Mume wa mtu

Mume wa mtu

Uongo Madame S? Sema mwenyewe.

Bongo bana kurudisha hela laki nne n ngum sana kingine mwanafunzi wa chuo mpenda kupendeza ha ha ha labda mwanafunzi toleo jipya stor yA upande mmoja hii ninataman nimsikie na huyo baba jamani
 
Last edited by a moderator:
Bongo bana kurudisha hela laki nne n ngum sana kingine mwanafunzi wa chuo mpenda kupendeza ha ha ha labda mwanafunzi toleo jipya stor yA upande mmoja hii ninataman nimsikie na huyo baba jamani

Hapo umenena kweli. Hata angekuwa amekuja mjini jana laki nne harudishi asee. Mleta mada katuchenga kitu hapa. Na game alimegwa vizuri tu.
 
Hadithi njoo.... uongo njoo utam kolea!!!! mtoto wa chuo urudishe kilo nne Bongo, hapo mostly ni kupiga game na kujikaza kama hujaziona text

Like laki nane kwako binamu wa pili... watoto wa chuo wanajali kama huyu mume wa mtu au wa ngedere toka liiiiini??
 
Girl, as a married woman am gonna tell you one thing.

The good you do, you do for your own self. On the same note, the bad that emanates from you will harm no one but you.

Kila nikisoma unachoandika natamani nipate mke mwenye akili kama yako Karucee wa jf!
 
Last edited by a moderator:
Hivi katika wanachuo wote hamna decent girl???!!! Au wengi wenu humu(hata wanaume) mlivyokuwa chuo mlikuwa micharuko ndio maana wengi mna mawazo haya juu ya wasichana wa chuo?!!
 
Pesa sio tatizo kwangu.
Niache nikuhudumie mwenyewe and I know how to take care and spoil my woman. As a matter of fact I take pride in providing to my woman lakini ukianza mizinga na kuendekeza njaa that tells me you are cheap! A 'hoe!

Salaaaam Alsharpton... Wanna be spoiled.

Ila nisaidie kuelewa kitu kimoja hivi inakuwaje mkaka akiwa na shida anaweza mwambia girlfriend wake na akasaidika bila ya msichana kubadili Nina la kusaidiana kuwa "mzinga " lakini ni kinyume kwa kina kaka inakuaje hii?
 
......Duuh! Mwanangu akifika umri wa kwenda chuo sijui atakuwa Malaya na omba omba hivi hivi?. Namuomba Mungu amuepushe na janga hili la watoto wa chuo wa aina hii?

Sio watoto wa chuo wote ni malaya wako wanaojua walichofata shule na pamoja na vishawishi vingi vinavyowazunguka bado wanaishi maisha yao halisi.. kubwa " mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokua mzee"
 
afadhali mkuu umemuambia wewe kaniboa sana mpuuzi huyu kama ni kingereza basi aongee kingereza sio kutuletea upashkunata wake mfyuuuuuuuuuu!

Pamoja na upuuzi wake ktk lugha aliyotumia kufikisha hoja yake, unasemaje kuhusu hoja na maudhui yake? Bado hiana mantiki?

Vv
 
Baada ya kazi burudika............ni waaaaaaaaakati wa castleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Castle lager yenye ladha kamili kama hii imaginary story
 
hongera endelea kua hivo pia hongera kwa English yako ya mabala the farmer!
 
Sio watoto wa chuo wote ni malaya wako wanaojua walichofata shule na pamoja na vishawishi vingi vinavyowazunguka bado wanaishi maisha yao halisi.. kubwa " mlee mtoto katika njia impasayo naye hataiacha hata atakapokua mzee"

inawezekana mtoa mada ni mmoja wa hao unaowasema?!!
 
Back
Top Bottom