Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 492
Ukute ana paramiwa na wanaume Halisi.Habari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.
Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Hivi ni kweli mwanaume halisi anaweza kukaa muda wote huo bila unyumba? mimi siamini hata kama anamchepuko. Kunaweza kua na tatizo sehemu. Jitahidini wote kuyaongea na viongozi wenu wa dini.Kozo Okamoto nimependa ushauri wako. Dada Monika ww unapolalamika miezi mitatu, mwenzio nina mwaka na miezi miwili sasa na maisha yanasonga. Ushauri wangu sasa, ondoa wazo la unyumba kichwani jihesabie kama mjane na wala husiache kujishusha ila suala la kuomba unyumba acha kabisaaa. Siku ikifika yy ndo aonyeshe kukuhitaji. Ila amini ni jambo la kawaida. Hata kama kuna mchepuko wake ipo siku watachokana na atarejea kwako
labda atakua ni Le king of TZ social media.Miaka 60?unatumia neno kama kawa mara mshkaji wake haya ndugu umezeeka mwili ila ubaharia upo kwenye damu.
Hata mimi hiyo kazi naiweza sana. Nitampa unyumba mpaka sura yake ibadilike, na jina lake atalisahau.Hiyo sio ya kumshilikisha mungu atafute mtu atamsaidia vijana wa hapa kazi tu wapo wengi😉😉😉
Hahaha basi ndugu nafanya kama jina lako nakuachia wewe ulimalize.labda atakua ni Le king of TZ social media.
Sidhani kama itatokea siku litatumbuka. Labda atokee mtumbua jipu mahiri humu JF.fumbo la imani lini litafumbuliwa
Pole sana mdada,Habari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.
Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Mumuwache jamani. [emoji23]Ndio unatafuta wa kuflirt nae ndoa imekufa?
ndoa bado ipo tutafanya kwa siriNdio unatafuta wa kuflirt nae ndoa imekufa?