Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Jamany ,,umekimbia ????.kwanini wamefuta kwani nimekosea nini?
Jamany ,,umekimbia ????.kwanini wamefuta kwani nimekosea nini?
Kumbe bado hujaoa, basi sawaAkuuuuu ,,mie sijawah ,,kwanza hapa ndo nataka nichepuke km niraha ,,nikishaoa niamue ,,niendelee au niacheee![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio bado Ila ninamiaka 49.Kumbe bado hujaoa, basi sawa
Khe! Haya ni makubwa mnoNdio bado Ila ninamiaka 49.
Weeeeeeee lazima ,,unadhan sitaki mtoto ?????? Umri ulipita sababu nilikua machimbon hukooooo saizi nmerudi sasa ndo nmepata nawazo hilo lakuoaKhe! Haya ni makubwa mno
Wewe huoi tena
Uoe bwana maana kwa umri huo nahisi umekuwa babuWeeeeeeee lazima ,,unadhan sitaki mtoto ?????? Umri ulipita sababu nilikua machimbon hukooooo saizi nmerudi sasa ndo nmepata nawazo hilo lakuoa
Anafidia miaka aliyokuwa utawani...Hahahahahahaaaaaaa nimechekaje......sio kuchepuka tu tena anajisifia kutoka na mtu wa miaka 60 - 70 halafu mchafu.....mmmhhhhhh siwezi aiseeee
Hamna umewafananisha na wale wanajisitiri mpaka sura hazionekani lkn ni makahaba wa hatariMimi sio alkaida kama unavyodhani,lkn nakwambia hivi usiusemee moyo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna umewafananisha na wale wanajisitiri mpaka sura hazionekani lkn ni makahaba wa hatariMimi sio alkaida kama unavyodhani,lkn nakwambia hivi usiusemee moyo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna umewafananisha na wale wanajisitiri mpaka sura hazionekani lkn ni makahaba wa hatariMimi sio alkaida kama unavyodhani,lkn nakwambia hivi usiusemee moyo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna umewafananisha na wale wanajisitiri mpaka sura hazionekani lkn ni makahaba wa hatariMimi sio alkaida kama unavyodhani,lkn nakwambia hivi usiusemee moyo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Teheeee teheeee bado bana bado kabisaaaaaa ila soon nitaoa 2019-20..... Nilipanga kuoa nikiwa namiaka 51-53.Uoe bwana maana kwa umri huo nahisi umekuwa babu
Ni dhambi kubwa sana... Don't you ever try...