Mume wa mtu

Mume wa mtu

afadhali mkuu umemuambia wewe kaniboa sana mpuuzi huyu kama ni kingereza basi aongee kingereza sio kutuletea upashkunata wake mfyuuuuuuuuuu!

Huyo mzoee tu hanaga story nyingine zaidi ya za mlengo huo..si unajua mtuu yaliyomjaa moyoni na kichwani ndo humtoka mdomoni? wanaume, kuhongwa na ngono 24/7 ndo zake
 
........Mkuu, huwa hawasemagi vyote hao!. Unadhani kwa jinsi jamaa alivyompata kiulaini namna ile atakuwa ameshindwa kumla kweli?

Amejaribu ku-skip baadhi ya "scene" katika movie yake ili ilete ladha aliyokusudia.

huwezi kuskip scene katika story fake...hii ni sun-downer!!! ili mradi muda usonge
 
Hata huko chuo anaweza asifike labda umuwahishe kuanza huduma ya uzazi wa mpango.

......Aha ha ha ha!! Kwahiyo akianza huduma ya uzazi wa mpango hatakuwa omba omba au umalaya hutokana na wanafunzi wa vyuo kukosa huduma ya uzazi wa mpango? very funny!!.

Nilitegemea kuona majibu ya aina hiyo kutokana na kutaja shughuli wa watu (Uma-laya), imekugusa!!

Ila asante kwa ushauri.
 
Story za saluun baada ya Umeme kakatika na hakuna generator
 
Wow yaani Mungu aendelee kukuongoza katika masomo yako na maisha yako.

Upate mume mtakaependana na kuishi pamoja kwa raha na kuweza kusuruhisha mambo madogo ya matatizo kama yakitokea katika maisha yenu.

Mpate watoto wawaongezee furaha nyingi.

Ubarikiwe

Unaipigia sala hadithi ya kutunga? Hata kama ni kweli huoni huyo ni mfanyabiashara ya ...
 
Unaipigia sala hadithi ya kutunga? Hata kama ni kweli huoni huyo ni mfanyabiashara ya ...

inakuhusu nini mie kuandika hivyo nimesoma post nimejibu nimesepa...iwe ukweli uongo wewe inakuuma nini na kuandika nimeandika mie nila kupoteza senti?
 
......Aha ha ha ha!! Kwahiyo akianza huduma ya uzazi wa mpango hatakuwa omba omba au umalaya hutokana na wanafunzi wa vyuo kukosa huduma ya uzazi wa mpango? very funny!!.

Nilitegemea kuona majibu ya aina hiyo kutokana na kutaja shughuli wa watu (Uma-laya), imekugusa!!

Ila asante kwa ushauri.

Penda usipende ndo mambo yaliyopo duniani
 
afadhali mkuu umemuambia wewe kaniboa sana mpuuzi huyu kama ni kingereza basi aongee kingereza sio kutuletea upashkunata wake mfyuuuuuuuuuu!

Hey... Somtymz its beta to pass if you don't understand.. Simple
 
hahahhaaaaaa..... eti akapiga deki.........deki c hupigwa palipochafuka? au....
 
booboo = "boobs boobs" or literally (m)boo ,
kitty = cat = "pussy/cunt"

its no rocket science, no thinking is required. you just have to see through it.
 
Ungeionja kidogo boobooo ya jamaa

Hukumtendea haki mshkaji kumwacha kwa style ile kwa sababu km ni........... tayari ulishafanya!
 
Jamani mi na mme wa mtu sumu, ukintongoza its better not to mention if you are married, I feel bad pale mke anavyoteseka only because of me. Once upon a time I had this man alintokea bana, siku moja natoka rum on my way to class Niko na earphones listenn gud music without noticn kuna gari nyuma yangu, the guy akagomba sana.

Watch out next tym utagongwa mara ee mara oooh!! He was cute tho, nkamtel am sorry n al n al nkawa mpole siakanizimikia bana.He apologized too fo bn hash. Akaniomba digits, nikamgea chat na kuchat tukawa gud friends.One day akaniask out nkakubali, tukahv few drinks. We had fun kwa kweli. Late nyts nkarud rum he used to call me like most of the time.Outings mpaka late nights, Watsap chattn kwa sana tuu.Havn lunch 2getha since alikua ana work near my uni.For two month things remained that way.

One day yl sayn gud bye 2each otha yl dropn me in my place ikahappen tukakiss, then relationship ikaanza hapo.Goin out havn fun but hatukawahi kucheza mechi until four months passed.Nikawa nikiomba visenti napewa kama kawa tena virefu, kila jumamosi ilikuwa lazima aniletee ma2miz.

Hadi ada aliwahi kunipa but kitty mpenda kupendeza nkanulia viwalo freessssh.From him I bought myself a lot of stuffs without knwn anytn.. One fact abt him he was too busy, tunameet only alhamisi ijumaa and jumamosi.. Jumapili never, hyo siku hatapokea Simu anadai yuko gym au site, kumbeee... Sikuipenda hii hali but nkazoea..

