Mume wangu hataki kunipa chakula cha ndoa

Mume wangu hataki kunipa chakula cha ndoa

Tsita

Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
8
Reaction score
2
Habari zenu wapendwa,

Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.

Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.

We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.

Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time.

Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi.

Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.

Asanteni
 
Watu wapo buys jamani na ukombozi mpya hapo kesho! Mmeo atakuwa na kimchepuko nje
 
Habari zenu wapendwa..
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.
Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time..
Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi..
Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.
Asanteni

uvumilivu ni kitu muhimu sana katika ndoa.nenda pole pole,usiwe na papara kutatua matatizo yako ya ndoa.ni nyie wawili tu ndo mnaweza kuyatatua
 
three months ni mda mrefu lakini take your time ujichunguze wewe kama wewe.. kwa hiki kipindi take care of yourself more than ever jipende dada kama umenenepeana jaribu kufanya diet plus mazoezi a woman has to be fit en sexy dear, na kama uwezo unaruhusu atleast weekend moja mtoke na mtoto na mumewako mkaspend kidogo yan jaribu kurudisha yale mazingira ya kipindi cha nyuma..
na jaribu kua more of a friend kwake muelewe

Thanks
 
Zingatia mawazo yabnyamchinga zaidi mshirikishe Mungu juu ya Ndoa yako,hakika atakusaidia kwakiwango kikubwa.
 
mimi kama mimi hata nichoke namna gani akita muda wowote nampa kwani ni haki yake kupewa huwa najiuliza kwanza pindi nitakapo mnyima atasaidiwa na nani?kutuliza mtima wake?
 
Pole sana Lakini jiulize baada ya kujifungua una mpa time Na yeye au Ndio Uko busy Na baby? Jee una vutia ki mwili Kama mwanzo au Kama umenenepa unafanya mazowezi, je usafi umeongezeka au umepumgua? Manake unaweza kua 24/7 busy Na mtoto Na maziwa yana vujaa usafi wa mgogoro Chakula dada Ndio mpikaji hivyo pia vina changiaa , kaanae chini Tena muongee...
 
Jiulize haya maswali kwanza
1.we ni msafi??.usikute unanuka maziwa. .maana mkishazaa hamjipendi
2.umenenepeana?..yawezekana awali ulikua kaportable. Baba akikushika anakukunja kunja sasa ivi labda ukunjiki
3.unampeti peti? ??..mkishazaaga mapenzi yanahamiaga kwa mtoto unamsahau baba

Kama huna tatzo lolote kati ya hayo matatu ebu ni PM upate msaidizi kama mwezako alivyo na msaidizi mpya
 
Swali ni jee bado unajiremba kwa mumeo kama mwanzo..? au baada ya kupata mtoto umekua ni mtu wa kushinda na madira na vitenge hadi usiku.. Jaribu kumvutia mumeo anapokua ndani na utaona result zake.. Sisi wanaume huwa tunapenda wake zetu wapendeze mukipendeza hamu ya kuwagegeda hua inakuja automaticaly..
 
Manjonjo yako wewe yapo kama zamani au yamepungua? Maana kupatikana kwa mtoto kunaingilia sana mahusiano kwani attention inahamia kwa mtoto.
 
Vunja ukimya.....

Na akwambie asipokupa yeye anataka nani akupe...
 
subiri Lowasa aingie ikulu watu wako busy na ukombozi wa nchi
Acha kumsumbua mumeo
 
Inawezekana hujiweki katika hali ya yeye kukutamani.

Harufu ya maziwa ya mtoto, muda wote kuwa na mtoto na yeye kumpa muda wakati unataka gegedo tu n.k
 
Labda huvutii tena...Halafu pia we unadhani miezi yote tisa ye alikuwa hakimisi iko chakula cha ndoa mpaka we miezi mitatu tu upige kelele.Hebu ongea nae muweke utaratibu sawa,bila shaka yeye alishaweka kihema sehemu nyingine so una kazi ya kumvutia arudi!
 
Back
Top Bottom