Mume wako mchafu, usinisumbue

Mume wako mchafu, usinisumbue

Cha ajabu mtu anakuja kulalamika humu na amependa mwenyewe, eti anatafuta school fees Hao watoto watafaulu kweli?





Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni ujinga wa hali ya juu,kwanza mpaka anakuja kusema hivo hapa it means ana akili zake timamu na anajielewa......kinachomshinda kufanya business ni nini hasa akaweza kuwasomesha watoto wake???? Mpaka akajidhalilishe kwa vibabu mwisho wa siku vimfie apate case aishie segerea.....
 
Sio wanatafuta hela za nini wake zao wanafanya kazi gani ? Mke yuko bize na umbeya na kukimbizana na michepuko atatunza mume saa ngapi ?

Na wewe mchepuko sio unamchuna tu mtunze pia, muogeshe kama mkewe hamuogeshi.
kama mume ana miaka 70 mke si anayo 70 au 68? wote si wazee jamani? hizo boxer atafua saa ngapi ukute na uzee umemjia na maradhi? tuwaheshimu mama zetu na wabibi wetu.tuwaache wale uzee bila stress na wapenzi wao jamani loh
 
Mzee mchafu kukufuata wewe inamaana kakuona kua unafaa wazee kama yeye,hebu jiweke smart na ujiheshimu uone kama utafuatwafuatwa na wazee wachafuwachafu.

Hata hivyo hongera kwakua na moyo wakuona myeti za wazee.Inamaana kama una nyumba tunaita nyumna ya wazee,ANDIKA kibao hivi "PRIVATE WAZEE HOUSE" ili wasiwe wanatafuta mhudumia wazee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhhhh tunakoelekea watu wataanza kutembea uchi sio kwa kuvurugwa huku na maisha ..

Magu kaza

Sent From My Nokia Ya Tochi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom