Duh! Mtambuzi kamanaangalia Movie vile!
Ahsante kwa ushauri wako mzuri..........Nimeshaiandika hiyo kesi ya Asha Mkwizu, lakini jinsi mauaji yalivyofanyika si kama ulivyoeleza................. Hakumuua kwa staili hiyo na wala hakumkatakata na kumuweka kwenye gunia na kumhifadhi stoo, labda kama Mahakama na Polisi walidanganywa, na siamini kama hilo linaweza kutokea.
Na alikuwa haitwi Asha Mkwizu Dyauli jina llilotumika pale mahakamani ni Asha Mkwizu Hauli
Wiki zijazo panapo majaaliwa nitaiweka hiyo kesi hapa. Stay Tune!
Mtambuzi, mimi nimekuwa na interst kusoma kesi tangu niko Primary darasa la 3!. Sikumbuki niliisoma kesi hiyo miaka gani, bali kesi yangu ya kwanza kuifuatilia ni ile ya uhaini ya Juma Thomas Zangira, ikafuatia kesi ya Mauaji Mwanza, baadae kesi ya Mauaji Shinyanga, nikafuatilia kesi ya Uhani ya kina Father Tom na McGee. By then redio ni moja tuu RTD, magazeti mawili tuu Daily News/Sunday News na Uhuru/Mzalendo!.Pasco ngoja nikuchokoze kidogo, hivi kesi hiyo ya Asha Mkwizu ikiunguruma pale Mahakama Kuu jiji Dar ulikuwa na umri gani?
Ahsante kwa angalizo nitaitafuta na kuiwekan hapa wiki zijazo.........................!Asha Mkwizu Haule. alimuua mwenzie akamtia kwenye gunia na kumzika mwenye shimo dogo kwenye migomba hapo nyumbani kwako upanga. damu silizoonekana ndio zilitoboa siri. If Istill remember well the story.
Kuna nyingine Mtambuzi ya Dr. Madeleke alimuua mkewe Swaziland. Mke alikua chotari wa kiarabu na mhehe, anaitwa shilla. mambo ya wivu pia, hebu mtambuzi kama kawaida yako fanya kazi, utuletee story kamili hapa.
ukituma hiyo ya mauji ya upanga naomba unishtueAhsante kwa angalizo nitaitafuta na kuiwekan hapa wiki zijazo.........................!