Mume wako mchafu, usinisumbue

Mume wako mchafu, usinisumbue

Kula tu. Mengine mwachie mke wake

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Kwa ulivyomsoma... mwanamke anayeweza kuvumilia yote hayo ili watoto waende shule unaweza kumwitaje kwa mfano??
hata sijui mwenzangu .kuzechea mafuzi ya miaka 70 inaitaji masters ya ukahaba lakini
 
Mleta mada alidhani makahaba wenzie wata muunga mkono, ameishia kupondwa!!
 
Nipo mzee mwenzangu..

Kenyewe kalikuwa kanafikiria sifa... hivi ndo viko tayari kugongwa na madogi ilimradi tu watoto waende shule...
Hii dunia ina mengi sana, nahisi amepost kwa kupanic tuu, sasa akajikuta anachotype sicho kabisaa. Au alikuwa anapost kwenye wasap group Lao la wadada wenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wanatafuta hela za nini wake zao wanafanya kazi gani ? Mke yuko bize na umbeya na kukimbizana na michepuko atatunza mume saa ngapi ?

Na wewe mchepuko sio unamchuna tu mtunze pia, muogeshe kama mkewe hamuogeshi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom