Mume wangu ana michepuko mingi

 
We Monica we juzi c umesema mme wako hapendi outing na mtu wa kukaa home iweje leo hayo tena, unaniacha hoi hatari we kiboko
 
Aiii ...wewe ..!!
njoo kwangu basi maana ushaachika
 
monicca,pole sana,sitali kusema mengi,ila nakushauri urudi fasta kwammeo na tena umuombe msamaha.Hiyo ndiyo ndoa,hakuna cha ajabu hapo kwani ni kawaida kabisa mwanaume kuwa na wanawake wengi,usidhani ni wewe mwenyewe kamwe hilo futa kichwani mwako.Ukifikiri uko huru na hutaki kuolewa,unakosea sana ndoa ni muhimu sana.Hauko huru Monicca ndo maana umeamua kuja nakuandika humu.Huyo uliyemuacha ndo yuko huru,house girl wako sasa ndo ana faidi kama ulicheza deal kumfumania mmea basi umeloba step,kwani yeye anamalizana na dada.Kwa taarifa yako utakuwa frustrated na utajikuta unapigwa miti na kila mwanaume.Ngoja nikupe ukweli kidogo,ukipewa uume siku moja tuu utembee nao utatia wanawake wengi sana,hivyo usimhukumu mumeo,japo inauma ila vumilia na mshikuru Mungu una mume mwenye uwezo wa kutia wana wake wengi,wewe ukiwa mmoja wao.Rudi nyumbani anza kuvua chupi getini hakikisha unamwomba radhi na maisha yaendeleee.
 
Njoo monica niwe chepuko lako asikubabaishe..
 
In love, somehow, a woman's heart is always either exceeding the speed limit, or getting parked in the wrong place...

I missed you, ulikuwa kimya kwa wiki kadhaa.
 
Huyu si ndo alisema harudi huku jf..kunani tena....ngoja kwanza, episode ya ngapi hii?
 
Dawa ya moto ni moto, hukuona moto wa shukari ulivyozimwa na au dio na pikcha za mapangoni za aiesi?
 


Pole dada moniccca lakini je umepimaa hivi karibuni? Kama uko poa naomba tuwasiliane basi tutakiane hali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…