MPENZI no 3
Member
- Jun 23, 2013
- 9
- 11
GRACE popote ulipo ujue kuwa mume wako ananitaka,nimevumilia vya kutosha,nimemkanya hasikii,
Message sent
Message sent
GRACE popote ulipo ujue kuwa mume wako ananitaka,nimevumilia vya kutosha,nimemkanya hasikii,
Message sent
GRACE popote ulipo ujue kuwa mume wako ananitaka,nimevumilia vya kutosha,nimemkanya hasikii,
Message sent
unaona mwenzako anamkataa mme wa mtu.ingekuwa wewe ungekataa?Grace mbona wapo wengi?Hahah mume wa grace mchovu nn?hana mahela ya kukuhonga angekuwa nazo wala usingekuja huku kumweleza grace,ila wanaume wachovu hawana mvuto aisee,mwenyewe ana boxer 1 ww atakupa nn?wanajiaibisha kutokea warembo ilhal wamechokaaaa
GRACE popote ulipo ujue kuwa mume wako ananitaka,nimevumilia vya kutosha,nimemkanya hasikii,
Message sent
GRACE popote ulipo ujue kuwa mume wako ananitaka,nimevumilia vya kutosha,nimemkanya hasikii,
Message sent
unaona mwenzako anamkataa mme wa mtu.ingekuwa wewe ungekataa?Grace mbona wapo wengi?
Nimegairi sikutaki tena Grace mke wangu kuwa na amani ...... huyu ndio alikua akinitega nanimeyashinda majaribuGRACE popote ulipo ujue kuwa mume wako ananitaka,nimevumilia vya kutosha,nimemkanya hasikii,
Message sent
hatuwataki waume zenu bana...kwanza wamejichokea mvuto ziro madeni kila benk full stress....watuache tupumuejapo naumwa lkn ngoja nipunguze maumivu.
Hivi wewe bibie kujitia hashuo la kwapa kunuka pasi kidonda kitu gani??
eti mume wangu anakutaka..........anakutaka unamtaka??
kumbe kukataliwa kubaya enh!!
sasa jua hii ngoma si ya kitoto hapa lazima ikeshe, na kama ulikuja na moja basi hapa lazima uondoke na kumi na moja.
usijibaraguze mie najua mpaka ulomtuma aje akubembelezee na kwa taarifa yako, ulipojitongezesha aliniambia yote na mie kwakua sina hiyana nimemruhusu akuonyeshe shughuli yake.
hatuwataki waume zenu bana...kwanza wamejichokea mvuto ziro madeni kila benk full stress....watuache tupumue
GRACE popote ulipo ujue kuwa mume wako ananitaka,nimevumilia vya kutosha,nimemkanya hasikii,
Message sent