my dia hata nami uwa inanitokeaga sana tena sana kwa mume wangu wa ndoa kabisa, nae ni mtu wa mood sana. kwa hiyo akiuchuna nami nauchuna, nakuwa biz na kazi zangu na wanangu, mi nasema bora jambazi kuliko mwanaume wa mood wanaboa sana, na wakiwa poa wanajua sana kujali, mi yalinishinda nikamwambia mama mkwe wangu, akaniambia ukweli mwanangu akiuchuna nawe uchune atajirudi mwenyewe, kwa hiyo ndo staili uwa natumia.. sasa hivi wala anipi shida.