Then one day nkamuomba 4kilo nlimdanganya nadaiwa rent, at the same tym we planned to meet and this time I was ready to have a fair game with him.Sasa kila nikimuambia kuhusu anapokaa anapotezea.Ah na mi nikawa napotezea nkikumbuka nauliza lakini wapi hola.I Never get to go through his phone bcoz it had patterns all over th messagin apps.. Ukiuliza anapotezea. But Always alikua ananiambia I have something to tell you then inahappen tunapotezea.

Basi we planned on weekend tutaspend pamoja.I told him niende kwake but akasema it has to be special.. Okay no P... Nkamtell utanifata rum but ha!! ��, mi ntangulie then atakuja.Uliza maswali akawa mkali do as I say kitty. Kupenda tena nkakubali akanitumia mpunga kwa mpesa had ule nlioomba nkaenda hoteln doin all the payment nkachukua room!

The worst thing hakuja as we planned that evening I had to sleep alone, akantext Bby staeza kufika nimepata meeting ya ghafla na wahindi so ntachelewa.. Piga sana, msg sana no response!I cried but yah nkajikaza kikike! Nkalala alone.Saa kumi na moja asubuhi hodi. Its him I was happy, alot of kisses n hugs.Tukapiga sana story akaniomba msamaha things went right.While tunaongea msg zikawa zinaingia wakat anafungua nkainyaka pattern.

Zilikua za rafiki yake akanionyesha kujenga trust.Basi tukaanza romancn kwa sana, alipiga deki hatari ile tu anataka kuchomeka charger kwenye simu nkamtel ndom kwanza since tulikubaliana ivyo akaniambia ngoja nishuke chini kwa gari nkachukue nilizisahau.Ile katoka tu nkachukua Simu aliiacha. Fungua sms app nikachora pattern nikapatia nikakuta text "Mme wangu nimekukosea nini nowadays huniekei tena pesa kwenye account?

Halafu kuna vitu muhimu vya mtoto vimeisha ile kilo3 niliyokuomba since last week umenyamaza" hiyo ya kwanza nyingine "naumia umebadilika sana mme wangu".Nyingine iliyoniuma roho "namuombea sana huyo mwanamke uliempata adhabu kali kutoka kwa muumba maana anafanya mi niteseke" na zingine kibao duh Roho ikapiga pah kama nimechomwa na mkuki nikaogopa anaeza tokea nikaandika namba za mkewe kwa my phone nkkairudisha ilipokua.

Akarudi anankic mi mood yote ishakata! Nkamuuliza fido dido umeoa? Mbona unaniuliza hasira answer my f question akanjibu ndio kwanini unifiche? Gomba sana, mpaka kalia mwanaume anaomba msamaha.Vaa gauni langu usintanie huyo mbioo ye ananikimbiza. Fika mbele nikakutana na bajaji dereva twende nakaondoka namba za mkewe niliziandika kwenye Simu.Zile kilo 4 alizonirushia nikaenda kwa wakala wa tel money.

Nkazirusha zote mtoto wake apate stuffs. Akapiga sana nkamtel wakala asipokee basi nililia sana. Nilimpenda sana coz alikua akiniambia mambo ya mechi nikimpotezea ananiambia atasubiri. Nikasema mume ndio huyu. Kumbe anaenda kuzimalizia kwa mkewe, mi najisifu.The day nataka nimpe ndio nikaonyeshwa. Bora sikushiriki kikamilifu dhambi ya mme wa mtu japo nilishiriki kidogo bila kujua roho iliniuma sana sababu nilimpenda.

###end###

Umefanya vizuri sana! usifurahie mateso ya mwanamke mwenzio jua na ww yatakukuta km unavyomfanyia mwenzio, siku zote tenda mema mungu atakupa faraja. Umenifurahisha kwakweli, mungu akubariki sana
 
Join Date : 19th April 2015
Posts : 51
Rep Power : 315
Likes Received 23

Likes Given 27

[h=4]Top Areas Of Postin[/h]Mahusiano, mapenzi, urafiki 43
Mambo ya Kikubwa 4
JF Doctor 1
JF Chit-Chat 1




MTOTO WA SHULE MAJUKWAA YOOTE YA HUMU JF HAYA NDIO YALIYOKUVUTIA KUJIUNGA NA JF EEHH. KARIBU SANA KWA SASA JIANDAE HADI KUJENGEWA NYUMBA KUPITIA MWILI WAKO MAANA JF HAKUNA KINACHOSHINDIKANA ATI
 
.....mh! dushe hapa na papuchi hapa mwanaume aache kudumbukiza na ulikuwa ushapigwa deki ukakolea? .....I doubt!!!
 
Hii hadithi inanikumbusha kipindi kileee nasoma hadithi za Shaluwa au Irene Mwamfupe.. Jitahidi mama ukitoa hivyo vilugha vyako mbona utapata column pale Ijumaa wikienda
 
Back
Top Bottom