lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
heh! stop......! mnnnyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu(msonyo)
HAHAHAAAAAAAAAAAAAA! CHUNGU LAKINI DAWA! Upo hapo?
heh! stop......! mnnnyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu(msonyo)
nifanyaje jaman sikujua kama mume wa mtu nimesha kutana nae kimwili na ananisaidi sana katika mahusiano yetu sasa tuna miaka minne ila mwezi huu wa nne mwaka huu ndo ameniambia kuwa anmke na watoto wawili. Nimeumia sana ila kani hakikishia kuwa ananipenda na hato niacha ammesha ninunulia gari na ananisomesha chuo mwaka wa kwanza huu je nifanyaje maana na mi sina mpenzi zaidi yake na ninahisi naumia kila nikihisi yupo na mkewake.
ukiona mwanaume amekuficha kuwa ana mke toka mwanzo akaja kukuambia bada ya muda fulani jua kwamba
1.alichokuwa anakitaka keshakipata then
2.amekuchoka anashindwa tu kusema bye from my experience
nifanyaje jaman sikujua kama mume wa mtu nimesha kutana nae kimwili na ananisaidi sana katika mahusiano yetu sasa tuna miaka minne ila mwezi huu wa nne mwaka huu ndo ameniambia kuwa anmke na watoto wawili. Nimeumia sana ila kani hakikishia kuwa ananipenda na hato niacha ammesha ninunulia gari na ananisomesha chuo mwaka wa kwanza huu je nifanyaje maana na mi sina mpenzi zaidi yake na ninahisi naumia kila nikihisi yupo na mkewake.
Halooooooooo! UKILA NA KIPOFU USIMSHIKE MKONO!
Mapenzi ya wizi sharia yake moja tu, usiwe na wivu wa kisengery!!!!! Wewe wahudumiwa na gari ushanunuliwa (Kama hutojali nipashe ni aina gani ya ndinga?) watimiziwa yooote, pressure ya nini? Wewe tulia kama maji ya mtungi.
Tena ukikutana muulize wife hajambo, watoto shule wanaendeleaje? Muulize shule kaenda kukagua maendeleo ya wanae. Siku ingine jizoe mlimani city ununue tu bag twa ben ten, vimkebe sijui vya micky mouse na vi game umpe awapelekee wanae zawadi. Jikombe bibi na ujikombe haswa haswa! Ulizia wife afya vipi, kaznia anaendelaje. Be on his side and support hio ndoa 100%
Mwanaume anapenda mwanamke anaejua nafasi yake. Na wewe nafasi yako ni Forever Second (Chungu lakini dawa) sasa harakati za kutaka kuchukua Throne na kujitwalia kingdom zitakuponza kweli kweli. Accept ya position na uimiliki kwa nafasi yako, after role mwenzio mlinda nyumba wakati wewe ndo the doll at his side wa kula nae goodtimes.
achana na mume wa mtu, vinginevyo utapata laana ya kutokuolewa maisha yako yotefikiri ungefanyiwa hivo ww ungefurahini dhambi kubwa kutembea na mume/mke wa mtu, umesahau utaabika mchana kweupe
AISEE,sasa akifanya hivyo ana uhakika gani ataolewa yeye?mpe sumu mkewe afe uchukue goma zima zima moja kwa moja...but dont forget kulea watoto wake ok mummy?
Halooooooooo! UKILA NA KIPOFU USIMSHIKE MKONO!
Mapenzi ya wizi sharia yake moja tu, usiwe na wivu wa kisengery!!!!! Wewe wahudumiwa na gari ushanunuliwa (Kama hutojali nipashe ni aina gani ya ndinga?) watimiziwa yooote, pressure ya nini? Wewe tulia kama maji ya mtungi.
Tena ukikutana muulize wife hajambo, watoto shule wanaendeleaje? Muulize shule kaenda kukagua maendeleo ya wanae. Siku ingine jizoe mlimani city ununue tu bag twa ben ten, vimkebe sijui vya micky mouse na vi game umpe awapelekee wanae zawadi. Jikombe bibi na ujikombe haswa haswa! Ulizia wife afya vipi, kaznia anaendelaje. Be on his side and support hio ndoa 100%
Mwanaume anapenda mwanamke anaejua nafasi yake. Na wewe nafasi yako ni Forever Second (Chungu lakini dawa) sasa harakati za kutaka kuchukua Throne na kujitwalia kingdom zitakuponza kweli kweli. Accept ya position na uimiliki kwa nafasi yako, after role mwenzio mlinda nyumba wakati wewe ndo the doll at his side wa kula nae goodtimes.
sasa we hujui wanaume wachache kuliko wanawake.., ku-share ni lazima bhana, nani anapenda kuukosa utamu..nachukia sn watu wanaojua mtu ana mke na kuolewa mke wa 2 haiwezekani, wao wanaendelea kung'ang'ania tuuu. Nashindwa nishauri nn.:shut-mouth:
nifanyaje jaman sikujua kama mume wa mtu nimesha kutana nae kimwili na ananisaidi sana katika mahusiano yetu sasa tuna miaka minne ila mwezi huu wa nne mwaka huu ndo ameniambia kuwa anmke na watoto wawili. Nimeumia sana ila kani hakikishia kuwa ananipenda na hato niacha ammesha ninunulia gari na ananisomesha chuo mwaka wa kwanza huu je nifanyaje maana na mi sina mpenzi zaidi yake na ninahisi naumia kila nikihisi yupo na mkewake.
koma achana na waume za watunifanyaje jaman sikujua kama mume wa mtu nimesha kutana nae kimwili na ananisaidi sana katika mahusiano yetu sasa tuna miaka minne ila mwezi huu wa nne mwaka huu ndo ameniambia kuwa anmke na watoto wawili. Nimeumia sana ila kani hakikishia kuwa ananipenda na hato niacha ammesha ninunulia gari na ananisomesha chuo mwaka wa kwanza huu je nifanyaje maana na mi sina mpenzi zaidi yake na ninahisi naumia kila nikihisi yupo na mkewake.
Sample space yako ndogo sana mkuu...jamani wana jf wangangapi hawana vi small house hapa mjini? wanaume waliooa wanaongoza kwa kuhonga vibinti utafiti wangu umefanywa sinza madukani
sasa we hujui wanaume wachache kuliko wanawake.., ku-share ni lazima bhana, nani anapenda kuukosa utamu..
sio rahic kwasababu tayari ana gari, na chuo anasomeshwa c ndiyo? ila akigundulika itakuwa balaa kwake kuliko faida aipatayo sasa.Ungesoma kwa makini hoja ya mwanzisha thread nadhani ungejua kwa nini kang'nga'ania! Sio rahisi kuondoka mara moja kama unavyofikiri