mozambique, au Tanzania.
Mabaharia wa siku hizi wanataka utoe mzigo mapema hawataki ata kuvumilia angalau miez 6, wako na haraka Sana. Lakini najua Mume wangu uko uliko utakuwa mvumilivu Sana, tutaanza kupeana mbususu baada ya miez 3 kidogo jamani .
Mabaharia wa siku hzi hawatutaki sisi vyeusi Mangala, hawatutaki sisi jobless jamani, hawatutaki sisi tusiokuwa na Tako wala mguu , hawatutaki sisi wapiga mizinga jamani, hawatutaki sisi vifupi nyundo... Loooh!! Lkn mme wangu najua ww utakuwa huna shda kbs na ivyo vigezo jmn .
Nami najua mme wangu ww utakuwa ni Mume bora na baba bora kabisa. Vile vigezo vyangu 30 vyote nimevipunguza ss jamani, vimebakia tu usiwe mnywa pombe Sana, unywe kidg tu. Ww umbo lolote tu ata mwembamba, mnene, mfupi, mrefu, mweupe, mweusi sawa tu. Uwe na mapenzi ya dhati jamani. Miaka yoyote tu jmn.
Usichelewe Sana eti .
True.No we are not.
Kila situation hapo na uzuri wake. All in all, hakuna formula kwenye hizi mambo
Jamani mbona hivi??
Kaweka akiba ya maneno, anaweza akaja asie na kitu.Hapa ungeandika kwa ufupi tu,mwanaume yoyote anayepumua....teh!